igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Vipi Ile hoja kwamba mahakama ni mhimili unaojitegemea?Sema Samia is great!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Ile hoja kwamba mahakama ni mhimili unaojitegemea?Sema Samia is great!
Zaidi ya 1BDaah sijui mamilioni mangapi yamepotea since day one to date..
Kuna hoja ya hivyo?Vipi Ile hoja kwamba mahakama ni mhimili unaojitegemea?
Kwani jaji ametoa tamko gani Leo pale mahakamani? Maana DPP kaleta maombi na jaji ndiye final say, je Kuna mahala popote jaji kasema wanaachiwa huru kwa masharti fulani??Hapana... Mbowe hajawi kuwa gaidi!
My point ni kuwa hii kesi itaendelea kuibuka huko mbele ya safari.
Soma vizuri hiyo Nolle Prosequi ya DPP hasa sentensi ya mwisho.
Ooh kumbe...Kwani jaji ametoa tamko gani Leo pale mahakamani? Maana DPP kaleta maombi na jaji ndiye final say, je Kuna mahala popote jaji kasema wanaachiwa huru kwa masharti fulani??
Hawana huo uwezo. Ni kujifariji tu ili kujikakamua dhidi ya aibu inayowaandama.
Nia ya ccm ni mbaya zaidi ya kawaida. Tatizo nyie mnawachukulia poa kama vile wana utu, macho, akili, hisia za kibinadamu wakati si kweli!!Hawana huo uwezo. Ni kujifariji tu ili kujikakamua dhidi ya aibu inayowaandama.
Nauona mpambano wa Uchawa Utakaopamba Moto kwa Ccm kati ya Chadema na Act-W.Sema Samia is great!
Hoja ya kijinga sana hii kwa mtu alieamua kusimama kidete mpka mwisho.msisahau kaombewa na msamaha na viongozi mbali mbali kwa ahadi ya kutorudia kosa ...
msijisahaulishe hilo
anichanganye tu aoneHoja ya kijinga sana hii kwa mtu alieamua kusimama kidete mpka mwisho.
Wajinga nyie siasa za ushindani zimewashinda mnategemea dola. Hopeless kabisa nyie!anichanganye tu aone
kumbukeni alikutwa ana kesi ya kujibu ila hakuna anayejua kimetokea nini mpaka kesi ikafutwa .
msijisahaulishe
mi sio mwanasiasa acha kuropoka hasira peleka kwa mkeoWajinga nyie siasa za ushindani zimewashinda mnategemea dola. Hopeless kabisa nyie!
Leo Mimi ni tukio la sita kuliwaza halafu baadae ya dk chache likatokea. Surprising ni kwamba nikimwambia mtu haaminHabari wadau,
Hapa niko mahali fulani nasubiri kukamilisha jambo fulani na kwakuwa jambo husika linachukua muda, nimeamua kujilaza kwenye benchi nikisubiri kuhudumiwa.
Wakati nikiwa nimejilaza kwenye benchi(nimetoka shift ya usiku), nikiwaza mambo mbalimbali, likanijia wazo la kesi ya Mbowe na hapo hapo nikapata hisia kuwa huenda Mbowe leo ataachiwa.
Baada ya kupata hisia hiyo, nikanyanyuka nikaingia JF na kukutana na breaking news kuwa Mbowe kaachiwa. Hakika nimefurahi mno kwa ushindi huu wa kisiasa alioupata Mbowe,na pia nimeamini hisia za kweli zipo, na zaidi kuna uhusiano wa hisia tunazopata katika nafsi zetu na kinachoendelea katika Ulimwengu wa nje.
Hii si mara yangu ya kwanza kuwaza au kupata hisia juu ya jambo fulani na jambo husika kutokea, ila hili la Mbowe kuachiwa na watesi wake limenigusa mmo na kunifanya ni-share hii experience.
Intuition is real!
Hongera Mbowe na wenzako!
God is great!
Katiba mpya inahitajika au haihitajiki?Maelezo makini sana.
Sasa niwashauri CDM wasijione wameshinda... Wasitumie zile kauli zao za kejeli na dharau.
Wananchi wana uelewa mkubwa sana uliokuzwa kutokana na kesi hii.
Mapambano bado hayajaanza.
Kama ilivyokuwa Mussa kwa wana wa IsraelMbowe ni mpango wa MUNGU
Duuhh.. we jamaa, hujapenda kabisa kilichotokea. Nimefuatilia comments zako kwenye hili na kusoma between the lines, unaumia sana sema tu unaandika kwa kujificha kwenye kivuli chako mwenyewe. Pole sana mkuu, ndo imeshakua hivyo, watu wako huru bila masharti.Ooh kumbe...
But all I see is that he isn't free despite being out of prison walls.
Utachezea kichapo!
Inahitajika. Na tuna wahitaji wananchi wote.Katiba mpya inahitajika au haihitajiki?
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.