Tetesi: KQ yaongeza Hasara mara mbili hadi Ksh 7.5b kutoka billioni 4 mwaka janaπŸ˜†πŸ˜†

Tetesi: KQ yaongeza Hasara mara mbili hadi Ksh 7.5b kutoka billioni 4 mwaka janaπŸ˜†πŸ˜†

ATCL will never make any profit till Jesus come.
Hahahahaha, like your old diesel SGR, can't and will never make any profit, remember ATCL hatujakopa, hatuna deni la kulipa, isipotengeneza faida, tutabebea magunia ya mahindi kuwapelekea Turkana na Samburu. Ila ninyi wajinga mumechukua mkopo mkubwa na reli lenyewe la kizamani sana limeanza na hasara wakati deni mnaanza kulipa. Failed state.
 
Were ni fala kweli, you can't compare financial report ya 9months na ile ya 12months unless your brain is rotten.
Ahahaha wacha hasira basi ya kujipa matumaini πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† loss iko pale pale haitwaachia mpaka siku mutarudisha ndege za watu 37πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahahaha, like your old diesel SGR, can't and will never make any profit, remember ATCL hatujakopa, hatuna deni la kulipa, isipotengeneza faida, tutabebea magunia ya mahindi kuwapelekea Turkana na Samburu. Ila ninyi wajinga mumechukua mkopo mkubwa na reli lenyewe la kizamani sana limeanza na hasara wakati deni mnaanza kulipa. Failed state.
Deni hawajaanza kulipa sgr ya kizamani imetengeneza hasara 10b kshπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
ATCL will never make any profit till Jesus come.
Juzi naskia serekali ilichukua loan kulipa loan ya kq πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
So bbc waongoπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
2017 iliku 6.7 na 2018 imepanda mpaka 7.8b


Hiyo link uliifungua na kusoma kweli??? Hivi ndo hio link inasema

----------------------

Shirika la taifa la safari za ndege nchini Kenya Kenya Airways(KQ) limetangaza kupata hasara ya kifedha mwaka uliopita kwa takriban $75m.
Hasara hiyo ambayo ni sawa na shilingi za Kenya 7.59 ilirekodiwa katika kipindi cha miezi 12 hadi mwishoni mwa mwaka 2018.
Hata hivyo kiwango hiki cha hasara ni kidogo kuliko hasara ya mwaka jana ambayo ilikuwa ni Shilingi bilioni 9.44 katika kipindi cha mwaka 2017...........................
https://www.bbc.com/swahili/habari-48108367?ocid=socialflow_twitter

Kati ya 9.44B 2017 na 7.59B 2018, ipi ndo kubwa?????
 
Tena hio 7.5b is before tax hebu weka tax hapo tuone kama haifiki over 10bπŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡

Mnajaribu vyote lakini wapi..... Ngoja ni waongezee na hii Full Year (Jun16-June17) Financial results ya KQ 2017


1085481




Angalia hapo niwekeka alama, Hio ni loss After tax

1085482



2015, loss ilikua a staggering $289 Million USD, 2016 Loss ikapungua kidogo hadi $260Million, 2017 loss ikazidi kupungua hado $101 Million......... Sasa 2018 loss imezidi kushuka hadi $75m...... Hebu niambie, kama mwendo ndo huo, unafikiri tunaelekea wapi, juu au chini????
 

Attachments

Kama KQ inapata hasara katika hayo maeneo matatu, 1)Fuel cost, 2)Salaries, and 3)Fleet ownership. ATCL haina gharama za Fleet ownership, na gharama za salaries ni ndogo sana kutokana na idadi ndogo ya employees na viwango vidogo vya mishahara, ni wazi ATCL is making good business.
Mr 'econmist' talking of good business and profit by ATCL, unasemaje kuhusu ROC and ROR?
 
Mnajaribu vyote lakini wapi..... Ngoja ni waongezee na hii Full Year (Jun16-June17) Financial results ya KQ 2017


View attachment 1085481



Angalia hapo niwekeka alama, Hio ni loss After tax

View attachment 1085482


2015, loss ilikua a staggering $289 Million USD, 2016 Loss ikapungua kidogo hadi $260Million, 2017 loss ikazidi kupungua hado $101 Million......... Sasa 2018 loss imezidi kushuka hadi $75m...... Hebu niambie, kama mwendo ndo huo, unafikiri tunaelekea wapi, juu au chini????
Ndio maana nikakwambia ww ni mjinga hio 2017 with tax inside ilikua 101m usd na hii ya 2018 without tax ni 77.8m usd haya add tax kwenye hio amount ya 77.8m usd uone kama haizidi ya 2017 punguza ujinga na ujuaji






Hawa sio wajinga washapiga hesabu zamaniπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Hiyo link uliifungua na kusoma kweli??? Hivi ndo hio link inasema

----------------------

Shirika la taifa la safari za ndege nchini Kenya Kenya Airways(KQ) limetangaza kupata hasara ya kifedha mwaka uliopita kwa takriban $75m.
Hasara hiyo ambayo ni sawa na shilingi za Kenya 7.59 ilirekodiwa katika kipindi cha miezi 12 hadi mwishoni mwa mwaka 2018.
Hata hivyo kiwango hiki cha hasara ni kidogo kuliko hasara ya mwaka jana ambayo ilikuwa ni Shilingi bilioni 9.44 katika kipindi cha mwaka 2017...........................
https://www.bbc.com/swahili/habari-48108367?ocid=socialflow_twitter

Kati ya 9.44B 2017 na 7.59B 2018, ipi ndo kubwa?????
7.5 my friend is without tax kenge wewe na 9.4 tax included so take 7.5 add tax alaf uone increase of 17.7% loss ipo au haipo watu washapiga hesabu kitamboπŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡ we unatuletea hesabu za kushiba skumawiki hapa



 
7.5 my friend is without tax kenge wewe na 9.4 tax included so take 7.5 add tax alaf uone increase of 17.7% loss ipo au haipo watu washapiga hesabu kitamboπŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡ we unatuletea hesabu za kushiba skumawiki hapa




Yani hua inakua shida kushindana na watu ambao sijui ni kujielewa hawajielewi ama ni kusoma ndo hawana macho


1085512


Nimekuekea vizuri, Official FY results iliochapishwa na KQ , alafu jamaa bado unarudi kuniletea comment ya mtu kutoka twitter, seriously!!!!!!!!! Hapo inaonyesha vizuri kabisa 'Loss before tax' and full 'loss for the year'.. Lakini jamaa hawezi correlate kabisa!!! yani huwezi ku compare loss beforeVSafter tax ya 2015,2016,2017 ilioonyeshwa hapo na ujijaziee mwenyewe kama 2018 itakuaje....... mpaka usome maoni ya mtu amabaye humjui kwa twitter... Jifundishe kufikiria mwenyewe, sio kufwata upepo!
 
But cha ajabu kq inamiliki ndege 3 tuπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Muko kwenye service miaka 50 lakini munamiliki ndege 3

KQ fully owns 3 planes
KQ partially owns 17 planes (debt repayment in progress)
KQ leases 20 planes

KQ fleet - 40
ATCL fleet - 3
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
KQ fully owns 3 planes
KQ partially owns 17 planes (debt repayment in progress)
KQ leases 20 planes

KQ fleet - 40
ATCL fleet - 3
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Very good, kwa hiyo kwasasa hivi ikitokea KQ haiwezi kuendelea na biashara, share holders watachukua hizo ndege 3 pekee, na hizo 17 zitawekwa katika Escrow account kwasababu sio za KQ wala sio za leasing company. In nutshell KQ has only 3 planes.
 
KQ fully owns 3 planes
KQ partially owns 17 planes (debt repayment in progress)
KQ leases 20 planes

KQ fleet - 40
ATCL fleet - 3
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
37 leased aircraft and 3 fully owned by kq
Miaka 50 kwenye service munamiliki ndege 3 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Air tanzania wanandege 8 sasa hvi na zote fully owned by government of tanzania

Airbus 2
Dreamliner 1
Q400 3
Q300 1
Fokker 1

πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
 
Back
Top Bottom