Ku - date na mabinti wa 18-28 ni mateso tupu hamna furaha kabisa

Ku - date na mabinti wa 18-28 ni mateso tupu hamna furaha kabisa

18-25 bado wanapenda fantasies na si wa kufake maana ni wanafunzi wa mapenzi ikichanganya na genye mshindo. Vibomu vyao ni nataka Vocha, hela ya nguo si gharama sana ingawa wanaigawa kwa

. Miaka 26 kupanda juu wanafikiria ndoa. Ngenye za manati na kufake sana. Wanafikiria kuwa na nyumba na kupata Gari, vibomu vyao vya pesa ndefu maana anafikiria kununua kiwanja.

30 kwenda juu , wanafikiria kuwa masingle maza, akili yake haitulii, kufake kwa sana.
35-45 ni masingo maza wengi, hapo sasa wakipata kijana anataka amuoe aondoe nuksi. Hapo utaona viBen10 vinajimwaya kumbe jamaa anataka au ndoa au kudhalilisha wanaume, ingawa atakuwa na sponsor. Niendelee
nimeipenda hii. Kumbe tatizo ni wako focused wanatafuta ndoa! na wako worried kama ndoto zao zaweza kuja kuwa kweli. Nimekuelewa sana!! Ahsante. Si vibaya kam una la nyongeza maana wangu vibomu vimezidi na mzigo kama vile anakusaidia!!
 
Love wako peke yako huyu! Tulia ule vya duniani manake vya mbinguni hatuna uhakika navyo.
Aaaah wa peke yangu kwani moyo huo. Hebu changamka bwana nataka mke mwenza.
 
Wa mama wako pow sana
Naunga mkono hoja
Japo sio wakuwaendekeza
Yaan hawana longolingo
Hawana mizinga yakiboya
Na akiomba jua kakwama kwelii
Ila hawa wenzangu na mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mizinga hua naishia kucheka tu[emoji23][emoji23]
 
Ebu itaje hio gesti na bar na vipo maeneo gani

Iceland Hotel kama sijakosea maana ni zamani kidogo, ipo jirani na barabara maeneo ya Arjentina. Pembeni yake wanauza majeneza sanaa, sasa ukitoka hapo unaenda kama waelekea Magomeni Kagera hapo katikati ndo kuna hiyo Bar , nimeisahau jina....
 
Back
Top Bottom