Mama Mkwe kichomi
Hakuna urafiki Wala ushoga na ndugu wa mume, ndugu wa mume ni kichomi Kikubwa ni kuheshimiana nao tu ukijagombana na ndugu yao urafiki na ushosti Ndio huishia hapo. Hamisa hakuyajua haya. Hiyo Ndio asili ya ndugu wa mume.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] TununuNdio lakini kipindi hiko misa si ndo alikua anajiona mkwe wa shoka.
Tukiachana bifu na mama dangote na mobeto juu ya bwana nahis kuna kitu kikubwa tununu kafanya. Familia yote imemgeuka
Tununu ndio nani?Hiyo karma ndio inamkuta tununu. Alivyo ona anapendwa na mama mkwe na masikio yakazidi kichwa.
Hamisa [emoji23]Tununu ndio nani?
Ila mange kamsuuza vzr tu maana kampa dose moja matataa huko aliko anajuta mpk tumejua kua in victim kaahWanawake wengi wanadhan kumkamata mume sharti ujikombeleze kwa wakwe na mawifi au kuwakomoa na kushindana nao.
Kuheshimiana ndo solution bila kuleta ushost wa kuvaa madela sare wala uadui
Huyu huyu alimwambiaga Zari kuwa Kigoma hatoki boy. Huyu mama ni kama kinyonga anabadilika badilika tu. Usiombe kuwa na mama mkwe kama huyu.
Wifi sio nduguyo wala mkwe ni wanaafiki mnoi
Ila mange kamsuuza vzr tu maana kampa dose moja matataa huko aliko anajuta mpk tumejua kua in victim kaah
Halafu kumbe kwenye ile dozi ya kuongeza mbolea,ndo maana kila mara anaandika kaption kuhusu pharmacy mara panadol,kumbe kila siku anameza ARV.Ndo maana akili yake inawaza madawa na ma Dr tu.Wifi sio nduguyo wala mkwe ni wanaafiki mnoi
Ila mange kamsuuza vzr tu maana kampa dose moja matataa huko aliko anajuta mpk tumejua kua in victim kaah
Halafu kumbe kwenye ile dozi ya kuongeza mbolea,ndo maana kila mara anaandika kaption kuhusu pharmacy mara panadol,kumbe kila siku anameza ARV.Ndo maana akili yake inawaza madawa na ma Dr tu.Wifi sio nduguyo wala mkwe ni wanaafiki mnoi
Ila mange kamsuuza vzr tu maana kampa dose moja matataa huko aliko anajuta mpk tumejua kua in victim kaah
ALizaa ili mtoto awe asset ya kujipatia ela in vera sidika words. Na sio uongo ni kweli kabisa,acha tu akione cha mtema kuniNdio lakini kipindi hiko misa si ndo alikua anajiona mkwe wa shoka.
Tukiachana bifu na mama dangote na mobeto juu ya bwana nahis kuna kitu kikubwa tununu kafanya. Familia yote imemgeuka
Sio kwamba anataka amlale, ashaanza kuwaonea wivu hataki kushare na wakweThis is too much huyu mama jamani kuweza kuishi nae kipaji haswaaa
Walianza na wema akamchambaa,akaja zari alikua anapigwa madongo
Leo zamu ya hamisa kaaah
Au anataka mwanawe amlale mwenyewe loohh!View attachment 621549View attachment 621550
Huyu mtu mzima kisheti jamani asiejijua kaaaahh
Ama kweli masikini akipataa
Muda wa ibada na toba anashindana na vitoto kaaah
Diamond muambie mama ako there is something called KARMA
Kwakweli karma ndo ipo kwa incubator sahivi, alidhani kuvaa Madera sare na wifi na ma mkwe ndo kila kitu, walivyomgeuka nadhani mwenyewe haamini.Hiyo karma ndio inamkuta tununu. Alivyo ona anapendwa na mama mkwe na masikio yakazidi kichwa.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] eti dosee za pharmacy anajiandikia mwenyewe kaahhHalafu kumbe kwenye ile dozi ya kuongeza mbolea,ndo maana kila mara anaandika kaption kuhusu pharmacy mara panadol,kumbe kila siku anameza ARV.Ndo maana akili yake inawaza madawa na ma Dr tu.