KRA yavunja rekodi kwa kukusanya Kshs 1,607,000,000 kwa hela ya madafu hizo ni kama Tshs 36,961,000,000

KRA yavunja rekodi kwa kukusanya Kshs 1,607,000,000 kwa hela ya madafu hizo ni kama Tshs 36,961,000,000

Wabongo wameanza kujitokeza[emoji23][emoji23][emoji23]

Cc: Mk254

Umewaona siku hizi wanajiita Wakenya
 
IMG_20200821_124644.jpg
 
Tofauti ya makusanyo kati ya Tanzania na Kenya ni ndogo sana kwa sasa yaani almost tupo sawa

Tanzania inakusanya 1.05T KES

Kenya inakusanya 1.34T KES

View attachment 1543672View attachment 1543673
Uelewa finyu, yaani unakariri tu na hata huelewi Govt. Domestic Revenue inamaanisha nini. Tz iliokota Tzshs 23.2Trillion kulingana na hizo takwimu za GoT. Kenya iliokota Tzshs 36.9Trillion.
 
Yaani kwa mwaka mzima bilion moja za Kenya? Mmefeli sana.
 
MK254,

Eti mmevunja rekodi kwa mwaka na hizo hela ndogo. Nyie ni maskini.

Indicators
1. UhuRuto imesambaratika, mnavuana nguo kila siku
2. Ma dr wametangaza mgomo maana yake watu wengi kufa zaidi.
3. Mmekopa kwa ajili ya covid yet the money doesn't help anything.

Mapato makubwa + mikopo lkn hakuna nafuuu ya maisha. Pesa inaenda wapi? Mbona mnatia aibu?
 
Hizi ng'ombe huwa zinakusanya nusu ya hio.
Nyie ni makenge. Embu makusanyo yalete tija siyo kudanganywa.

Eti mmevunja rekodi kwa mwaka na hizo hela ndogo. Nyie ni maskini.

Indicators
1. UhuRuto imesambaratika, mnavuana nguo kila siku
2. Ma dr wametangaza mgomo maana yake watu wengi kufa zaidi.
3. Mmekopa kwa ajili ya covid yet the money doesn't help anything.

Mapato makubwa + mikopo lkn hakuna nafuuu ya maisha. Pesa inaenda wapi? Mbona mnatia aibu?
 
Kwahiyo Ndugu MK254 HUJUI jinsi ya kuandika TRILLION kwa tarakimu sio?

Sasa kama Product Moja ya Kikenya inashindwa kuandika Trillion kwa tarakimu, kutakuwa na kipi cha kustaabisha ikiwa hata hao KRA na wenyewe hayo manamba wamejipachikia tu kama uliyopachika wewe?!
 
MK254,

Unaongelea Billion36 wakati Tanzania wanakusanya in terms of trillions? Au pengine ulimaanisha Trillion 3.6?
 
Yaani kwa mwaka mzima bilion moja za kenya? Mmefeli sana.
Wewe somo la hisabati ulipata ngapi shuleni? Huwezi kuconvert Tsh 36 Trillion into Ksh? Wewe ulienda shule kulala na kukula tu.
 
Wewe somo la hisabati ulipata ngapi shuleni? Huwezi kuconvert Tsh 36 Trillion into Ksh? Wewe ulienda shule kulala na kukula tu.

Tunawachora mnavotuma meseji tuongee na sisi tunasema msubiri uchaguzi uishe tutawafikiria kidogo
 
Good now zielekezeni kushughulikia corona.
 
Nani kakudanganya mapato yanayokusanywa na KRA pamoja na TRA ni kodi pekee, umejaa funza upstairs ndo maana huwezi hata andika trillion kwa numbers unaandika billion.
View attachment 1543773

Wacha kuendelea kujiaibisha, kubali umeboronga kisha ubaki kimya, humu tunazungumzza kuhusu makusanyo ya kodi, kitu ambacho nusra tuwapige double kama ilivyo hata kwenye uchumi baina yetu.
 
Hujui kusoma hata picha huoni angalia total chini hapo, na tunachotaka two years from now mctukaribie kwa chochote labda riadha mana huo mchezo kwetu haupendwi [emoji3][emoji3]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] anabisha huku anajua, roho inamuuma atafanya nini sasa!

nakwambia ukweli brother, kuhusu uchumi wa kenya naanza kupata mashaka, nina uhakika hata wao weneyewe wameanza kupata ukakasi.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] anabisha huku anajua, roho inamuuma atafanya nini sasa!!!

nakwambia ukweli brother, kuhusu uchumi wa kenya naanza kupata mashaka, nina uhakika hata wao weneyewe wameanza kupata ukakasi.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Wazee wa kupika data ilimradi waizidi Tz ila mwisho tutaona tu nani kidume cz tunataka kuona reflection ya hyo revenue.
 
Uelewa finyu, yaani unakariri tu na hata huelewi Govt. Domestic Revenue inamaanisha nini. Tz iliokota Tzshs 23.2Trillion kulingana na hizo takwimu za GoT. Kenya iliokota Tzshs 36.9Trillion.
Nadhani wewe una ushuzi kwenye ubongo. Unatuwekea ksh 1.3 T ya 2018 na sisi tunakuwekea ksh 1.6 T ya 2020. Wacha bangi kijana.
Ninyi pamoja na kubamizwa kodi. Mara 2 ya Tanzania kwenye kila kitu lakini bado tunawafukuza

Pamoja na kubamizwa kodi mara 2 mpaka 3 ya Tanzania lakini bado mnakopa na hamuwezi kuendesha mradi wowote bila mkopo
EdKMChwXsAEAVIg.jpg
 
Back
Top Bottom