Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Tatizo lenu mnadhani watu wote humu JF ni vijana wadogo. Tumo Babu, Bibi, Baba na Mama zenu humu.1993-2024=31
Ilikufanya hayo uliyosema si chini ya umri wa miaka 20!
Mara nyingi hizi zinakuwa ni hadithi za kuhadithiwa au hualisia wake ni mdogo sana .