Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Na hapo wamepigwa kodi mara 2 mpaka 3 ya Tanzania[emoji38] [emoji38] [emoji38] anabisha huku anajua, roho inamuuma atafanya nini sasa!!!
nakwambia ukweli brother, kuhusu uchumi wa kenya naanza kupata mashaka, nina uhakika hata wao weneyewe wameanza kupata ukakasi.
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Muulize mkenya bei za hivi vitu
Petroleum
Cooking gas
Umeme
Bottled water
Beer
Soda
Sigara
Pharmaceuticals
Tarrifs and charges
Zote zipo expensive mara 2 mpaka 3 ya Tanzania na bado hakuna tofauti ya maana kati ya makusanyo ya TRA na wao