Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaoneka kwenu ndio zenu mmezoea hayo mambo hiyo kitu haipo mnaishi maisha ya kukariri nenda kwenu acha kulia liaMuhimu mmefanikisha matambiko yenu, hata mkirudi kwa miguu siyo mbaya..
Kwa hiyo mkuu hamjachinja mbuzi wa tambiko.....kwani matambiko yanaruhusiwa kwa wakristoInaoneka kwenu ndio zenu mmezoea hayo mambo hiyo kitu haipo mnaishi maisha ya kukariri nenda kwenu acha kulia lia
Sasa Ni wapi? Huoni hiyo jezi imeandikwa Kilimanjaro?Ondoa picha ya treni hiyo, hapo si Moshi wala si Tanzania.
Utasema yoteMuhimu mmefanikisha matambiko yenu, hata mkirudi kwa miguu siyo mbaya..
Nenda kwenu huna kwenu?Kwa hiyo mkuu hamjachinja mbuzi wa tambiko.....kwani matambiko yanaruhusiwa kwa wakristo
Mimi sifanyi matambiko mkuu, naishi imani ya kikristo....Nenda kwenu huna kwenu?
. Na muda wa Safari Ni Kila siku au ?? Au Kuna specific days ???Nauli ni kama hivyoView attachment 1659418
Hujajenga kwenu umekalia kucheza bao mjini ndio maana unaona aibu kwenda kwenu uramboMimi sifanyi matambiko mkuu, naishi imani ya kikristo....
Nimeona na jengo la kanisa letu hapoWakuu, krismass ya mwaka huu UCHAGANI imefana mno mabasi yote tiketi zimeisha Hadi January 5,treni nazo zimefurika ndege ndio kabisaaa,mabasi mengine yaliyopewa vibali vya kupeleka watu kaskazini nayo yamejaa,hongereni Sana watu wa Kilimanjaro/kaskazini kwa kupenda kwenu nyumban Ni utamaduni mzuriView attachment 1658293View attachment 1658294View attachment 1658295View attachment 1658296
Mimi ni mchagga pia ila sipendi ndizi jamani1[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] labda mzuzu tu unaokaribia kuiva ichomwe ama ikaangweNimekaa hapo for 2 year, pabayaaaaa, yaani midizi tu hata sitamani.
Picha ya kwanza juu kushoto ni treni ya umeme, stesheni ya Moshi haiko hivyo na treni zetu haziko hivyo, wewe umedanganywa na huyo Dada anahudumia ndani ya behewa, tazama hayo mabehewa mengine uone tofauti, hata ndiyo yale tunaoneshwa treni ya mwendokasi ikitembea wakati hata reli haijakamilika.Sasa Ni wapi? Huoni hiyo jezi imeandikwa Kilimanjaro?
Yah mamba kkkt
HahahaEndelea kunywa gahawa hapo buza kwa mpalange hapa sio size yako
Mhhh weweTangu waondoke kurudi Moshi wizi umeisha ngoja warudi tutakoma
Wekeni na picha za makazi yenu binafsi. Mnaweka za makanisa na mabank ili iweje!?Wakuu, krismass ya mwaka huu UCHAGANI imefana mno mabasi yote tiketi zimeisha Hadi January 5,treni nazo zimefurika ndege ndio kabisaaa,mabasi mengine yaliyopewa vibali vya kupeleka watu kaskazini nayo yamejaa,hongereni Sana watu wa Kilimanjaro/kaskazini kwa kupenda kwenu nyumban Ni utamaduni mzuriView attachment 1658293View attachment 1658294View attachment 1658295View attachment 1658296