Krismas ya mwaka huu yawa ya mfano, Chadema wahaha

Krismas ya mwaka huu yawa ya mfano, Chadema wahaha

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maaan kama siku umekosa point ni hii. Mbona inakuwa hivi kila mwaka? Ww hata christmass unafanyia siasa kweli? Grow up man
Shamrashamra za sikukuu ya krismas mwaka huu 2018 zimekuwa za mfano na kuwaacha Chadema mdomo wazi.

Viongozi wa chadema na wafuasi wao walikuwa wamejiandaa kutumia sikukuu za mwisho wa mwaka huu kuwaeleza na kuwaonyesha wananchi na dunia kwa ujumla jinsi vyuma vilivyokaza hapa Tanzania ! Lakini hali imekuwa tofauti na matarajio ya chadema. Sokoni watu wamejaa, kwenye bar watu wamejaa, kwenye mabasi watu wamejaa hadi hayatoshi kuwasafirisha!. Nyama inanunulika kwa sana na mialiko ni ya kutosha !

Hali hii imewaacha chadema katika hali mbaya mno kisiasa na wanatafakari waje na gia ipi nyingine baada ya hii ya vyuma kukaza kubuma.
 
Kweli hata jela watu wa mejaa hispitalini watu wamejaa msibani watu wamejaa, big up CCM.
Hata makambi ya wakimbizi Kakuma Kenya watu wamejaa, wanaokimbia vita Goma watu wamejaa wamejaa, kwenye kugawa chakula kwa wakimbizi Nyalugusu watu wamejaa, kwa waganga wa jadi watu wamejaa, madarasa chini ya miti watoto wamejaa. Watakoma hao Chadema
 
Haha si misifa ya kijinga. Ndio ukweli huo. Kama serikal isingeweka makao dar es salaam? Je wazaramo wangekuwa vizur kiuchumi?
Asilimia kubwa ya uchumi wa dar imeshikiliwa na wa kuja wala si wenyeji.
Misifa ya kijinga hii, jiji la kwanza maendeleo ni Dar kwa wazaramo na jiji la pili kwa maendeleo ni Mwanza kwa wasukuma
 
Wewe Utakuwa mfuasi wa jiwe, unatumia Muda mwingi kumsafisha jiwe. Pole sana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shamrashamra za sikukuu ya krismas mwaka huu 2018 zimekuwa za mfano na kuwaacha Chadema mdomo wazi.

Viongozi wa chadema na wafuasi wao walikuwa wamejiandaa kutumia sikukuu za mwisho wa mwaka huu kuwaeleza na kuwaonyesha wananchi na dunia kwa ujumla jinsi vyuma vilivyokaza hapa Tanzania ! Lakini hali imekuwa tofauti na matarajio ya chadema. Sokoni watu wamejaa, kwenye bar watu wamejaa, kwenye mabasi watu wamejaa hadi hayatoshi kuwasafirisha!. Nyama inanunulika kwa sana na mialiko ni ya kutosha !

Hali hii imewaacha chadema katika hali mbaya mno kisiasa na wanatafakari waje na gia ipi nyingine baada ya hii ya vyuma kukaza kubuma.
Uzuri ni kwamba gereza limetengenezwa kwa ajili ya watu... Kuna siku utajikuta nawe uko ndani na hapa hapa JF watakupandishia uzi....
 
Misifa ya kijinga hii, jiji la kwanza maendeleo ni Dar kwa wazaramo na jiji la pili kwa maendeleo ni Mwanza kwa wasukuma
Mzaramo maendeleo kwake ni ngoma ya kigodoro, mdundiko etc....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maaan kama siku umekosa point ni hii. Mbona inakuwa hivi kila mwaka? Ww hata christmass unafanyia siasa kweli? Grow up man
Yeye anakula na kulala kwa shemeji yake
 
Hayo madaraja, bandari na mambo mengine kibao unadhani yamejengwa kwa kutumia kodi zinazokusanywa kutoka kwa wazaramo? Kaskazini kuna utalii, madini, ufugaji na kilimo. Nenda kaangalie mchango wa hizi sekta kwa serikali. Na hilo jiji wala wazaramo hawalitendei haki' wafanya biashara wengi wametoka mbali.
Kwahiyo Arusha huongoza kwa ukusanyaji wa kodi hapa Tz?
 
Back
Top Bottom