Ku - date na mabinti wa 18-28 ni mateso tupu hamna furaha kabisa

Dah aseee "inabidi upitishe mkono kujua umepitisha pembenii" hahaahahahhaahhahaah

Mi hili na lijua kitambooo nina Age zangu kama 3 hivii akaa mwanaume na jibwedeaaaaaa bila stress za kisengelemaa na hawa vinuka mkojo na Mavvvv

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Sawa
 
Iceland Hotel kama sijakosea maana ni zamani kidogo, ipo jirani na barabara maeneo ya Arjentina. Pembeni yake wanauza majeneza sanaa, sasa ukitoka hapo unaenda kama waelekea Magomeni Kagera hapo katikati ndo kuna hiyo Bar , nimeisahau jina....
Nikisikia magomeni kagera napata memory shoo fulani kali.
 
Wivi huo, nyie above 40 ni mazee umri wenu kwisha habari.
 
Wivi huo, nyie above 40 ni mazee umri wenu kwisha habari.

Sina haja ya kukubishia ila ukifika 40 tukiwa hai usiache kuja hapa kunitag uzoefu

Dogo 40 ndio mwanzo wa starehe, raha na furaha😃😃😃
 
Kwani hao wa miaka 30 na kuendelea walizaliwa tu na miaka 30

Hao washatembea kilomoter kadhaa kaoe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…