Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,083
- 1,628
I repeat One man DownOne man down
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I repeat One man DownOne man down
Kwahyo wew ndo muumbaji?Huwezi kua handsome wewe, usijinasibishe na sisi
Anae mkuumtu mwenye mke hawezi andika hivi
hapana
lipia tangazoNdugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.
Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.
Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.
Wenye sura personal watabisha.
Kabisa mwanaume unaandika uzi wenye zaidi ya maneno 500 kujisifia u-handsome?Ndugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.
Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.
Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.
Wenye sura personal watabisha.
Mwenyew ulivyotaja u handsome wako nmesmamisha ,sio Kwa uzur huoNdugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.
Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.
Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.
Wenye sura personal watabisha.
Bure kabisa wewAnd is you
BwabwaKila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu