Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona tayari kaka yangu. Ya kwangu naona iliwahi sijui[emoji2297][emoji2297]My dada unakaribia menopause kumbe[emoji15][emoji15]
nimeipenda hii. Kumbe tatizo ni wako focused wanatafuta ndoa! na wako worried kama ndoto zao zaweza kuja kuwa kweli. Nimekuelewa sana!! Ahsante. Si vibaya kam una la nyongeza maana wangu vibomu vimezidi na mzigo kama vile anakusaidia!!18-25 bado wanapenda fantasies na si wa kufake maana ni wanafunzi wa mapenzi ikichanganya na genye mshindo. Vibomu vyao ni nataka Vocha, hela ya nguo si gharama sana ingawa wanaigawa kwa
. Miaka 26 kupanda juu wanafikiria ndoa. Ngenye za manati na kufake sana. Wanafikiria kuwa na nyumba na kupata Gari, vibomu vyao vya pesa ndefu maana anafikiria kununua kiwanja.
30 kwenda juu , wanafikiria kuwa masingle maza, akili yake haitulii, kufake kwa sana.
35-45 ni masingo maza wengi, hapo sasa wakipata kijana anataka amuoe aondoe nuksi. Hapo utaona viBen10 vinajimwaya kumbe jamaa anataka au ndoa au kudhalilisha wanaume, ingawa atakuwa na sponsor. Niendelee
Kaongo kweli haka!Mbona tayari kaka yangu. Ya kwangu naona iliwahi sijui[emoji2297][emoji2297]
Tupo tumejaa teleee!Wanapatikana wapi hao na mimi niwatafute...
Babe love wangu na wenzangu, hujambo?Kaongo kweli haka!
Love wako peke yako huyu! Tulia ule vya duniani manake vya mbinguni hatuna uhakika navyo.Babe love wangu na wenzangu, hujambo?
Wacha we!!Ninavyo 22-16 wanatia kinyaa upande wangu!
Binafsi napenda Mwanamke awe Dominant halafu mm niwe Submissive halafu nimgeuze awe submissive mimi niwe Dominant [emoji847][emoji847]
Aaaah wa peke yangu kwani moyo huo. Hebu changamka bwana nataka mke mwenza.Love wako peke yako huyu! Tulia ule vya duniani manake vya mbinguni hatuna uhakika navyo.
Haya.Before I tried to dread and outliving it but I realized that it's coded in my Rna so I embraced it, Living it. And I'm cozy to it.
Maisha yenyewe mafupi!!![emoji847]
Hahaaa sikuwezi weyee aiseeeMbona tayari kaka yangu. Ya kwangu naona iliwahi sijui[emoji2297][emoji2297]
NI KWELI MKUU NI KAMA WAMEKANYAGWA NA MGUU YA NDOVU[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa. Eti ni kama walikanyagwa na miguu ya tembo
Brekimbupu sio 😂😂😂NI KWELI MKUU NI KAMA WAMEKANYAGWA NA MGUU YA NDOVU
hongera sana kwangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baba watoto hongera kwa kutunza, nimeambiwa sizeeki.
Ebu itaje hio gesti na bar na vipo maeneo gani