Ila kuna raha yake kuachana kwa timbwili......
"Nenda mbwaaa wewe wala sikukupenda nilikua nimepata tu pa kutolea upwiru"
"....nyoooo alokwambia anakupenda nani sasa, mwenyewe nlikua nataka tu hela zako hata kutmb hujui nmekaa na wewe miaka mitatu sijawahi hata kukojoa kafie mbele kule"
"na urudishe jeans zote nlizokununulia hata kile kitenge nilimnunulia mamako mwambie nakitaka" asee raha 😁 kwako
Atoto unapenda kuachana kwa amani??
Nyie natafuta mpenzi 😔😔 nipo serious.