luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Wewe dogo una mambo ua kitoto sana.Wakuu, krismass ya mwaka huu UCHAGANI imefana mno mabasi yote tiketi zimeisha Hadi January 5,treni nazo zimefurika ndege ndio kabisaaa,mabasi mengine yaliyopewa vibali vya kupeleka watu kaskazini nayo yamejaa,hongereni Sana watu wa Kilimanjaro/kaskazini kwa kupenda kwenu nyumban Ni utamaduni mzuriView attachment 1658293View attachment 1658294View attachment 1658295View attachment 1658296
Good Lord,Nasikia bia zimeadimika huko Kilimanjaro.
Bukoba huku tumepata upungufu wa Hennessy, Ciroc, Belaire, Grants, Macallan, Famous grouse, Gordons, smirnoff, Remy Martin, Jonnie Walker Green Label, Blue Label, Double Black Shivas, Jack Daniel, Captain Morgan.
Watu wamezichangamkia mno na kuhujumu
Hapa tunapanga kuagiza mzigo wa kutosha Uganda
Na Sisi wa Dar es Salaam tunashukuru Kuwakopesha kwa muda tu Mabalaa mengi ya Ujambazi, Udhulumati na Utapeli wana Mkoa wa Kilimanjaro.Wakuu, krismass ya mwaka huu UCHAGANI imefana mno mabasi yote tiketi zimeisha Hadi January 5,treni nazo zimefurika ndege ndio kabisaaa,mabasi mengine yaliyopewa vibali vya kupeleka watu kaskazini nayo yamejaa,hongereni Sana watu wa Kilimanjaro/kaskazini kwa kupenda kwenu nyumban Ni utamaduni mzuriView attachment 1658293View attachment 1658294View attachment 1658295View attachment 1658296
Huna kwenu? Hupendi kwenu? Pole sanaWewe dogo una mambo ua kitoto sana.
Unapenda league sana hata kwenye mambo useless KABISA.
Childish
Watuletee Boeing 780Wingi wenu umezidi uwezo wa miundombinu ya usafiri mkuu!
Ndege ziko full hadi januari, Treni hajatosha wameongeza ruti, mabasi hayajatosha mmeongezewa kosta, nazo hazijatosha. WAWASAIDIEJE?
Endelea kunywa gahawa hapo buza kwa mpalange hapa sio size yakoNa Sisi wa Dar es Salaam tunashukuru Kuwakopesha kwa muda tu Mabalaa mengi ya Ujambazi, Udhulumati na Utapeli wana Mkoa wa Kilimanjaro.
Kuwa Mchagga halafu huna hela ni aibu sanaHadi Daladala za GongolaMboto zinapandisha watu Moshi. Hatari sana
Hapo ndio ujue watu wanapenda kwaoWingi wenu umezidi uwezo wa miundombinu ya usafiri mkuu!
Ndege ziko full hadi januari, Treni hajatosha wameongeza ruti, mabasi hayajatosha mmeongezewa kosta, nazo hazijatosha. WAWASAIDIEJE?