Kua uyaone, mikoani madukani kuna kipimo cha sukari hadi ya shilingi 200, mafuta 100

Kua uyaone, mikoani madukani kuna kipimo cha sukari hadi ya shilingi 200, mafuta 100

Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni utamaduni tu.ndiomaana mtu wa pwani yuko tayari kuacha kula wali akala matandu au ukoko.

Kuna kabila moja wanakula wale wadudu jamii ya panzi,sasa bwana mmoja toka hilokabila akasafiri jwenda mkoa X akakuta jamaa wanakula njiwa,akawabeza sana kuwa mnakula tunjiwa tudogo hivi,wakamwambia kati ya njiwana senene kipi kikubwa....

Nilikuwa likizo mkoa Y maduka ya huku kuna hadi kipimo cha sukari ya sh 200,sijajua ni utamaduni au umasikini,yaani rob9 kilo inagawiwa maranne au zaidi kupata hiyo sukari ya 200.
Mafuta ya kula halikadhalika yapo hadi ya 100
Life is good
Mbona hili limeanzia Dar? Siku nyingi wanapima sukari na mafuta namna hii.
 
Huku kawaida mkuu , haaa tena hapa nlipo kawaida, wafu wa dar mnajidai sana siku niende😂😂cc Fake P Dar kuna nini rafiki angu😂😂
 
Wewe unaijua Dar es salaam kweli? Au umekulia ushuani?

Kwa taarifa yako dar kuna mitaa siyo sukari ya 200 tu. Mkate unauziwa nusu au robo. Karoti, hoho, na nyanya vimekatwa unauziwa kipande.
 
Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni utamaduni tu.ndiomaana mtu wa pwani yuko tayari kuacha kula wali akala matandu au ukoko.

Kuna kabila moja wanakula wale wadudu jamii ya panzi,sasa bwana mmoja toka hilokabila akasafiri jwenda mkoa X akakuta jamaa wanakula njiwa,akawabeza sana kuwa mnakula tunjiwa tudogo hivi,wakamwambia kati ya njiwana senene kipi kikubwa....

Nilikuwa likizo mkoa Y maduka ya huku kuna hadi kipimo cha sukari ya sh 200,sijajua ni utamaduni au umasikini,yaani rob9 kilo inagawiwa maranne au zaidi kupata hiyo sukari ya 200.
Mafuta ya kula halikadhalika yapo hadi ya 100
Life is good
Mkuu sisi huku mikoani ndio maisha yetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kama ulidhani ulielewa somo la fraction au decimal jitafakari
Kuna robo ta robo
Watu wa mikoani huwa wanashangaa watu wa mjini kula miguu,utumbo na vichwa vya kuku,ule sio umasikini bali ni utamaduni tu.ndiomaana mtu wa pwani yuko tayari kuacha kula wali akala matandu au ukoko.

Kuna kabila moja wanakula wale wadudu jamii ya panzi,sasa bwana mmoja toka hilokabila akasafiri jwenda mkoa X akakuta jamaa wanakula njiwa,akawabeza sana kuwa mnakula tunjiwa tudogo hivi,wakamwambia kati ya njiwana senene kipi kikubwa....

Nilikuwa likizo mkoa Y maduka ya huku kuna hadi kipimo cha sukari ya sh 200,sijajua ni utamaduni au umasikini,yaani rob9 kilo inagawiwa maranne au zaidi kupata hiyo sukari ya 200.
Mafuta ya kula halikadhalika yapo hadi ya 100
Life is good
Mikoani ndio wapi huko. Mimi nilishangaa kufika Dar watu wanakula utumbo wa kuku tena barabarani wakati kijijini tunawapa mbwa na paka. Dar kuna maisha magumu sana sema tu watu hawataki kuonekana wameshindwa maisha kwa kurudi vijijini.
 
Daalam hajuna sukari ya 200
Siku Moja tembelea kwenye migodi ya wachimbaji wadogo wadogo nenda migahawa au Kwa jina maarufu hoteli za masankuroni ujionee wali wa jero una kula na unabakiza!

Usiulize sana ila nakupa code
Kule chakula hakitupwi yaani ukimaliza kula na ukabakiza kidogo Basi huo uliobaki unaenda kuchanganywa na mwingine unakuwa kama mchanyato fln Hivi

Sema harufu ndo inakuwa haieleweki maana kama ulikula wali na samaki mwingine samaki,dagaa,maharage au hata na mboga za majani wote huchanganywa pamoja.

Hata chapati unaulizwa unahitaji ya sh ngap? Zinakuwa nusu nusu 😂😂😂
 
Hapa Dar nimeishaziona pakiti za sukari za sh200 product ya Bakhresa,sema hazijasambaa sana.
 
Huku jijini Mbeya ukitaka kula spaghetti basi jiandae kununua zile za kisasa kwenye packet, ila dar ukitaka kula spaghetti basi zipo zile za mafungu nakumbuka miaka ya 2010 bimkubwa alikuwa akinunua za buku tu tunakula watu kibao na Chai ya iriki asubuhi shwaaa.
 
Back
Top Bottom