Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,541
- 3,521
Meku uchagani kama Paris, karibu TarakeaWakuu, krismass ya mwaka huu UCHAGANI imefana mno mabasi yote tiketi zimeisha Hadi January 5,treni nazo zimefurika ndege ndio kabisaaa,mabasi mengine yaliyopewa vibali vya kupeleka watu kaskazini nayo yamejaa,hongereni Sana watu wa Kilimanjaro/kaskazini kwa kupenda kwenu nyumban Ni utamaduni mzuriView attachment 1658293View attachment 1658294View attachment 1658295View attachment 1658296
Safi sana,nami nakazia HONGERENI SANA.na Mungu awazidishie barakaWakuu, krismass ya mwaka huu UCHAGANI imefana mno mabasi yote tiketi zimeisha Hadi January 5,treni nazo zimefurika ndege ndio kabisaaa,mabasi mengine yaliyopewa vibali vya kupeleka watu kaskazini nayo yamejaa,hongereni Sana watu wa Kilimanjaro/kaskazini kwa kupenda kwenu nyumban Ni utamaduni mzuriView attachment 1658293View attachment 1658294View attachment 1658295View attachment 1658296
Asante meku,karibu marangu samangaMeku uchagani kama Paris, karibu Tarakea
SanaaKwa kweli hawa jamaa wamejaza sana na watu wamepiga pesa balaaa........
Bila shaka wewe ni Bar medNasikia bia zimeadimika huko Kilimanjaro.
Bukoba huku tumepata upungufu wa Hennessy, Ciroc, Belaire, Grants, Macallan, Famous grouse, Gordons, smirnoff, Remy Martin, Jonnie Walker Green Label, Blue Label, Double Black Shivas, Jack Daniel, Captain Morgan.
Watu wamezichangamkia mno na kuhujumu
Hapa tunapanga kuagiza mzigo wa kutosha Uganda
Asante sanaSafi sana,nami nakazia HONGERENI SANA.na Mungu awazidishie baraka
Aibu kubwa sanaKuwa Mchagga halafu huna hela ni aibu sana
Nimekaa hapo for 2 year, pabayaaaaa, yaani midizi tu hata sitamani.Meku uchagani kama Paris, karibu Tarakea
Rudi kwenu ChitoholiNimekaa hapo for 2 year, pabayaaaaa, yaani midizi tu hata sitamani.
Shida ya mswahili ni planning... Hivi unashindwaje kwenda kukata tiketi 10 days before au hata wiki 2 kabla ya safari? Yaani eti tarehe 23 au 24 ndiyo uende Ubungo kukata tiketi? You must be joking aisee...NILIKUWA NA MPELEKA DOGGO AENDEMOSHI NILICHOKIIONA N KAMA TUNAKIMBILIA UHAMISHONI JINSI UNAVYOTESEKA KUPATA USAFIRI SITOSAHAU KABISA
TUNAPOLEKEA TUTAAMUA KUWA WAZARAMO SIKU ZA SIKUKUUU SIO KWA MATESO YALE AISEE
Treni inapita jirani na nyumbani huko Kijijini, yaani kwa wiki ziko 3 na kila moja behewa 25 up to 30 kwa kweli TRL wanapiga pesa balaa...Wingi wenu umezidi uwezo wa miundombinu ya usafiri mkuu!
Ndege ziko full hadi januari, Treni hajatosha wameongeza ruti, mabasi hayajatosha mmeongezewa kosta, nazo hazijatosha. WAWASAIDIEJE?
NAULI YA KWENDA MOSHI KWA DARAJA LA KAWAIDA NI KIASI GANI ?Treni inapita jirani na nyumbani huko Kijijini, yaani kwa wiki ziko 3 na kila moja behewa 25 up to 30 kwa kweli TRL wanapiga pesa balaa...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wingi wenu umezidi uwezo wa miundombinu ya usafiri mkuu!
Ndege ziko full hadi januari, Treni hajatosha wameongeza ruti, mabasi hayajatosha mmeongezewa kosta, nazo hazijatosha. WAWASAIDIEJE?
Nauli ni kama hivyoNAULI YA KWENDA MOSHI KWA DARAJA LA KAWAIDA NI KIASI GANI ?
Ondoa picha ya treni hiyo, hapo si Moshi wala si Tanzania.Wakuu, krismass ya mwaka huu UCHAGANI imefana mno mabasi yote tiketi zimeisha Hadi January 5,treni nazo zimefurika ndege ndio kabisaaa,mabasi mengine yaliyopewa vibali vya kupeleka watu kaskazini nayo yamejaa,hongereni Sana watu wa Kilimanjaro/kaskazini kwa kupenda kwenu nyumban Ni utamaduni mzuriView attachment 1658293View attachment 1658294View attachment 1658295View attachment 1658296
Hela yetu ni ya kuungaunga, ukiahidiwa utalipwa kesho ongeza kesho zako tano ndipo utalipwa. Tunanunua robo sukari kila siku, robo unga kila siku, robo mchele kila siku na supamaketi ni kharamu kwetu kwani hakuna robo, usitulaumu sisi walaumu waliotufikisha miaka sitini tukiwa na porojo.Shida ya mswahili ni planning... Hivi unashindwaje kwenda kukata tiketi 10 days before au hata wiki 2 kabla ya safari? Yaani eti tarehe 23 au 24 ndiyo uende Ubungo kukata tiketi? You must be joking aisee...