Kua handsome ni kazi ngumu sana, nawapangawisha sana mashemeji zangu

Kua handsome ni kazi ngumu sana, nawapangawisha sana mashemeji zangu

Ndugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.

Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.

Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.

Wenye sura personal watabisha.
lipia tangazo
 
Ndugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.

Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.

Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.

Wenye sura personal watabisha.
Kabisa mwanaume unaandika uzi wenye zaidi ya maneno 500 kujisifia u-handsome?
wengi sana wa aina yako wameishia kumegwa, shukuru Mungu kama umepona!
 
Ndugu wa mke wangu wamekua na wakati mgumu snaa kila ninapokutana nao, wanashindwa hadi kujizuia, kuna huyu mmoja ametokea kunipenda sana, yani kavurugwa kabisa. Imekua usumbufu sana, sitaki kumueleza mke wangu isije ikavunja undugu.

Kila nikiwaza ninapata jibu kua moja, kua handsome ni kazi ngumu sana, mana una catch attention kila mahali, hadi mashemeji wanashindwa kuvumilia.

Hata nikivaa nguo za kawida au jikiwa tough bado watu wanapata shida sana, nimeghairi kwenda gym mana nikitengemeza body zaidi ndo itakua shida.

Wenye sura personal watabisha.
Mwenyew ulivyotaja u handsome wako nmesmamisha ,sio Kwa uzur huo
 
Hao mashemeji unaowavutia ni wa kiume au wa kikeni
 
Back
Top Bottom