Ku-save pesa unapotaka kununua gari mtandaoni kutoka Japan

Ku-save pesa unapotaka kununua gari mtandaoni kutoka Japan

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu,

Kwa mtu ambae anataka kununua gari mtandaoni kutoka Japan na pia anataka ku-save pesa kidogo, leo kuna kitu kidogo sana nimeona tushirikishane.

Sio kitu cha ufundi, ila ni patience. Ukiwa unafanya survey ya gari, ukishachagua model unayotaka, nashauri usikimbilie kulipia hapo hapo. Jipe muda. Lifuatilie hilo gari hata kwa mwezi mmoja au zaidi uone bei yake inavyoshuka.

Mwezi uliopita tulikuwa tunafuatilia Toyota Aqua na ilishuka jumla ya $1,200 tokea tuanze kuifuatilia, ila tulichelewa kidogo kuna mtu akaiwahi.

Hapa ndio maana kuepuka hili, nashauri uwe unafuatilia magari hata matatu (ya muundo ulioutaka) kwa pamoja.

Nakupa mfano hapa (nitatumia BF na gari Mazda Axela) nitajitahidi ku-update bei ya hii gari hadi itakavyokuja kulipiwa.

Jumanne, Tar 01 October.

IMG_0070.jpeg


Alhamis, Tar 03 October.

IMG_0134.jpeg


Jumamosi, Tar 05 October.

IMG_0184.jpeg


Inamaanisha ndani ya siku 5 imepungua zaidi ya laki 3.5 inamaanisha gari ikiendelea kukaa zaidi ya mwezi itashuka maradufu.

Na hapo uhakika wa kupunguziwa $150-200 upo ukiwasiliana nao.

Stay tuned.
 
Wakuu,

Kwa mtu ambae anataka kununua gari mtandaoni kutoka Japan na pia anataka ku-save pesa kidogo, leo kuna kitu kidogo sana nimeona tushirikishane.

Sio kitu cha ufundi, ila ni patience. Ukiwa unafanya survey ya gari, ukishachagua model unayotaka, nashauri usikimbilie kulipia hapo hapo. Jipe muda. Lifuatilie ilo gari ata kwa mwezi mmoja au zaidi uone bei yake inavyoshuka.

Mwezi uliopita tulikua tunafuatilia Toyota Aqua na ilishuka jumla ya $1,200 tokea tuanze kuifuatilia, ila tulichelewa kidogo kuna mtu akaiwahi.

Hapa ndio maana kuepuka hili, nashauri uwe unafuatilia magari ata matatu (ya muundo ulioutaka) kwa pamoja.

Nakupa mfano hapa (nitatumia BF na gari Mazda Axela) nitajitahidi ku-update bei ya hii gari hadi itakavyokuja kulipiwa.

Jumanne, Tar 01 October.

View attachment 3115915

Alhamis, Tar 03 October.

View attachment 3115916

Jumamosi, Tar 05 October.

View attachment 3115917

Inamaanisha ndani ya siku 5 imepungua zaidi ya laki 3.5 inamaanisha gari ikiendelea kukaa zaidi ya mwezi itashuka maradufu.

Na hapo uhakika wa kupunguziwa $150-200 upo ukiwasiliana nao.

Stay tuned.
Ushauri mzuri...
 
Wakuu,

Kwa mtu ambae anataka kununua gari mtandaoni kutoka Japan na pia anataka ku-save pesa kidogo, leo kuna kitu kidogo sana nimeona tushirikishane.

Sio kitu cha ufundi, ila ni patience. Ukiwa unafanya survey ya gari, ukishachagua model unayotaka, nashauri usikimbilie kulipia hapo hapo. Jipe muda. Lifuatilie ilo gari ata kwa mwezi mmoja au zaidi uone bei yake inavyoshuka.

Mwezi uliopita tulikua tunafuatilia Toyota Aqua na ilishuka jumla ya $1,200 tokea tuanze kuifuatilia, ila tulichelewa kidogo kuna mtu akaiwahi.

Hapa ndio maana kuepuka hili, nashauri uwe unafuatilia magari ata matatu (ya muundo ulioutaka) kwa pamoja.

Nakupa mfano hapa (nitatumia BF na gari Mazda Axela) nitajitahidi ku-update bei ya hii gari hadi itakavyokuja kulipiwa.

Jumanne, Tar 01 October.

View attachment 3115915

Alhamis, Tar 03 October.

View attachment 3115916

Jumamosi, Tar 05 October.

View attachment 3115917

Inamaanisha ndani ya siku 5 imepungua zaidi ya laki 3.5 inamaanisha gari ikiendelea kukaa zaidi ya mwezi itashuka maradufu.

Na hapo uhakika wa kupunguziwa $150-200 upo ukiwasiliana nao.

Stay tuned.
Mad max katika ubora wake
 
Safi sana.

Na hapo kwenye makadirio ya kuwa TShs 14M na point.. maana yake ni hela ya usafirishaji na kodi au?

Mimi nataka nipate kigari kidogo (Nissan).
Bei ya chini (Total price) inamaanisha kulinunua Japan na kusafirishiwa hadi Bandari ya DSM.

Hapo bado gharama za TRA tu na vitu vingine vidogo vidogo
 
Bei ya chini (Total price) inamaanisha kulinunua Japan na kusafirishiwa hadi Bandari ya DSM.

Hapo bado gharama za TRA tu na vitu vingine vidogo vidogo
Dah hapo shughuli.

Maana si huwa nasikia TRA ndio wanakula pesa mingi tena ya kodi?

Inabidi niongeze kasi na kiasi cha kusave ase.
 
Solution nyingine ni kumlipa mtu mwenye account BF anaeagiza mara nyingi huwa wana discount kubwa mno. Kuna gari mimi nilikua nikiingia CIF yake ilikua 7000+ ila alivyoingia jamaa CIF yake ikawa inaleta 5000+, same exact car. Yeye jamaa alikuwa ana mapunguzo mengi hivyo bei za kwenye account yake ni nafuu kuliko niingia kwangu.

Tesha nakushukuru sana kaka. Ulinisaidia nikaokoa kiasi fulani.​
 
Wakuu,

Kwa mtu ambae anataka kununua gari mtandaoni kutoka Japan na pia anataka ku-save pesa kidogo, leo kuna kitu kidogo sana nimeona tushirikishane.

Sio kitu cha ufundi, ila ni patience. Ukiwa unafanya survey ya gari, ukishachagua model unayotaka, nashauri usikimbilie kulipia hapo hapo. Jipe muda. Lifuatilie ilo gari ata kwa mwezi mmoja au zaidi uone bei yake inavyoshuka.

Mwezi uliopita tulikua tunafuatilia Toyota Aqua na ilishuka jumla ya $1,200 tokea tuanze kuifuatilia, ila tulichelewa kidogo kuna mtu akaiwahi.

Hapa ndio maana kuepuka hili, nashauri uwe unafuatilia magari ata matatu (ya muundo ulioutaka) kwa pamoja.

Nakupa mfano hapa (nitatumia BF na gari Mazda Axela) nitajitahidi ku-update bei ya hii gari hadi itakavyokuja kulipiwa.

Jumanne, Tar 01 October.

View attachment 3115915

Alhamis, Tar 03 October.

View attachment 3115916

Jumamosi, Tar 05 October.

View attachment 3115917

Inamaanisha ndani ya siku 5 imepungua zaidi ya laki 3.5 inamaanisha gari ikiendelea kukaa zaidi ya mwezi itashuka maradufu.

Na hapo uhakika wa kupunguziwa $150-200 upo ukiwasiliana nao.

Stay tuned.
Ubarikiwe
 
Back
Top Bottom