Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
DefinitelyYap... Judge atafadhaika sana. Luteni Urio, Afande Kingazi na Kidando watapata sonona.
Hii kesi ingeisha siku ile ile kwa "No Case To Answer" wangeeleweka vizuri sana.
Tangu mwanzo hawakuwa na kesi ya kujibu!!