2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Hakuna uhusianoHivi Kuna uhusiano gani kati ya Christmas na unywaji pombe kupindukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna uhusianoHivi Kuna uhusiano gani kati ya Christmas na unywaji pombe kupindukia
Ndio muda mzuri wa kupiga hesabu, biashara asubuhi jioni (desemba)mahesabuUtamaduni wa ajabu sana. Hivi kwanini wasiende kwao hata wakati/mwezi mwingine wa mwaka? Lazima iwe Desemba tu? Wanajisababishia usumbufu na kuwasababishia usumbufu wasafiri wengine wa kawaida, bila sababu za msingi.
unashangaa nn?Mhhh wewe
Mtu kwaoUtamaduni wa ajabu sana. Hivi kwanini wasiende kwao hata wakati/mwezi mwingine wa mwaka? Lazima iwe Desemba tu? Wanajisababishia usumbufu na kuwasababishia usumbufu wasafiri wengine wa kawaida, bila sababu za msingi.
Sawa hizi hapa,una swali lingine?Wekeni na picha za makazi yenu binafsi. Mnaweka za makanisa na mabank ili iweje!?
Mbona umeweka picha za Uholanzi?Sawa hizi hapa,una swali lingine?View attachment 1660906View attachment 1660907View attachment 1660908
Hahahaha si unajua vijiji vya UCHAGANI ni kama ulaya kabisa?Mbona umeweka picha za Uholanzi?
Tukiwawekea sindo mtatujua jamani[emoji23][emoji23][emoji23] maana tunavyojuana mpk taabuWekeni na picha za makazi yenu binafsi. Mnaweka za makanisa na mabank ili iweje!?
Mbona tunaendaga mkuu.?Utamaduni wa ajabu sana. Hivi kwanini wasiende kwao hata wakati/mwezi mwingine wa mwaka? Lazima iwe Desemba tu? Wanajisababishia usumbufu na kuwasababishia usumbufu wasafiri wengine wa kawaida, bila sababu za msingi.
yaelekea nyie huko huwa hamnywi bia hizi za maji chumviNasikia bia zimeadimika huko Kilimanjaro.
Bukoba huku tumepata upungufu wa Hennessy, Ciroc, Belaire, Grants, Macallan, Famous grouse, Gordons, smirnoff, Remy Martin, Jonnie Walker Green Label, Blue Label, Double Black Shivas, Jack Daniel, Captain Morgan.
Watu wamezichangamkia mno na kuhujumu
Hapa tunapanga kuagiza mzigo wa kutosha Uganda
Nasikia bia zimeadimika huko Kilimanjaro.
Bukoba huku tumepata upungufu wa Hennessy, Ciroc, Belaire, Grants, Macallan, Famous grouse, Gordons, smirnoff, Remy Martin, Jonnie Walker Green Label, Blue Label, Double Black Shivas, Jack Daniel, Captain Morgan.
Watu wamezichangamkia mno na kuhujumu
Hapa tunapanga kuagiza mzigo wa kutosha Uganda
[emoji3][emoji3]Rudi kwenu Chitoholi
Havikuwahi kubanaAlafu bado wachaga wakatukana kwamba vyuma vilibana.
Karibu Kilimanjaro ukashangae maghorofa vijijinHakuna maajabu
Kumbe ulianza kuteseka Siku nyingi[emoji3][emoji3]Wewe dogo una mambo ua kitoto sana.
Unapenda league sana hata kwenye mambo useless KABISA.
Childish