KRA yavunja rekodi kwa kukusanya Kshs 1,607,000,000 kwa hela ya madafu hizo ni kama Tshs 36,961,000,000

KRA yavunja rekodi kwa kukusanya Kshs 1,607,000,000 kwa hela ya madafu hizo ni kama Tshs 36,961,000,000

Kwani Jubilee iko na mtaji wa percent ngapi?
Huku huwa hatuna wafia vyama, mimi binafsi kwa sasa naichukia Jubilee ila naunga mkono maendeleo ya nchi yangu, nayapigia debe kila uchao.
Nyie huko mnaabudu vyama hata kuliko Mungu, ndio maana mpo 60% msio na elimu ila mnaapa takbir kwa chama.
 
Huku huwa hatuna wafia vyama, mimi binafsi kwa sasa naichukia Jubilee ila naunga mkono maendeleo ya nchi yangu, nayapigia debe kila uchao.
Nyie huko mnaabudu vyama hata kuliko Mungu, ndio maana mpo 60% msio na elimu ila mnaapa takbir kwa chama.

Hahah najua huko hamna wafia vyama ila mpo wafia makabila... hapo unaichukia jubilee sababu yule mkalenjin hapatani na mkikuyu..sasa najua wakikuyu wakianzisha chama kipya bhas Gikuyu yote inahamia huko.
 
Huku huwa hatuna wafia vyama, mimi binafsi kwa sasa naichukia Jubilee ila naunga mkono maendeleo ya nchi yangu, nayapigia debe kila uchao.
Nyie huko mnaabudu vyama hata kuliko Mungu, ndio maana mpo 60% msio na elimu ila mnaapa takbir kwa chama.
Ukabila ni mbaya zaidi ya uvyama.
 
Huwa tunawatahadharisha muache kushindana na ndovu kunya, mtapasuka kule kule, haka kainchi ketu kadogo hakana madini wala raslimali za asili, na zaidi ya nusu ni kame tupu lakini humu kuna watu wanajituma na kutumia ubongo hadi raha, tunaendelea kuongeza pengo la kiuchumi baina yetu na majirani hadi inakaribia kuwa mara mbili yao. Kweli hauwezi ukapewa vyote, unapewa raslimali unanyimwa ubongo au upewe ubongo unyimwe raslimali, chagua moja basi.

====

The Kenya Revenue Authority (KRA) has hit a new record high in the collection of tax despite the covid-19 pandemic which has seen multiple sectors of the economy shrink.

The authority amassed Ksh 1.607 trillion for the financial year 2019/2020 as compared to Ksh 1.580 trillion collected over the same period between July 2018 and July 2019.

KRA thus collected Ksh 27 billion more, which translates to 97.9% performance rate and 1.7% revenue growth as compared to the 2018/2019 financial year.

Commissioner General, Githii Mburu, stated that taxman also collected Ksh 97.1 billion as Agency Fees.

a

Treasury CS Ukur Yattani (right) poses for a photo at Treasury Headquarters, Nairobi on Thursday, June 11, 2020, ahead of Budget 2020/21 presentation
FILE

"This is revenue collected on behalf of other government agencies mainly at the ports of entry. They include Road Maintenance Levy, Airport Revenue, Aviation Revenue, and Petroleum Development Fund amongst other levies," Mburu stated.

The growth was attributed to increased and early remittance from the finance, insurance and manufacturing sectors.
  • Value Added Tax dropped by 7% while Pay as You Earn (PAYE) grew by 2%. Withholding taxes recorded an 18.2% growth.
    The authority, however, still missed its initial target by Ksh 275 billion. The National Treasury under CS Ukur Yattani had targetted a record high of Ksh 1.88 trillion in tax collected.
    This explains why Kenya's borrowing level rose. Yattani borrowed over 30% of Kenya's 2.79 trillion budget.
    Digital service fees was added as a new tax for the financial year 2020/21, meaning online business transactions will now be taxed at a rate of 1.5 per cent.
    The government is also planning to reintroduce the 20% excise duty imposed on betting firms in November 2019. The duty was scrapped off after Kenyatta was shortchanged into signing the Finance Bill 2020.

  • Kenya Revenue Authority signage on a building

    Kenya Revenue Authority signage on a building
    TWITTER
KRA Hits New Record in Tax Collection
HABARI YAKO INGESOMEKA VIZUR UNGEAMBATANISHA NA HII :
Madaktari Wafanya Mgomo Nairobi
 
Hahah najua huko hamna wafia vyama ila mpo wafia makabila... hapo unaichukia jubilee sababu yule mkalenjin hapatani na mkikuyu..sasa najua wakikuyu wakianzisha chama kipya bhas Gikuyu yote inahamia huko.

Nachukia Jubilee maana kuna baadhi ya matarajio nilikua nayo wakati wanaingia kwenye uongozi, japo wamejaribu pakubwa ila kuna sehemu wamefeli na kusababisha sitaki kuwaskia. Jiepushe kuabudu chama au kiongozi utakua huru sana, hebu ona mlivyo watumwa

2257396_IMG_20191230_125043.jpeg
 
Nachukia Jubilee maana kuna baadhi ya matarajio nilikua nayo wakati wanaingia kwenye uongozi, japo wamejaribu pakubwa ila kuna sehemu wamefeli na kusababisha sitaki kuwaskia. Jiepushe kuabudu chama au kiongozi utakua huru sana, hebu ona mlivyo watumwa

2257396_IMG_20191230_125043.jpeg

Well, unamfahamu nabii Titto? Contextual meaning ya hiyo sms umeipata?
 
Figures za kupika
Nyie subirini mkitangaza kwamba corona imeisha,ndipo mtaanza kuhaha
 
Back
Top Bottom