Krismasi yapamba moto Kilimanjaro. Magari, treni, ndege zafurika abiria

Nimeona na jengo la kanisa letu hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Ni wapi? Huoni hiyo jezi imeandikwa Kilimanjaro?
Picha ya kwanza juu kushoto ni treni ya umeme, stesheni ya Moshi haiko hivyo na treni zetu haziko hivyo, wewe umedanganywa na huyo Dada anahudumia ndani ya behewa, tazama hayo mabehewa mengine uone tofauti, hata ndiyo yale tunaoneshwa treni ya mwendokasi ikitembea wakati hata reli haijakamilika.
 
Wekeni na picha za makazi yenu binafsi. Mnaweka za makanisa na mabank ili iweje!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…