Kua handsome ni kazi ngumu sana, nawapangawisha sana mashemeji zangu

Kua handsome ni kazi ngumu sana, nawapangawisha sana mashemeji zangu

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Ndugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.

Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.

Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.

Wenye sura personal watabisha.
 
Ndugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.

Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.

Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.

Wenye sura personal watabisha.
Tangazo limekaa vyema sana ila hujaweka namba ya simu. Wanakuja inbox wapenda warembo.
 
Ndugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.

Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.

Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.

Wenye sura personal watabisha.
Ma handsome tupo wengi na changamoto kama hzo za madem tunazipata sana lakin kuanzisha Uzi kaka huo ni ushamba
 
Back
Top Bottom