Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nmekuelewa
Poa mkuu. Pamoja.Iyo miezi mitatu ya kufuatilia gari ili bei ishuke ni kupoteza mda km huna pesa ya kununua gar ni vema ukanunua pikpik maisha yakenda uwo ushauri ni ushauri wa kijinga
Miezi mitatu ulitakiwa tyr uwe unatembelea gar yako ww unatushauri tukae miezi yote iyo tukingoja bei ishuke, tuache kudanganyana huna pesa yakununua gar bas jipange kwa mengne
Tabu ya hii model BF ni 3rd party... sijaona ambayo ni yao.Kaka track uwe una update. Ila naomba nikushauri kitu.
Ukiona BF gari imeandikwa 3rd Party usiipe kipaumbele sana kwakua sio mali ya Beforward.
Kukazia tu Mercedes nyingi na lexus ni 3rd party.... na kiukweli hizo ndo gari pekee napenda toka moyoni.Kaka track uwe una update. Ila naomba nikushauri kitu.
Ukiona BF gari imeandikwa 3rd Party usiipe kipaumbele sana kwakua sio mali ya Beforward.
Hata tukiacha maneno na kuweka vitendo. Bado battery za gari hatuwezi kuunda kk trust me 😀Hao wako mbali mkuu na hawana maneno mengi
Ila china kiboko aisee hata miji yao pollution imepungua sana kwenye miji yao
Jamaa wanafytua magari ya umeme kama wanayataga 😄
Mwaka jana tu wameuza zaidi ya magari milioni 9 daa
Sisi hata battery tu hatuwezi
Najua tunaweza ila siasa na maneno mengi bila vitendo
Hakuna kitu kinashindikana bossHata tukiacha maneno na kuweka vitendo. Bado battery za gari hatuwezi kuunda kk trust me 😀
Sana lo