KRA yavunja rekodi kwa kukusanya Kshs 1,607,000,000 kwa hela ya madafu hizo ni kama Tshs 36,961,000,000

KRA yavunja rekodi kwa kukusanya Kshs 1,607,000,000 kwa hela ya madafu hizo ni kama Tshs 36,961,000,000

Unajuwa kwa yanayofanyika Tz ndiyo sheria ya kukuza uchumi wa kweli ambayo hata wazungu waliitumia kwa muda mrefu uliopita, hamuwezi mkajenga uchumi zen at the same time mkaenjoy haiwez kuwa sawa, mnapojenga uchumi wa kweli na co wa kwenye makaratasi lazima pesa ipotee lazima ajira iwe ishu kuipata but ROI ikianza ku operate mnaanza kutafuna cake ya taifa as a common good.

Yn kwa walichofanya awamu ya tano kwa hii miaka af bado maisha yakaendelea kuwa magumu miaka mi5 ijayo ntaenda kuchoma moto madaftari yng yote ya A level ya Economics pia hata chuo ntajiona nlienda kucheza na nkipata nafasi ntawaomba uongozi wanivue rasmi elimu waliyonipa cz it's useless.

Uko sahihi mkuu, nyumba ni msingi. Na uchumi ni miundo mbinu na miradi ya kimkakati. Ukiweza kucheza hapo bhas pesa ita flow tu katika shughuli mbali mbali kwa chain kuanzia juu hadi chini. Tofauti na kujenga uchumi wa watu wachache kuhodhi fedha na njia za kiuchumi ambao wakiamua kususa tu au kutoa fedha zao kwenye mzunguko nchi ina tetereka. Au kwa kutumia fedha zao wanaingiza mashinikizo katika uendeshaji wa nchi na upendeleo katika tender na miradi.

Kunatokea mabadiliko na mapinduzi makubwa sana ya kiuchumi, Kesho yetu itakuwa bora sana.
 
Uko sahihi mkuu, nyumba ni msingi. Na uchumi ni miundo mbinu na miradi ya kimkakati. Ukiweza kucheza hapo bhas pesa ita flow tu katika shughuli mbali mbali kwa chain kuanzia juu hadi chini. Tofauti na kujenga uchumi wa watu wachache kuhodhi fedha na njia za kiuchumi ambao wakiamua kususa tu au kutoa fedha zao kwenye mzunguko nchi ina tetereka. Au kwa kutumia fedha zao wanaingiza mashinikizo katika uendeshaji wa nchi na upendeleo katika tender na miradi.

Kunatokea mabadiliko na mapinduzi makubwa sana ya kiuchumi, Kesho yetu itakuwa bora sana.
Mfano mdogo tu angalia Mv Victoria tayari imeshaanza kuleta positive impact kwenye uchumi kwa mda mfupi tu, watu walikuwa wanasafirisha mzigo tani moja karibu laki moja lkn now ni elfu 27 tu umeona hapo, ss jenga picha hii meli ipige kazi kwa miaka mitano pia kumbuka haipo moja kuna Mv mwanza pia inakuja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mfano mdogo tu angalia Mv Victoria tayari imeshaanza kuleta positive impact kwenye uchumi kwa mda mfupi tu, watu walikuwa wanasafirisha mzigo tani moja karibu laki moja lkn now ni elfu 27 tu umeona hapo, ss jenga picha hii meli ipige kazi kwa miaka mitano pia kumbuka haipo moja kuna Mv mwanza pia inakuja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Maisha yanakuwa mepesi, nguvu ya hela yetu inazidi kuonekana. Uwekezaji kuongezeka. Kuboreshwa kwa maisha ya mtu mmoja mmoja maana biashara zitakuwa kutokana na usafiri kuwa rahisi. Yani zinafunguka fursa kibao. Na ndio faida ya hiyo miradi ya kimkakati na miundombinu inaleta multiplier effect kwenye uchumi na kubadilisha hali ya maisha katika jamii.
 
Huwa tunawatahadharisha muache kushindana na ndovu kunya, mtapasuka kule kule, haka kainchi ketu kadogo hakana madini wala raslimali za asili, na zaidi ya nusu ni kame tupu lakini humu kuna watu wanajituma na kutumia ubongo hadi raha, tunaendelea kuongeza pengo la kiuchumi baina yetu na majirani hadi inakaribia kuwa mara mbili yao. Kweli hauwezi ukapewa vyote, unapewa raslimali unanyimwa ubongo au upewe ubongo unyimwe raslimali, chagua moja basi.

====

The Kenya Revenue Authority (KRA) has hit a new record high in the collection of tax despite the covid-19 pandemic which has seen multiple sectors of the economy shrink.

The authority amassed Ksh 1.607 trillion for the financial year 2019/2020 as compared to Ksh 1.580 trillion collected over the same period between July 2018 and July 2019.

KRA thus collected Ksh 27 billion more, which translates to 97.9% performance rate and 1.7% revenue growth as compared to the 2018/2019 financial year.

Commissioner General, Githii Mburu, stated that taxman also collected Ksh 97.1 billion as Agency Fees.

a

Treasury CS Ukur Yattani (right) poses for a photo at Treasury Headquarters, Nairobi on Thursday, June 11, 2020, ahead of Budget 2020/21 presentation
FILE

"This is revenue collected on behalf of other government agencies mainly at the ports of entry. They include Road Maintenance Levy, Airport Revenue, Aviation Revenue, and Petroleum Development Fund amongst other levies," Mburu stated.

The growth was attributed to increased and early remittance from the finance, insurance and manufacturing sectors.
  • Value Added Tax dropped by 7% while Pay as You Earn (PAYE) grew by 2%. Withholding taxes recorded an 18.2% growth.
    The authority, however, still missed its initial target by Ksh 275 billion. The National Treasury under CS Ukur Yattani had targetted a record high of Ksh 1.88 trillion in tax collected.
    This explains why Kenya's borrowing level rose. Yattani borrowed over 30% of Kenya's 2.79 trillion budget.
    Digital service fees was added as a new tax for the financial year 2020/21, meaning online business transactions will now be taxed at a rate of 1.5 per cent.
    The government is also planning to reintroduce the 20% excise duty imposed on betting firms in November 2019. The duty was scrapped off after Kenyatta was shortchanged into signing the Finance Bill 2020.

  • Kenya Revenue Authority signage on a building

    Kenya Revenue Authority signage on a building
    TWITTER
KRA Hits New Record in Tax Collection
Sisi tunakusanya Trillion siyo Billion huko tulishatoka!
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] yaani mmekuwa na maumivu kiasi cha kulinganisha kila kitu, ona saaa hii mnaleta bado inawaacha uchi.

embu hariri hizo tarakimu kwanza ujione ulivyo kiazi.

Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Zero brain huyo nyang'ao! Watz tunakusanya Trillion siyo hizo Billion alizotaja hapo juu!!
 
Madalali michongo yao hamna watakufa njaa. Hiz sio zama za Nchi inayouza tanzanite Sana ni Kenya, sahv yupo JPM hawajui mtu makini mwenye sifa ya ufuatiliaji wa kina
 
Naona umeanza kutapa tapa baada ya kuchemsha na kujaribu kutuaminisha kwamba mnaokota 34.9Tr. [emoji1] Inamaana kwamba mmewazidi S.A kwasababu umeme Tz ni wa bei ya chini zaidi ya S.A.? Hivi mnawezaje kupanga mambo yenu na Tzs 22.3Tr tu kutoka kwa TRA? Kwenye nchi yenye watu wengi zaidi ambayo ni karibia mara mbili ya Kenya kwa 'size'? Hapo ipo wazi kwamba shughuli zenu za kibiashara bado zipo chini sanaa. Alafu usizungumze kuhusu madeni.
2492999_2487631_tapatalk_1584017659452.jpeg
Mnaokota 24Tr( pamoja na 889B kutoka kwa serikali za mitaa), alafu madeni nayo ni 10.9Tr! [emoji1] Eti na bado utasikia, sisi ni dona kantrii! [emoji1]
Kwahiyo wewe uaona umeme TZ 1unit sh ngapi
 
Mmeikosa pesa ya Tanzania nyang'au nyie mnapata tabu sana. Mmetuibia kwa mda mrefu sasa tumewadhibiti hamna pa kwenda manina.

Tunachonunua kwenu kwa sasa labda ni ile sabuni ya kuogea yenye karatasi (Label) ya ajabu isiyoharibika. Kwa sasa nyie ndiyo wanunuzi wakuu wa bidhaa zetu hasa mazao ya kilimo.
Unaumwa, hakuna nchi yeyote ukanda huu wa Afrika Mashariki na ya Kati ambayo inauzia Kenya bidhaa za jumla ya thamani ya juu zaidi ya inazonunua kutoka Kenya. Sio Tz, UG, Rw, Burundi, S.Sudan au DRC. Tz mna deficit ya mamilioni ya dola kwenye biashara na Kenya na mmeongeza kasi ya uagizaji wa bidhaa kutoka Kenya hadi mkavunja rekodi ya miaka miine. Pole jombaa, mnakata viuno kweli kweli kwa mziki wa viwanda vya manyang'au. Kenya's EAC exports rise to Sh102bn on thawing ties
 
Hehehe nafurahi kusikia kwamba mnapata raha saaanaa mnavyotukalia..hatuna hiyani tutaendelea kuwakuna na kuwapa raha zaidi majirani.

Tanzania bado sana kupata kiongozi nje ya CCM katika top office.

Hiyo 60% ndio mtaji wenu CCM, na ndio pona yetu....
 
Unaumwa, hakuna nchi yeyote ukanda huu wa Afrika Mashariki na ya Kati ambayo inauzia Kenya bidhaa za jumla ya thamani ya juu zaidi ya inazonunua kutoka Kenya. Sio Tz, UG, Rw, Burundi, S.Sudan au DRC. Tz mna deficit ya mamilioni ya dola kwenye biashara na Kenya na mmeongeza kasi ya uagizaji wa bidhaa kutoka Kenya hadi mkavunja rekodi ya miaka miine. Pole jombaa, mnakata viuno kweli kweli kwa mziki wa viwanda vya manyang'au. Kenya's EAC exports rise to Sh102bn on thawing ties
hapa mnatakiwa mshukuru sio kujisifu, maana hatukawii kuwachomolea betry.

na habari mbaya kuliko zote kwenu ni kwamba bidhaa tunazonunua kwenu sio bidhaa muhimu kwenye maisha yetu ya kika siku, so muda na saa yoyote mkitikisa matako tunafunga mlango. si umeona suala la KQ lilivyokaa vibaya upande wenu huku likiacha madhara 0 kwa tz[emoji16][emoji16][emoji16].
bado kwingine huko.
 
ila hatukeshi kwenye tanzania section kutokana na inferiority complex

Hehehe kwa hiyo unaweza kuingia chumbani bila kupita sebuleni? Oh i forget kwa kibera inawezekana.

Mko huku kenyan section so news alert za TZ hamzioni..ila kwenye battle mnatumia reference za thread za siasani Bongo. Acha kuwa na cheap argument za namna hii budaa.
 
Mmeikosa pesa ya Tanzania nyang'au nyie mnapata tabu sana. Mmetuibia kwa mda mrefu sasa tumewadhibiti hamna pa kwenda manina.

Tunachonunua kwenu kwa sasa labda ni ile sabuni ya kuogea yenye karatasi (Label) ya ajabu isiyoharibika. Kwa sasa nyie ndiyo wanunuzi wakuu wa bidhaa zetu hasa mazao ya kilimo.
Imperial [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwanini msijilinganishe na Uganda kwani lazima mshindane na Tanzania? Tanzania haiwataki ninyi kausheni tu
kwake mk254 TANZANIA ni somo tosha, hajajilinganisha anaelezea mapungufu yake huoni anakuletea habari za ukame, ukame na Tanzania wapi na wapi??
 
Back
Top Bottom