Krismasi ni likizo ya kipagani, Yesu hakuzaliwa December 25

Krismasi ni likizo ya kipagani, Yesu hakuzaliwa December 25

Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 25 Disemba na ndio maana baadhi ya makundi ya Wakristo yanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 6 Januari.

Wakristo wa Orthodox kama vile wa nchini Ethiopia wao wanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 7 Januari na ndio wakati wa sherehe zao za X-Mass.

Kosa lingine kubwa la Ukristo wa watu wengi ni kuhusu siku ya kuzaliwa Yesu. Wachungaji walikuwa wamelala kondeni na mifugo yao wakati wa kuzaliwa Kristo (Luka 2:8).

wachungaji wasingeweza kulala nje kondeni tarehe 25 Disemba inayodaiwa kuzaliwa Nabii Isa AS kwani ni kipindi cha baridi kali na watu hawawezi kulala nje kondeni kipindi hicho.

Tarehe 25 Disemba ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani huko Ulaya kabla ya Ukristo kuingia. Kwa sababu hiyo Wakristo wa kweli wasisherehekee kuzaliwa kwa Kristo tarehe 25 Disemba. Kwa matendo, waumini wa kweli wa Kristo watumie siku za mapumziko ya watu wote, k.m Krisimasi, kuabudu pamoja popote iwezekanavyo."

Uingizwaji upotofu ndani ya mafundisho ya Nabii Isa AS kulikita mizizi zaidi katika karne za kati yaani karne za giza barani Ulaya.

Krismasi ni likizo ya kipagani
Kwa kweli kusherehekea Krismasi inahusu kudhihirisha mupagani wako wa ndani.

Injili hazitaji hata kidogo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu na Wakristo wa mwanzo hawakupendezwa hata kidogo na kuzaliwa kwa Yesu (as). Ilikuwa karne tatu tu baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati Ukristo ulipokuwa dini rasmi ya Milki ya Roma,

Krismasi iliadhimishwa kwa mara ya kwanza. Hata wakati huo, haikuadhimishwa sana. Krismasi ilipata umaarufu mwaka wa 800 WK, Charlemagne alipotawazwa kuwa maliki wa Milki ya Roma siku ya Krismasi. (Chimbuko la Krismasi: Ibada za Kipagani, Sherehe za Walevi na Zaidi).

Ili kufanya Ukristo upendeke zaidi kwa wapagani, viongozi wa kanisa la Kikristo la mapema waliiga mila za kipagani katika sherehe zao za Krismasi.

Krismasi, sikukuu ya ‘siku ya kuzaliwa kwa Bwana’, imeadhimishwa Desemba 25 tangu 354, kwa lengo la kukandamiza sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wa kipagani aitwae ''Sol Invictus'' (Jua Lisiloshindwa).

Waroma walikua wakisherehekea siku ya kuzaliwa kwa Mithra, mungu-jua wao, mnamo Desemba 25. Siku ya kuzaliwa ya Mithra ilionwa kuwa siku takatifu zaidi ya mwaka.

Ilikuwa desturi ya wapagani kusherehekea siku ile ile ya ishirini na tano ya Desemba siku ya kuzaliwa kwa Jua, ambapo waliwasha taa kwa ishara ya sikukuu. Katika sherehe hizi Wakristo pia walishiriki. Kwa hiyo, makasisi wa Kanisa walipoona kwamba Wakristo walikuwa na mwelekeo wa kusherehekea sikukuu hii ya kipagani, walichukua shauri na kuazimia kwamba Uzazi wa kweli wa Kuzaliwa kwa Yesu unapaswa kuadhimishwa siku hiyo… tarehe ishirini na tano mwezi wa Disemba ili kuhamisha ibada ya wapagani kutoka ibada ya kuabudu Jua hadi kwa yeye Yeus aliyeitwa Jua la Haki.

Viongozi wa kanisa walichagua tarehe hiyo “ili ipatane na sherehe ya kipagani ya Waroma ya ‘kuzaliwa kwa jua lisiloshindwa,’ wakati wa majira ya baridi kali.

View attachment 2850677
Kosa kubwa sana kuwasililiza Mazinge na Sulle lazima watakumislead
Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 25 Disemba na ndio maana baadhi ya makundi ya Wakristo yanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 6 Januari.

Wakristo wa Orthodox kama vile wa nchini Ethiopia wao wanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 7 Januari na ndio wakati wa sherehe zao za X-Mass.

Kosa lingine kubwa la Ukristo wa watu wengi ni kuhusu siku ya kuzaliwa Yesu. Wachungaji walikuwa wamelala kondeni na mifugo yao wakati wa kuzaliwa Kristo (Luka 2:8).

wachungaji wasingeweza kulala nje kondeni tarehe 25 Disemba inayodaiwa kuzaliwa Nabii Isa AS kwani ni kipindi cha baridi kali na watu hawawezi kulala nje kondeni kipindi hicho.

Tarehe 25 Disemba ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani huko Ulaya kabla ya Ukristo kuingia. Kwa sababu hiyo Wakristo wa kweli wasisherehekee kuzaliwa kwa Kristo tarehe 25 Disemba. Kwa matendo, waumini wa kweli wa Kristo watumie siku za mapumziko ya watu wote, k.m Krisimasi, kuabudu pamoja popote iwezekanavyo."

Uingizwaji upotofu ndani ya mafundisho ya Nabii Isa AS kulikita mizizi zaidi katika karne za kati yaani karne za giza barani Ulaya.

Krismasi ni likizo ya kipagani
Kwa kweli kusherehekea Krismasi inahusu kudhihirisha mupagani wako wa ndani.

Injili hazitaji hata kidogo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu na Wakristo wa mwanzo hawakupendezwa hata kidogo na kuzaliwa kwa Yesu (as). Ilikuwa karne tatu tu baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati Ukristo ulipokuwa dini rasmi ya Milki ya Roma,

Krismasi iliadhimishwa kwa mara ya kwanza. Hata wakati huo, haikuadhimishwa sana. Krismasi ilipata umaarufu mwaka wa 800 WK, Charlemagne alipotawazwa kuwa maliki wa Milki ya Roma siku ya Krismasi. (Chimbuko la Krismasi: Ibada za Kipagani, Sherehe za Walevi na Zaidi).

Ili kufanya Ukristo upendeke zaidi kwa wapagani, viongozi wa kanisa la Kikristo la mapema waliiga mila za kipagani katika sherehe zao za Krismasi.

Krismasi, sikukuu ya ‘siku ya kuzaliwa kwa Bwana’, imeadhimishwa Desemba 25 tangu 354, kwa lengo la kukandamiza sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wa kipagani aitwae ''Sol Invictus'' (Jua Lisiloshindwa).

Waroma walikua wakisherehekea siku ya kuzaliwa kwa Mithra, mungu-jua wao, mnamo Desemba 25. Siku ya kuzaliwa ya Mithra ilionwa kuwa siku takatifu zaidi ya mwaka.

Ilikuwa desturi ya wapagani kusherehekea siku ile ile ya ishirini na tano ya Desemba siku ya kuzaliwa kwa Jua, ambapo waliwasha taa kwa ishara ya sikukuu. Katika sherehe hizi Wakristo pia walishiriki. Kwa hiyo, makasisi wa Kanisa walipoona kwamba Wakristo walikuwa na mwelekeo wa kusherehekea sikukuu hii ya kipagani, walichukua shauri na kuazimia kwamba Uzazi wa kweli wa Kuzaliwa kwa Yesu unapaswa kuadhimishwa siku hiyo… tarehe ishirini na tano mwezi wa Disemba ili kuhamisha ibada ya wapagani kutoka ibada ya kuabudu Jua hadi kwa yeye Yeus aliyeitwa Jua la Haki.

Viongozi wa kanisa walichagua tarehe hiyo “ili ipatane na sherehe ya kipagani ya Waroma ya ‘kuzaliwa kwa jua lisiloshindwa,’ wakati wa majira ya baridi kali.

Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 25 Disemba na ndio maana baadhi ya makundi ya Wakristo yanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 6 Januari.

Wakristo wa Orthodox kama vile wa nchini Ethiopia wao wanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 7 Januari na ndio wakati wa sherehe zao za X-Mass.

Kosa lingine kubwa la Ukristo wa watu wengi ni kuhusu siku ya kuzaliwa Yesu. Wachungaji walikuwa wamelala kondeni na mifugo yao wakati wa kuzaliwa Kristo (Luka 2:8).

wachungaji wasingeweza kulala nje kondeni tarehe 25 Disemba inayodaiwa kuzaliwa Nabii Isa AS kwani ni kipindi cha baridi kali na watu hawawezi kulala nje kondeni kipindi hicho.

Tarehe 25 Disemba ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani huko Ulaya kabla ya Ukristo kuingia. Kwa sababu hiyo Wakristo wa kweli wasisherehekee kuzaliwa kwa Kristo tarehe 25 Disemba. Kwa matendo, waumini wa kweli wa Kristo watumie siku za mapumziko ya watu wote, k.m Krisimasi, kuabudu pamoja popote iwezekanavyo."

Uingizwaji upotofu ndani ya mafundisho ya Nabii Isa AS kulikita mizizi zaidi katika karne za kati yaani karne za giza barani Ulaya.

Krismasi ni likizo ya kipagani
Kwa kweli kusherehekea Krismasi inahusu kudhihirisha mupagani wako wa ndani.

Injili hazitaji hata kidogo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu na Wakristo wa mwanzo hawakupendezwa hata kidogo na kuzaliwa kwa Yesu (as). Ilikuwa karne tatu tu baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati Ukristo ulipokuwa dini rasmi ya Milki ya Roma,

Krismasi iliadhimishwa kwa mara ya kwanza. Hata wakati huo, haikuadhimishwa sana. Krismasi ilipata umaarufu mwaka wa 800 WK, Charlemagne alipotawazwa kuwa maliki wa Milki ya Roma siku ya Krismasi. (Chimbuko la Krismasi: Ibada za Kipagani, Sherehe za Walevi na Zaidi).

Ili kufanya Ukristo upendeke zaidi kwa wapagani, viongozi wa kanisa la Kikristo la mapema waliiga mila za kipagani katika sherehe zao za Krismasi.

Krismasi, sikukuu ya ‘siku ya kuzaliwa kwa Bwana’, imeadhimishwa Desemba 25 tangu 354, kwa lengo la kukandamiza sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wa kipagani aitwae ''Sol Invictus'' (Jua Lisiloshindwa).

Waroma walikua wakisherehekea siku ya kuzaliwa kwa Mithra, mungu-jua wao, mnamo Desemba 25. Siku ya kuzaliwa ya Mithra ilionwa kuwa siku takatifu zaidi ya mwaka.

Ilikuwa desturi ya wapagani kusherehekea siku ile ile ya ishirini na tano ya Desemba siku ya kuzaliwa kwa Jua, ambapo waliwasha taa kwa ishara ya sikukuu. Katika sherehe hizi Wakristo pia walishiriki. Kwa hiyo, makasisi wa Kanisa walipoona kwamba Wakristo walikuwa na mwelekeo wa kusherehekea sikukuu hii ya kipagani, walichukua shauri na kuazimia kwamba Uzazi wa kweli wa Kuzaliwa kwa Yesu unapaswa kuadhimishwa siku hiyo… tarehe ishirini na tano mwezi wa Disemba ili kuhamisha ibada ya wapagani kutoka ibada ya kuabudu Jua hadi kwa yeye Yeus aliyeitwa Jua la Haki.

Viongozi wa kanisa walichagua tarehe hiyo “ili ipatane na sherehe ya kipagani ya Waroma ya ‘kuzaliwa kwa jua lisiloshindwa,’ wakati wa majira ya baridi kali.

View attachment 2850677

View attachment 2850677
Kosa kubwa sana kuwasililiza Mazinge na Sulle

- - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - -
Kila Desemba huwa kuna mabishano ya tarehe ya Krismas ilivyopatikana. Mwaka 1743 profesa Paul Jablonski alihubiri kwamba "Desemba 25" ilikuwa sikukuu ya kipagani Kanisa Katoliki likaigeuza kuwa siku ya Krismas.

Japo wengi hufahamu tarehe moja tu lakini duniani kuna tarehe tatu za Krismas yaani "Januari 06" , "Januari 07" na "Desemba 25". Walioleta tarehe hizi ni Clement wa Alexandria na mtakatifu Hippolytus wa Roma.

Ilipofika Desemba 31, 192 Clement aliona zimepita siku 70,852 tangu Yesu Kristo kuzaliwa akaandika kwenye kitabu chake "Stromata 1:21" . Jibu lake linaonyesha Yesu alizaliwa Jumatano "Januari 06".

Hata wewe ukianzia "Desemba 31" ya miaka 2192, 4192, 6192, 8192, ukahesabu siku 70,852 kurudi nyuma, kama alivyofanya Clement utapata jibu linalokuleta kwenye Jumatano ya "Januari 06" ya miaka 1999, 3999, 5999, 7999.

Wakristo kadhaa walikubali hizi hesabu za Clement, wakaifanya "Januari 06" siku ya Krismas. Nchini Armenia wanaamini hesabu hizi za Clement na hadi leo "Januari 06" ndiyo Krismas yao ni kwani kanisa liitwalo "Armenian Apostolic Church" ndiyo siku linayoiadhimisha.

Tarehe nyingine ya Krismas ni "Desemba 25" na hii ndiyo wengi wanayoijua. Je hii ilipatikanaje? Jibu ni refu kidogo kama ifuatavyo.

Mwaka 2000 wakati Papa Benedict XVI akiwa bado anaitwa Joseph Kardinali Ratzinger aliandika kitabu "Spirit of the Liturgy". Tarehe za Krismas alizozisema Benedict XVI humo kitabuni ndizo alizosema mtakatifu Hippolytus ambaye mwaka 204 aliandika hivi "Tarehe ya kuzaliwa Yesu, Bethlehem, ilikuwa Desemba 25, Jumatano, wakati utawala wa Augustus ulipofikisha miaka 42, ikiwa ni miaka 5500 baada ya Adam".

Hippolytus alifanya hesabu zake kwa kutumia tukio la Malaika Gabriel kumtokea Zakaria hekaluni na kumwambia kwamba mkewe, yaani Elizabeth atapata mtoto atamwita Yohane (Luka 1:5-13, 19, 24). Je, pale hekaluni Zakaria alikuwa anafanya nini?

Zakaria alitokea kizazi Haruni kilichoagizwa hivi, "Mara moja kila mwaka Haruni atafanya ibada ya malipizi kwa ajili ya dhambi, atafanya mara moja kwa ajili ya malipizi ya altare. Nanyi mfanye hivi katika vizazi vijavyo. Altare hiyo, iliyo takatifu , iwekwe wakfu kwa Bwana" (Kutoka 30:10). Hivyo pale hekaluni Zakaria alikuwa kwenye ibada ya "malipizi ya dhambi" iliyoitwa "Yom Kippur".

Kwa kalenda ya kiebrania "Yom Kippur" iliadhimishwa tarehe kumi ya mwezi wa saba unaoitwa "Tishri", ninanukuu, "hii itakuwa kwenye amri ya milele. Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi, mtajinyima nafsi zenu, hamtafanya kazi yoyote tangu mzaliwa mpaka mgeni akaaye kati yenu" (Walawi 16:29).

Kwa kalenda yetu ya sasa "Yom Kippur" ni "Septemba 24".

Hii maana yake ni kwamba Elizabeth alianza ujauzito wa Yohane katika sikukuu hii ya "Yom Kippur" yaani "Septemba 24". Je hii "Septemba 24" aliyoanza huo ujauzito wa Yohane inahusianaje na Krismas? Uhusiano wa hii "Septemba 24" ndiyo unatupa jibu kwamba Yesu alizaliwa tarehe ipi kama ifuatavyo.

Miezi sita baadaye malaika huyohuyo Gabriel alimtokea Bikira Maria na kumwambia atapata mimba kama ambavyo Elizabeth ana mimba ya miezi sita japo ni mzee (Luka 1: 24-39).

Hivyo mtoto Yohane ambaye ujauzito wake ulianza "Septemba 24" alimtangulia umri mtoto Yesu kwa hiyo miezi sita kama anavyosema Malaika Gabriel.

Narudia, mimba ya Yohane ilipofikisha miezi sita ndipo mimba ya mtoto Yesu ikaanza kama alivyosema malaika Gabriel (Luka 1: 24-39). Hii inaturahisishia kujua mimba ya mtoto Yesu ilianza tarehe ipi.

Maadam mimba ya mtoto Yohane ilianza "Septemba 24" hiyo miezi sita baadaye ni "Machi 25" ndipo Bikira Maria naye anapashwa habari ya Yesu. Hivyo mimba ya mtoto Yesu ilianza "Machi 25".

Hii ndiyo sababu kila ifikapo "Machi 25" wakatoliki tuna sherehe iitwayo "Annunciation" yaani "kupashwa habari ya kuzaliwa Yesu".

Tumeona ujauzito wa mtoto Yohane ukianza "Septemba 24". Hivyo mimba Yohane iliishi hiyo miezi tisa akazaliwa "Juni 24" na ndiye ukubwani akaitwa Yohane Mbatizaji. Hii ndiyo sababu kila "Juni 24" wakatoliki tuna sikukuu ya kuzaliwa Yohane Mbatizaji.

Tumeona kwamba mtoto Yohane alimtangulia mtoto Yesu umri kwa miezi sita. Tumeona kwamba Yohane kazaliwa "Juni 24" hivyo miezi sita inayofuata ni tarehe ya mtoto Yesu kuzaliwa. Hivyo Yesu alizaliwa "Desemba 25" yaani miezi sita baada ya kuzaliwa Yohane Mbatizaji.

Vilevile unaweza kupata tarehe ya kuzaliwa Yesu kwa kujumlisha miezi tisa toka siku Malaika Gabriel alipomtaarifu Bikira Maria kupata ujauzito wa mtoto Yesu. Malaika alimtokea Bikira Maria "Machi 25" hivyo miezi tisa ya mimba ya mtoto Yesu kukaa tumboni inaisha "Desemba 25".

Hivi ndivyo tarehe ya Krismas yaani "Desemba 25" ilivyopatikana. Wote Clement na Hippolytus wanaonyesha kwamba Yesu alizaliwa Jumatano.

Wapo wakristo wanaoadhimisha Krismas kila "Januari 07". Tarehe hii inahitaji maelezo marefu yafuatayo. Mwaka 46KK Julius Caesar aliunda kalenda ili endane na mzunguko wa jua uliotumia siku 365.25 wakati kalenda ina siku 365 tu. Hivyo kila mwaka uliogawanyika kwa "nne" Julius Caesar aliongeza siku moja yaani "Februari 29" ukawa na siku 366. Kalenda hii ikaitwa "Julian Calendar".

Baadaye wanasayansi waligundua mzunguko siyo siku 365.25 bali ni siku 365.24218967. Ukifanya hesabu utaona kwamba kila ifikapo miaka 128.0355631583 mzunguko huo uliitangulia kalenda kwa siku moja.

Ukichilia mbali wanasayansi, kanisa katoliki lilianza kuutumia mzunguko wa jua mwaka 325. Tangu mwaka 325 hadi 1582 ni jumla ya miaka 1257. Kimahesabu ni kwamba kufikia huo mwaka 1582 mzunguko ulishaitangulia kalenda kwa siku 9.81758481 ambazo ni siku kumi. Hivyo Papa Gregory XIII aliunda kalenda mpya kwa, ikaitwa "Gregorian Calendar".

Baadhi ya wakristo waliikataa kalenda hii wakaendelea na "Julian Calendar". Matokeo yake kutokea mwaka 325 hadi leo imepita miaka 1694 hivyo tumeshawatangulia kwa siku 13.230699019971 ambazo ukiadiria ni siku 13.

Hivyo wakristo wanaofuata "Julian Calendar" tumewatangulia kwa hizo siku 13. Sisi tunaposherehekea Krismas "Desemba 25" wao wanaisubiri hadi "Januari 07".

Nchi ambazo Krismas ni "Januari 07" ni Belarus, Egypt, Ethiopia, Georgia, Kazakhstan, Macedonia, Moldova, Montenegro, Russia, Serbia, Ukraine. Itakapofika Mei mwaka 2117, yaani miaka 98 ijayo, nchi hizo zitaanza kuadhimisha Krismas "Januari 08" kwa sababu itakuwa imeongezeka siku moja zaidi na kuwa siku 14. Itakapofika Juni mwaka 2245 zitaadhimisha Krismas "Januari 09".

Sasa tuone jiografia tunapokaribia "Desemba 25". Dunia inapolizunguka jua huleta "solistasi" na "ikwinoksi". "Ikwinoksi" ni usiku na mchana kulingana. "Solistasi" ni mchana au usiku kuwa mrefu zaidi. Ulaya waliona "solistasi" ikitokea "Juni 25" na "Desemba 25" wakati "ikwinoksi" ilitokea "Machi 25" na "Septemba 25".

Desemba ni baada ya mavuno hivyo sherehe, michezo, vinywaji, likizo ndiyo wakati wake. Roma wamesherehekea namna hiyo tangu miaka 500 kabla ya Yesu kuzaliwa. Sherehe hizo zilizoitwa "Saturnalia" zilifanyika "Desemba 17" hadi "Desemba 23".

"Solistasi" ya " Desemba 25" ilileta usiku mrefu na hata jua kupotea wiki kadhaa na jua huanza kurudi kaskazini. Ipo dini iliyoitwa "Mithra" iliamini tukio hilo ni kuzaliwa "Mungu wa Jua" anayelirudisha angani, kwa kilatini akaitwa "Sol Invictus".

Hivyo ratiba ya Desemba ilienda hivi. Sherehe za "Saturnalia" zilianza "Desemba 17" zikaisha "Desemba 23". Ilipofika "Desemba 25" ikawa ni Krismas tangu mwaka 204. Hivyo, Krismas ilivyokuja ilikuta siku ya "Desemba 25" haina sikukuu wala shamrashamra yoyote. Kimsingi watu walikuwa wako katika siku ya pili ya mapumziko baada ya sherehe za "Saturnalia" kumalizika.

Kadiri Krismas ilivyozidi kushamiri ndipo serikali ya Roma ikashituka na mwaka 274 ikaamua kuitangaza "Desemba 25" iwe sikukuu ya kitaifa ya "Sol Invictus". Serikali ilitarajia Krismas ipoteze umaarufu maana sasa taifa zima litalazimika kusherehekea "Sol Invictus".

Mwaka 336 serikali ya Roma iliitangaza Krismas kuwa sikukuu ya taifa. Hii maana yake serikali iliitangaza wakati wakatoliki walishaisherehekea kwa zaidi ya miaka 132 tangu mwaka 204..

Hivyo Kanisa Katoliki halikugeuza sherehe ya kipagani iwe Krismas. Kinyume chake siku ya kipagani (Sol Invictus) iliyotangazwa mwaka 274 ndiyo imeikuta Krismas tayari ipo tangu mwaka 204 kama tulivyoona.

Kimahesabu hiyo sikukuu ya kipagani (Sol Invictus) imeikuta wakatoliki wanaisherehekea kwa zaidi ya miaka 70.

Hadi hapa tumeshajua mambo mawili. Jambo la kwanza ni kwamba kumbe tarehe za Krismas ziko tatu ingawa inayojulikana na wegi ni moja tu, yaani "Desemba 25". Kumbe zipo pia "Januari 06" na " Januari 07".

Jambo la pili ni kwamba makala hii imekuonyesha kwamba mtu wa kwanza kuifanya "Desemba 25" iwe ni Krismas alikuwa ni mtakatifu Hippolytus na alifanya hivyo mwaka 204.

Sasa mbona huyu Hippolytus hajulikani wala hatajwi sana. Sababu ya kwanza ni kwamba lugha aliyotumia Hippolytus kuyaandika hayo ilikuwa ni kigiriki wakati Roma walitumia sana kilatini.

Matokeo yake wasomi walioandika kwa kigiriki, kama yeye, walijikuta maandiko yao hayasomwi na wengi kwa karne nyingi.

Sababu ya pili ni kwamba historia ya mtakatifu Hippolytus inaonyesha kuwa aligombana sana na kuchukiwa sana na wenzake kanisani. Hivyo wengi kanisani hawakumpenda na hivyo hawajisumbua kusoma maandishi yake.

Pamoja na yote hayo ukweli unabaki kwamba mtakatifu Hippolytus ndiye aliyefanya hesabu zilizoipata "Desemba 25" kuwa sikukuu ya Krismas.

Natumaini umeelewa jinsi tarehe ya Krismas yaani "Desemba 25" ilivyopatikana. Nawatakia Krismas njema na heri ya mwaka mpya.

- - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - -
 
Hapa naomba Elimu kutoka kwa Wakatoliki wa hapa Bongo akina Bams, Yoda na wale wote Wenye Mapenzi Mema

Kwanini kuna Christmas mbili tofauti yaani tarehe 25 December na 7 January au kimantiki zaidi tuseme Wako wanaosherehekea Christmas Mwanzo wa mwaka na wengine wanaosherehekea mwisho wa mwaka

Mfano Ukraine walikuwa wanaosherehekea Christmas tarehe 7 January Lakini baada ya kugombana na Russia sasa wanasherehekea 25 December kuanzia jana

Elimu tafadhali bila kusahau Orthodox ni Catholic Church

Merry Christmas 😀
 
Uki Google utapata jibu hili
Orthodox walikuwa Catholics ila walijitenga
Screenshot_20231226_083031_Google~2.png
 
Hapa naomba Elimu kutoka kwa Wakatoliki wa hapa Bongo akina Bams, Yoda na wale wote Wenye Mapenzi Mema

Kwanini kuna Christmas mbili tofauti yaani tarehe 25 December na 7 January au kimantiki zaidi tuseme Wako wanaosherehekea Christmas Mwanzo wa mwaka na wengine wanaosherehekea mwisho wa mwaka

Mfano Ukraine walikuwa wanaosherehekea Christmas tarehe 7 January Lakini baada ya kugombana na Russia sasa wanasherehekea 25 December kuanzia jana

Elimu tafadhali bila kusahau Orthodox ni Catholic Church

Merry Christmas [emoji3]
Ni 6 Jan ambapo kanisa katoliki la magharibi (Latin church) husherehekea epiphany au tokeo la bwana ndio kanisa katoliki la mashariki Eastern Church husherehekea Christmas. Tafsiri yao siku hii ya Jan 6 ndio Yesu alijidhihirisha kwa mataifa yote kupitia kwa wale mamajusi!
 
Hapa naomba Elimu kutoka kwa Wakatoliki wa hapa Bongo akina Bams, Yoda na wale wote Wenye Mapenzi Mema

Kwanini kuna Christmas mbili tofauti yaani tarehe 25 December na 7 January au kimantiki zaidi tuseme Wako wanaosherehekea Christmas Mwanzo wa mwaka na wengine wanaosherehekea mwisho wa mwaka

Mfano Ukraine walikuwa wanaosherehekea Christmas tarehe 7 January Lakini baada ya kugombana na Russia sasa wanasherehekea 25 December kuanzia jana

Elimu tafadhali bila kusahau Orthodox ni Catholic Church

Merry Christmas 😀
Uchochezi huu. Kuna mwingine katuambia Christmas ni sikukuu ya wapagani
 
Ni 6 Jan ambapo kanisa katoliki la magharibi (Latin church) husherehekea epiphany au tokeo la bwana ndio kanisa katoliki la mashariki Eastern Church husherehekea Christmas. Tafsiri yao siku hii ya Jan 6 ndio Yesu alijidhihirisha kwa mataifa yote kupitia kwa wale mamajusi!
hawa waroman wana tafsiri nyingi sana ambazo kwenye biblia hazimo

wanatafsiri vitu vyao na kutuaminisha sisi
 
Mbona hao waislam wanaojitia wazimu kuichambua krismasi kwa mtazamo hasi, kuna wakristo huwa wanawashwa kuzichambua iddi zao? Ni wapumbavu waache ujinga huo
 
Back
Top Bottom