Krismasi yapamba moto Kilimanjaro. Magari, treni, ndege zafurika abiria

Utamaduni wa ajabu sana. Hivi kwanini wasiende kwao hata wakati/mwezi mwingine wa mwaka? Lazima iwe Desemba tu? Wanajisababishia usumbufu na kuwasababishia usumbufu wasafiri wengine wa kawaida, bila sababu za msingi.
 
Utamaduni wa ajabu sana. Hivi kwanini wasiende kwao hata wakati/mwezi mwingine wa mwaka? Lazima iwe Desemba tu? Wanajisababishia usumbufu na kuwasababishia usumbufu wasafiri wengine wa kawaida, bila sababu za msingi.
Ndio muda mzuri wa kupiga hesabu, biashara asubuhi jioni (desemba)mahesabu
 
Utamaduni wa ajabu sana. Hivi kwanini wasiende kwao hata wakati/mwezi mwingine wa mwaka? Lazima iwe Desemba tu? Wanajisababishia usumbufu na kuwasababishia usumbufu wasafiri wengine wa kawaida, bila sababu za msingi.
Mtu kwao
 
Utamaduni wa ajabu sana. Hivi kwanini wasiende kwao hata wakati/mwezi mwingine wa mwaka? Lazima iwe Desemba tu? Wanajisababishia usumbufu na kuwasababishia usumbufu wasafiri wengine wa kawaida, bila sababu za msingi.
Mbona tunaendaga mkuu.?

Pia dec ni Holiday season. Utawapangiaje watu namna ha kuitumia likizo yao.
 
yaelekea nyie huko huwa hamnywi bia hizi za maji chumvi
 

Kwa kweri hata service za magari yetu Mercedes, Lamborghini,Audi,BMW.....imekuwa shida tumeagiza Oil kutoka France,Germany,USA ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…