Ku - date na mabinti wa 18-28 ni mateso tupu hamna furaha kabisa

Wanaume sikuhizi mnapenda kuolewa na wanawake wenye hela hzo age hapo unakuta hawana kipato,so wanaume kitonga wanawakimbia
Ndio 50/50 mnayo ililia ambayo,baadhi ya wanaume wameanza kuilewa kama mnavyo ielewa nyie. Kadili mwanamke anavyo pigania 50/50,mdivyo idadi ya wanaume inazidi kupungua wamebaki wavulana, endeleni kupambana.
 
Wanaume sikuhizi mnapenda kuolewa na wanawake wenye hela hzo age hapo unakuta hawana kipato,so wanaume kitonga wanawakimbia
mawazo ya kijinga sana haya katika mapenzi binafsi natafta fyraha sio kuhongwa ninahela yangu ya kula thaz why nipo huku hata hili bandle ni hela pia usijisahaulishe mama,,,. and hakuna mwanaume yoyote mwenye hela ya kumridhisha mwanamke mwenye tamaa maana hata ukimununulia ferari atadai lolyloyce na ukimnunulia lollyloyce atadai prevertjet wanawake wadogo ni pasuka kichwa sana na badest wanatafta umaarufu kupitia pesa ya mwanamaume kudadek
 
Ndio 50/50 mnayo ililia ambayo,baadhi ya wanaume wameanza kuilewa kama mnavyo ielewa nyie. Kadili mwanamke anavyo pigania 50/50,mdivyo idadi ya wanaume inazidi kupungua wamebaki wavulana, endeleni kupambana.
Hyo 50/50 sio ya kulea mwanaume na balls zake maana hao vibeten hata hawachangii hata 20%
 
Wanaume wa sikuhizi au wepi unawasemea mkuu
 
Tumia kinga acha kuweka watoto ambao huna matarajio nao.
 
Ukiona unaanza kushabikia mama zako jua we siyo rijali tena bali mchovu ambaye hata kuwashughulikia huwezi. Inabidi ukomae hasa ikizingatiwa kuwa wanajua unaweza ukawatumia na kutimua au kuna jingine binafsi mwanangu?
 
Mleta uzi, jichunguze umri wako, hivi umewahi jiuliza kwanini watoto wadogo wanafurahi sana kucheza na watoto wenzao? Au kama wewe ni mkubwa basi ujifanye mtoto mwenzie ndio mtaelewana.

Ndivyo ilivyo kwa hao wasichana wa huo umri. Wengi wao bado wapo kidato (wakusoma) hivyo hawana muda wa kutosha kuzurura mitaani kwani muda mwingi wapo school. Wanawezana na vichalii vya school maana hata vyenyewe vinakuwa school so vikitoka ndo vinapata time za kwenda kupumzikiana
 
Hyo 50/50 sio ya kulea mwanaume na balls zake maana hao vibeten hata hawachangii hata 20%
Sasa hii 50/50 inafundishwa mpaka mashuleni,hawaangalii jinsia huoni hata watoto kiume nae wanaona ni haki yao.

Sometimes bora jando kwani imetutengeneza wanaume mashababi, ila siku hizi kama baba hujasimama kumjenga mwanao husitegemee hii dunia ya 50/50 kama itakulelea mwanao.
 
Wanaume sikuhizi mnapenda kuolewa na wanawake wenye hela hzo age hapo unakuta hawana kipato,so wanaume kitonga wanawakimbia
Najua age zote wanahitaji hela Ila hao 18-28 ni pasua kichwa. Hata kushuka microphone hawajui
 
Kunywa wine mkuu nakuja kulipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…