Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 906
- 1,401
Mpaka wanakeraTunapenda Lakin sio kila wakat
Sasa asubuh mtu anatumia text.
Anataka ujibu mda huo huo mchana nae ndo huyo huyo na ukichelewa utaskia uko na nan
Mbona hujibu msg.
na kumbe mtu uko kaz kumtafta ugali mm binafs napenda
Kua online Sana most jion na weekends.
Kinachoniboa zaid n hiz sim za
Mkianza kuongea mpaka sim unapata
Moto[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Bora tuwaachie Tu wanafunz wenzaoMpaka wanakera
eeeh sawa tutapiga mara moja kwa siku maongezi maximum 2mntsTunapenda Lakin sio kila wakat
Sasa asubuh mtu anatumia text.
Anataka ujibu mda huo huo mchana nae ndo huyo huyo na ukichelewa utaskia uko na nan
Mbona hujibu msg.
na kumbe mtu uko kaz kumtafta ugali mm binafs napenda
Kua online Sana most jion na weekends.
Kinachoniboa zaid n hiz sim za
Mkianza kuongea mpaka sim unapata
Moto[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Anatanua nini sasa wakati kibarua kimeota nyasi nae huyu!
Kawaida,tunazaliwa na bado panaliwa.Ivo hiyo ni fungua njia tu hiyoIla ukumbuke huyo wa 28 pia wadau tuli hit and run kipindi yuko 23[emoji23]
Huo muda sawa,sijui wanautoaga wapiTunapenda Lakin sio kila wakat
Sasa asubuh mtu anatumia text.
Anataka ujibu mda huo huo mchana nae ndo huyo huyo na ukichelewa utaskia uko na nan
Mbona hujibu msg.
na kumbe mtu uko kaz kumtafta ugali mm binafs napenda
Kua online Sana most jion na weekends.
Kinachoniboa zaid n hiz sim za
Mkianza kuongea mpaka sim unapata
Moto[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hao unajua wengi n Kula kulalaHuo muda sawa,sijui wanautoaga wapi
Exactly mkitaka zaid twende meetingeeeh sawa tutapiga mara moja kwa siku maongezi maximum 2mnts
Exactly mkitaka zaid twende meeting
Sasa unataka tuongee 1hr seriously [emoji849][emoji849][emoji849][emoji15]
mmh hapa sijui ila nnachojua ndumba haingalii umri
natania piaSasa unataka tuongee 1hr seriously [emoji849][emoji849][emoji849]
Tunaongea nn Kama tulishajuana
Ewaaaa hapo Sawa sasanatania pia
tukiwa hatuna mada serious mazungumzo yakizidi dakika 5 huwa naboeka
kawaida ni twice a day kama hayupo, akiwepo labda sms ya nipike nini baaasi
wangu ni mtu wa kulakwa mood hivyo ni muhimu kujua mood ya siku hiyo imempeleka wapiEwaaaa hapo Sawa sasa
Ila hapo kwenye nipike nn
Binafs hua spend hlo swali
Maana anajua nn ambacho sili.
Ila me nkipata chochote kimepikwa anajua
Nakula najilia nashiba zangu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mood ikiwa ya kaskazinwangu ni mtu wa kulakwa mood hivyo ni muhimu kujua mood ya siku hiyo imempeleka wapi
only kama tumefurahishana vinginevyo utakula utachokuta
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mood ikiwa ya kaskazin
Bas utabid uandae ndizi nyama
Agiza chochote ulipo natuma na bankmmh hapa sijui ila nnachojua ndumba haingalii umri
kwenye swala la ndoa ni sawa kwa sababu hata wanaume kuna umri ukifika unatamani uwe na mke na familia iliyostable
Na ww ushapanga bajet yako ya wali kukuBalaa[emoji23]