joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ndio 50/50 mnayo ililia ambayo,baadhi ya wanaume wameanza kuilewa kama mnavyo ielewa nyie. Kadili mwanamke anavyo pigania 50/50,mdivyo idadi ya wanaume inazidi kupungua wamebaki wavulana, endeleni kupambana.Wanaume sikuhizi mnapenda kuolewa na wanawake wenye hela hzo age hapo unakuta hawana kipato,so wanaume kitonga wanawakimbia
mawazo ya kijinga sana haya katika mapenzi binafsi natafta fyraha sio kuhongwa ninahela yangu ya kula thaz why nipo huku hata hili bandle ni hela pia usijisahaulishe mama,,,. and hakuna mwanaume yoyote mwenye hela ya kumridhisha mwanamke mwenye tamaa maana hata ukimununulia ferari atadai lolyloyce na ukimnunulia lollyloyce atadai prevertjet wanawake wadogo ni pasuka kichwa sana na badest wanatafta umaarufu kupitia pesa ya mwanamaume kudadekWanaume sikuhizi mnapenda kuolewa na wanawake wenye hela hzo age hapo unakuta hawana kipato,so wanaume kitonga wanawakimbia
Hyo 50/50 sio ya kulea mwanaume na balls zake maana hao vibeten hata hawachangii hata 20%Ndio 50/50 mnayo ililia ambayo,baadhi ya wanaume wameanza kuilewa kama mnavyo ielewa nyie. Kadili mwanamke anavyo pigania 50/50,mdivyo idadi ya wanaume inazidi kupungua wamebaki wavulana, endeleni kupambana.
Wanaume wa sikuhizi au wepi unawasemea mkuumawazo ya kijinga sana haya katika mapenzi binafsi natafta fyraha sio kuhongwa ninahela yangu ya kula thaz why nipo huku hata hili bandle ni hela pia usijisahaulishe mama,,,. and hakuna mwanaume yoyote mwenye hela ya kumridhisha mwanamke mwenye tamaa maana hata ukimununulia ferari atadai lolyloyce na ukimnunulia lollyloyce atadai prevertjet wanawake wadogo ni pasuka kichwa sana na badest wanatafta umaarufu kupitia pesa ya mwanamaume kudadek
Tumia kinga acha kuweka watoto ambao huna matarajio nao.Habari wakuu,
Kwa uzoefu nilioupata kutokana na kupitia mahusiano mbalimbali hatmae leo nimeona nilete hitimisho kuwa kudate na mabinti hakuna furaha kabisa, yaani hawa watoto maisha yao katika mahusiano yamejaa vioja na mateso chungu nzima, yaani ni mahusiano ya wasiwasi tupu, Kwanza haupati unachokitaka kwa mda unaotaka, mnaishi maisha ya kupangiana mida ya kuonana, mnapangiana hadi pakumwagia,,,, Hapo sasa sijazungumzia lile balaa la bebi sijaona siku zangu, SEEH Hata sitaki kuendelea kufafanua haya mateso, ila shida kuna watu wanaweza kuhisi mahusiano ndivyo yalivyo kwa kuwa hawajawahi kujaribu upande wa pili wa 30-49 etc
Yani wanawake wa age kuanzia 30-49 etc wako vizuri sana, hawana mambo mengi sana na hawana tamaa za ajabu ajabu pia wako very romantic, hata ukipaliwa kidogo mikiwa wote utasikia pole baby hebu kanywe maji kwanza, In short wanacare sana,
Na hawana ahadi za uongo akisema mtaonana mda flani ontime anakucheki na hawana mambo mengi kama haiwezekani hawaforce mambo yaani wako very systematically ni haipo haipo kweli ipo ipo hamna longolongo'
Hawana tamaa za ajabu ajabu kama akihitaji kitu hauna wanajua maisha hawalazimishi, ni wapole pia ni wavumilivu wanajua changamoto kuwa kuna kukosa na kuna kupata, hawawezi kukuomba kitu ambacho wanajua hauna uwezo nacho au anachojua wewe kukipata kitagalimu au kuvuruga bajeti yako ya kujiendesha
Hamna wasiwasi kuhofia mimba au kuonekana, labda kama kuna mpango wa kando napo pia wanakuwaga makini sana hawataki kabisa kukuharibia au wao kujiharibia wanaheshimu sana mahusiano yako incase kama makubaliano yenu wote ni ya mpango wa kando ni watu makini sana katika mambo yao na haoneshi dalili za mabadiliko katika watu wao, wanakuwa wako lovely sana ni ngumu hata wao kushtukiwa.
Hawaitaji extra energy kama mundende na vumbi la kongo ikitokea siku ukaperfom chini ya kiwango unapata nafasi nyingine ya kujirekebisha na hawaoneshi dalili yoyote ya unyanyapaa wala kukudharau wanajua hizo changamoto ni kawaida sana na hawana tamaa ya shoo bigbig
Kimaumbile kidogo hapa wanazidi kunichanganya utakuta mtu kapitisha vichwa vya watoto 5 au 4 ila bado iko taiti na joto kama lote ila hawa bwana wadogo ukikutana nao utakupa ni Breakmbupu yaani kuna mda inabidi upitishe mkono kuhakiki kama imo au ni pembeni hata sijui kama wanakanyagwa na miguu ya tembo huko ikulu maana ni hatari na nusu,
Pia wako siriaz sana katika mapenzi hawahitaji kudekezwa na utoto mwingine wa kijinga ni watu wa kazi mambo ya utoto na michezo ya kurushiana mito kwenye sita kwa sita kacheze na watoto wao wakishafika kunako wanajua kipi kifanyike sio watu wa kupoteza mda kwa utoto na mambo yasiyo na msingi mambo ya tom and jerry nyumbani kwa watoto, wao ni kazikazi tu.
Kwa kweli ninamengi ya kuwasifia ila ngoja niishie hapa kwa leo ila kwangu mimi hii age #MITANO TENA.
Khaaaah!! Mbingu utaisikia tu[emoji1787]Freedom fighters [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kimsingi mwamba kaamua kuniangushia jumba bovu yani
Tumesifiwa nakwambiaaaaa.Bora 40+ leo tumepata mtetezi.
Ukiona unaanza kushabikia mama zako jua we siyo rijali tena bali mchovu ambaye hata kuwashughulikia huwezi. Inabidi ukomae hasa ikizingatiwa kuwa wanajua unaweza ukawatumia na kutimua au kuna jingine binafsi mwanangu?Habari wakuu,
Kwa uzoefu nilioupata kutokana na kupitia mahusiano mbalimbali hatmae leo nimeona nilete hitimisho kuwa kudate na mabinti hakuna furaha kabisa, yaani hawa watoto maisha yao katika mahusiano yamejaa vioja na mateso chungu nzima, yaani ni mahusiano ya wasiwasi tupu, Kwanza haupati unachokitaka kwa mda unaotaka, mnaishi maisha ya kupangiana mida ya kuonana, mnapangiana hadi pakumwagia,,,, Hapo sasa sijazungumzia lile balaa la bebi sijaona siku zangu, SEEH Hata sitaki kuendelea kufafanua haya mateso, ila shida kuna watu wanaweza kuhisi mahusiano ndivyo yalivyo kwa kuwa hawajawahi kujaribu upande wa pili wa 30-49 etc
Yani wanawake wa age kuanzia 30-49 etc wako vizuri sana, hawana mambo mengi sana na hawana tamaa za ajabu ajabu pia wako very romantic, hata ukipaliwa kidogo mikiwa wote utasikia pole baby hebu kanywe maji kwanza, In short wanacare sana,
Na hawana ahadi za uongo akisema mtaonana mda flani ontime anakucheki na hawana mambo mengi kama haiwezekani hawaforce mambo yaani wako very systematically ni haipo haipo kweli ipo ipo hamna longolongo'
Hawana tamaa za ajabu ajabu kama akihitaji kitu hauna wanajua maisha hawalazimishi, ni wapole pia ni wavumilivu wanajua changamoto kuwa kuna kukosa na kuna kupata, hawawezi kukuomba kitu ambacho wanajua hauna uwezo nacho au anachojua wewe kukipata kitagalimu au kuvuruga bajeti yako ya kujiendesha
Hamna wasiwasi kuhofia mimba au kuonekana, labda kama kuna mpango wa kando napo pia wanakuwaga makini sana hawataki kabisa kukuharibia au wao kujiharibia wanaheshimu sana mahusiano yako incase kama makubaliano yenu wote ni ya mpango wa kando ni watu makini sana katika mambo yao na haoneshi dalili za mabadiliko katika watu wao, wanakuwa wako lovely sana ni ngumu hata wao kushtukiwa.
Hawaitaji extra energy kama mundende na vumbi la kongo ikitokea siku ukaperfom chini ya kiwango unapata nafasi nyingine ya kujirekebisha na hawaoneshi dalili yoyote ya unyanyapaa wala kukudharau wanajua hizo changamoto ni kawaida sana na hawana tamaa ya shoo bigbig
Kimaumbile kidogo hapa wanazidi kunichanganya utakuta mtu kapitisha vichwa vya watoto 5 au 4 ila bado iko taiti na joto kama lote ila hawa bwana wadogo ukikutana nao utakupa ni Breakmbupu yaani kuna mda inabidi upitishe mkono kuhakiki kama imo au ni pembeni hata sijui kama wanakanyagwa na miguu ya tembo huko ikulu maana ni hatari na nusu,
Pia wako siriaz sana katika mapenzi hawahitaji kudekezwa na utoto mwingine wa kijinga ni watu wa kazi mambo ya utoto na michezo ya kurushiana mito kwenye sita kwa sita kacheze na watoto wao wakishafika kunako wanajua kipi kifanyike sio watu wa kupoteza mda kwa utoto na mambo yasiyo na msingi mambo ya tom and jerry nyumbani kwa watoto, wao ni kazikazi tu.
Kwa kweli ninamengi ya kuwasifia ila ngoja niishie hapa kwa leo ila kwangu mimi hii age #MITANO TENA.
Sasa hii 50/50 inafundishwa mpaka mashuleni,hawaangalii jinsia huoni hata watoto kiume nae wanaona ni haki yao.Hyo 50/50 sio ya kulea mwanaume na balls zake maana hao vibeten hata hawachangii hata 20%
Mbona unaonekekana mteke, hauzidi 30yrs.Bora 40+ leo tumepata mtetezi.
Miaka yako 22 usijiite 40+Bora 40+ leo tumepata mtetezi.
Najua age zote wanahitaji hela Ila hao 18-28 ni pasua kichwa. Hata kushuka microphone hawajuiWanaume sikuhizi mnapenda kuolewa na wanawake wenye hela hzo age hapo unakuta hawana kipato,so wanaume kitonga wanawakimbia
Kunywa wine mkuu nakuja kulipamawazo ya kijinga sana haya katika mapenzi binafsi natafta fyraha sio kuhongwa ninahela yangu ya kula thaz why nipo huku hata hili bandle ni hela pia usijisahaulishe mama,,,. and hakuna mwanaume yoyote mwenye hela ya kumridhisha mwanamke mwenye tamaa maana hata ukimununulia ferari atadai lolyloyce na ukimnunulia lollyloyce atadai prevertjet wanawake wadogo ni pasuka kichwa sana na badest wanatafta umaarufu kupitia pesa ya mwanamaume kudadek