Kuacha kufanyika Maadhimisho ya sherehe za Miaka 61 ya Uhuru ni sahihi?

Kuacha kufanyika Maadhimisho ya sherehe za Miaka 61 ya Uhuru ni sahihi?

Sherehe ambazo ilibidi zisiwepo ni za Muungano na Kukimbiza mwenge. Nchi zote duniani hufanya sherehe za uhuru.
Zimeahirishwa mwaka huu tu, na si miaka yote.
Kwa maoni yangu mimi ningetamani tuwe tunafanya sherehe hizi kwa kuruka ruka miaka, kwamba tukifanya mwaka huu, mwaka ujao hatufanyi halafu hela yake tunaielekeza kwa mfano, kwa Prof,. Janabi pale Muhimbili kwa ajili kununua vifaa tiba
 
Je mwaka huuu ZEnji walianzimisha sherehe hizo????.





Rais Samia Suluhu amesema mwaka huu hakutakuwa na sherehe za uhuru na pesa zilizokuwa zimetengwa kwaajili ya sherehe izo ziende kuimarisha sekta ya elimu wadau wengi wa maendeleo wameunga mkono maamuzi haya na kusema kuwa hili ni wazo zuri halijawai kutokea toka Tanzania ipate uhuru.

Leo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema "Rais Samia ameelekeza Sh. milioni 960 zilizopangwa kutumika kwenye maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru, zikajenge mabweni katika shule 8 za msingi za wanafunzi wenye mahitaji maalum".

Shule hizo za msingi za wanafunzi wenye mahitaji maalum zitakazojengewa mabweni ni Buhangija- Shinyanga, Goheko - Tabora, Darajani - Singida, Mtanga - Lindi, Songambele - Manyara, Msanzi - Rukwa,

Mungu aendelee kumuweka Rais Smaia Suluhu kwa maendeleo ya taifa letu
 
Hiv kwann hili swala la mwenge limekua gumu kwao kuachana nalo yan ukikutana na huo msafara wa mwenge asee utasema kuna kitu cha msingi kumbe mwenge ama ndo uchaw alouacha mwalimu
Ni ngumu kuachana na mwenge sababu kuna makafara ya damu yalitolewa sababu ya mwenge. Forojo Ganze alikufa mara tu baada ya kutoka kukabidhiwa mwenge kuzimu.
Nchi imejengwa kwenye misingi ya uwongo, uzinzi, uchawi na ghiliba.
Ibada za mwenge huambatana na ulevi na zinaa
 
Rais Samia Suluhu amesema mwaka huu hakutakuwa na sherehe za uhuru na pesa zilizokuwa zimetengwa kwaajili ya sherehe izo ziende kuimarisha sekta ya elimu wadau wengi wa maendeleo wameunga mkono maamuzi haya na kusema kuwa hili ni wazo zuri halijawai kutokea toka Tanzania ipate uhuru.

Leo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema "Rais Samia ameelekeza Sh. milioni 960 zilizopangwa kutumika kwenye maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru, zikajenge mabweni katika shule 8 za msingi za wanafunzi wenye mahitaji maalum".

Shule hizo za msingi za wanafunzi wenye mahitaji maalum zitakazojengewa mabweni ni Buhangija- Shinyanga, Goheko - Tabora, Darajani - Singida, Mtanga - Lindi, Songambele - Manyara, Msanzi - Rukwa,

Mungu aendelee kumuweka Rais Smaia Suluhu kwa maendeleo ya taifa letu
Uhuru wa nchi ambayo haipo katika ramani ya dunia! Maskini Tanganyika pamoja na ukweli kuwa una jumla ya watu wapatao 59Mn lakini hadhi yako ya kipekee kama nchi ilifyekelewa mbali, wakati huohuo nchi nduguyo yenye watu wapatao 1.9Mn tu bado anadunda.

Wakati tarehe ya uhuru wa Tanganyika ni tarehe 09-12-1961, tarehe ya uhuru wa Zanzibar ni tarehe 19-12-1963. Tarehe hizi zilifanyiwa ukarabati na hatimaye zikapoteza maana kabisa. Kuadhimishwa kwa uhuru wa Tanganyika kunaenda pasipo hata kutambua hadhi yake ya kipekee kama nchi ndani ya Muungano wa Tanzania.

Upande wa Zanzibar nako ni maadhimisho ya mapinduzi ya Zanzibar ndiyo yanachukuliwa kama siku ya uhuru wa nchi hiyo. Yote haya yanafanyika ili kulinda historia ya vyama vya TANU na ASP, na hatimaye CCM, kana kwamba ndivyo pekee vinahusika na kupatikana kwa uhuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Samia Suluhu amesema mwaka huu hakutakuwa na sherehe za uhuru na pesa zilizokuwa zimetengwa kwaajili ya sherehe izo ziende kuimarisha sekta ya elimu wadau wengi wa maendeleo wameunga mkono maamuzi haya na kusema kuwa hili ni wazo zuri halijawai kutokea toka Tanzania ipate uhuru.

Leo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema "Rais Samia ameelekeza Sh. milioni 960 zilizopangwa kutumika kwenye maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru, zikajenge mabweni katika shule 8 za msingi za wanafunzi wenye mahitaji maalum".

Shule hizo za msingi za wanafunzi wenye mahitaji maalum zitakazojengewa mabweni ni Buhangija- Shinyanga, Goheko - Tabora, Darajani - Singida, Mtanga - Lindi, Songambele - Manyara, Msanzi - Rukwa,

Mungu aendelee kumuweka Rais Smaia Suluhu kwa maendeleo ya taifa letu
Uhuru ni muhimu nadhan ingeondolewa hekaheka za mwenge!
 
Sahihi

Sherehe uhuru wa Zanzibar mgeni rasmi huwa raisi wa Zanzibar

Sherehe za uhuru wa Tanganyika mgeni rasmi haeleweki mtanganyika

Raisi wa Muungano sherehe inamhusu ni sherehe ya Muungano

Mama Samia yuko sahihi hadi hapo katiba itakaporekenishwa kwenye hili kuonyesha mhusika mkuu upande wa Tanganyika siku.yao ya uhuru ambaye ni mtanganyika ni nani kikatiba?

Vinginevyo pesa zote za sherehe za uhuru wa Tanganyika ziendelee kupelekwa kwenye miradi mingine iliyopo Tanganyika kama alivyofanya
Duh! Naona umefikiri mbali sana mkuu. Yaani mnoo
 
Katiba inaruhusu rais kufanya inavyompendeza badala ya katiba kusema siku hizi muhimu kwa maadhiimisho, rais anaamua anavyofikiri ni sawa kwa mamlaka makubwa aliyopewa kiasi ana mguso ktk kila kilicho ktk ardhi, anga, majini na viumbe wote bila kusahau raia ambao ndiyo wenye nchi yaani wananchi?
 
kama unajiona uko huru, nenda kafanye maandamano sasa hivi
Ha ha ha!
Huwa napenda intelligent comments kama hizi!

Uhuru kwa wabongo ni kweli hakuna! Uhuru uko UN Washington DC alipewa Nyenyere peke yake akafa na kuzikwa nao!

Hapa hatuna uhuru wa kukosoa viongozi tukabaki salama!hata sisi wa kijani ubavu hatuna! Ukisema chama kimepoteza dira unaitwa Dodoma halafu kifuatacho kila mchuma janga hula na wakwao!

Hapa tuna majina fake na tumejaa humu, tuko nyuma ya keyboard, maneno , matusi na kashfa kwa watu kibaoooo!

No one dares to speak bullshit before the faces of viongozi ukijifanya mjuaji kama Tunda Lisse zinakuja risasi 38!!
 
Back
Top Bottom