Ku-save pesa unapotaka kununua gari mtandaoni kutoka Japan

Ku-save pesa unapotaka kununua gari mtandaoni kutoka Japan

Solution nyingine ni kumlipa mtu mwenye account BF anaeagiza mara nyingi huwa wana discount kubwa mno. Kuna gari mimi nilikua nikiingia CIF yake ilikua 7000+ ila alivyoingia jamaa CIF yake ikawa inaleta 5000+, same exact car. Yeye jamaa alikua ana mapunguzo mengi hivyo bei za kwenye account yake ni nafuu kuliko niingia kwangu.

Tesha nakushukuru sana kaka. Ulinisaidia nikaokoa kiasi fulani.​
Hii pia bonge moja la idea. Ukimpata mtu poa asie na tamaa anakufanyia free wewe unaamua tu kumtoa baadae kishkaji.
 
Msongamano wa magari katika vituo vyao ndio vinasababisha wapunguze bei ili zitoke haraka

Wana sheria zao ukinunua gari mpya Japan, baada ya miaka mitatu lazima ikaguliwe ubora wake
Na baada ya hapo kila miaka 2 inakaguliwa haswa na gharama ni kubwa sana kuwa na gari zaidi ya miaka 10 Kwa hiyo inawalazimu wayauze yakifika miaka 10

Sasa fikiria kila siku watu wangapi wanauza magari yao tena kwa bei chee huko
 
Msongamano wa magari katika vituo vyao ndio vinasababisha wapunguze bei ili zitoke haraka

Wana sheria zao ukinunua gari mpya japan, baada ya miaka mitatu lazima ikaguliwe ubora wake
Na baada ya hapo kila miaka 2 inakaguliwa haswa na gharama ni kubwa sana kuwa na gari zaidi ya miaka 10 kwa hiyo inawalazimu wayauze yakifika miaka 10

Sasa fikiria kila siku watu wangapi wanauza magari yao tena kwa bei chee huko
Hii faida kwetu watumiaji wa used. Plus transformation ya ICE kwenda EV inawapa wakati mgumu sana kwasababu kodi na vikwazo vya ICE vinapanda.

Mfano, JP kuanzia Jan mwaka huu wamekuja na policy ya kuyapunguzia kodi magari ya umeme hadi 50% na hybrid hadi 25%. Na bado kupunguza kodi ya semiconductors ili kuhakikisha by 2035 wako full EV na hydrogen.
 
Hii faida kwetu watumiaji wa used. Plus transformation ya ICE kwenda EV inawapa wakati mgumu sana kwasababu kodi na vikwazo vya ICE vinapanda.

Mfano, JP kuanzia Jan mwaka huu wamekuja na policy ya kuyapunguzia kodi magari ya umeme hadi 50% na hybrid hadi 25%. Na bado kupunguza kodi ya semiconductors ili kuhakikisha by 2035 wako full EV na hydrogen.
Hao wako mbali mkuu na hawana maneno mengi
Ila china kiboko aisee hata miji yao pollution imepungua sana kwenye miji yao
Jamaa wanafytua magari ya umeme kama wanayataga 😄
Mwaka jana tu wameuza zaidi ya magari milioni 9 daa
Sisi hata battery tu hatuwezi
Najua tunaweza ila siasa na maneno mengi bila vitendo
 
Wakuu,

Kwa mtu ambae anataka kununua gari mtandaoni kutoka Japan na pia anataka ku-save pesa kidogo, leo kuna kitu kidogo sana nimeona tushirikishane.

Sio kitu cha ufundi, ila ni patience. Ukiwa unafanya survey ya gari, ukishachagua model unayotaka, nashauri usikimbilie kulipia hapo hapo. Jipe muda. Lifuatilie ilo gari ata kwa mwezi mmoja au zaidi uone bei yake inavyoshuka.

Mwezi uliopita tulikua tunafuatilia Toyota Aqua na ilishuka jumla ya $1,200 tokea tuanze kuifuatilia, ila tulichelewa kidogo kuna mtu akaiwahi.

Hapa ndio maana kuepuka hili, nashauri uwe unafuatilia magari ata matatu (ya muundo ulioutaka) kwa pamoja.

Nakupa mfano hapa (nitatumia BF na gari Mazda Axela) nitajitahidi ku-update bei ya hii gari hadi itakavyokuja kulipiwa.

Jumanne, Tar 01 October.

View attachment 3115915

Alhamis, Tar 03 October.

View attachment 3115916

Jumamosi, Tar 05 October.

View attachment 3115917

Inamaanisha ndani ya siku 5 imepungua zaidi ya laki 3.5 inamaanisha gari ikiendelea kukaa zaidi ya mwezi itashuka maradufu.

Na hapo uhakika wa kupunguziwa $150-200 upo ukiwasiliana nao.

Stay tuned.
Kuna gari ipo SBT bei around 6700 USD Subaru Impreza 2019, kodi mil 14, bajeti yangu 26m basi kila siku na itizama, sijui nikiisubiria nitaipata maana nimeikubali ina vitu vingi latest. Nimeongea nao wamekubali kushuka mpaka 6100 usd.

Nipo hapa natafuta options nyingine.
 
Solution nyingine ni kumlipa mtu mwenye account BF anaeagiza mara nyingi huwa wana discount kubwa mno. Kuna gari mimi nilikua nikiingia CIF yake ilikua 7000+ ila alivyoingia jamaa CIF yake ikawa inaleta 5000+, same exact car. Yeye jamaa alikua ana mapunguzo mengi hivyo bei za kwenye account yake ni nafuu kuliko niingia kwangu.

Tesha nakushukuru sana kaka. Ulinisaidia nikaokoa kiasi fulani.​
Daah hongera kuwa na mwana wa faida.
 
Hao wako mbali mkuu na hawana maneno mengi
Ila china kiboko aisee hata miji yao pollution imepungua sana kwenye miji yao
Jamaa wanafytua magari ya umeme kama wanayataga 😄
Mwaka jana tu wameuza zaidi ya magari milioni 9 daa
Sisi hata battery tu hatuwezi
Najua tunaweza ila siasa na maneno mengi bila vitendo
Sasa mwaka huu tunasubiria, hiyo namba itaji-double aisee. Maana hadi sasa takwimu zinasema % ya EV niniubwa kuliko ICE.
 
Kuna gari ipo SBT bei around 6700 USD Subaru Impreza 2019,kodi mil 14,bajeti yangu 26m basi kila siku na itizama,sijui nikiisubiria ni taipata maana nimeikubali ina vitu vingi latest.Nimeongea nao wamekubali kushuka mpaka 6100 usd.

Nipo hapa na tafuta options nyingine.
$6700 kushuka hadi $6100 naona ndogo. Najua same car unaweza ipata website nyingine ebu jaribu.

BTW Imprezza ya 2019 shikamoo, ni Gen ya 5 hiyo ebu cheki ata 2017 au 2018 zote ni same generation.
 
$6700 kushuka hadi $6100 naona ndogo. Najua same car unaweza ipata website nyingine ebu jaribu.

BTW Imprezza ya 2019 shikamoo, ni Gen ya 5 hiyo ebu cheki ata 2017 au 2018 zote ni same generation.
Kweli zipo na kwa 2017&18 kodi ni 10m,ila bei zake zipo juu. Hii USD 6100 nilishuka nao mpaka hapo, ila kodi 14m ndio naona kikwazo. Halafu huwaga na sikiaga gari likiwa la miaka ya karibuni kodi inakuwa ndogo kuliko na miaka ya nyuma, ila naona vice versa.
 
Kweli zipo na kwa 2017&18 kodi ni 10m,ila bei zake zipo juu. Hii USD 6100 nilishuka nao mpaka hapo, ila kodi 14m ndio naona kikwazo.Halafu huwaga na sikiaga gari likiwa la miaka ya karibuni kodi inakuwa ndogo kuliko na miaka ya nyuma, ila naona vice versa.
Kodi ya TRA ni kama game tu. Kwenye issue ya miaka pale kituko, unasave % za uchakavu hafu unajikuta unakutana na % za import duty na tax.
 
Ile ni Wagon.
Screenshot_20241005_184446_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom