Kua handsome ni kazi ngumu sana, nawapangawisha sana mashemeji zangu

Nakuona mzee wa rangi saba unavyoandika tangazo kijanja
 
lipia tangazo
 
Kabisa mwanaume unaandika uzi wenye zaidi ya maneno 500 kujisifia u-handsome?
wengi sana wa aina yako wameishia kumegwa, shukuru Mungu kama umepona!
 
Mwenyew ulivyotaja u handsome wako nmesmamisha ,sio Kwa uzur huo
 
Hao mashemeji unaowavutia ni wa kiume au wa kikeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…