mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Hata kama ni hivyo lakini ni afadhali pesa zikasaidie mambo muhimu yaliyoainishwa !! Uhuru tulishakuwa nao hata tusipofanya sherehe hakuna atakayetunyang’anya Uhuru wetu !!Sherehe za Uhuru ni za Tanganyika. Jueni hilo kwanza.