Kuachiwa kwa Mbowe; Nimeamini muda mwingine kuna hisia za kweli na ni ushahidi kuna mawasiliano kati ya nafsi zetu na ulimwengu wa nje

Yap... Judge atafadhaika sana. Luteni Urio, Afande Kingazi na Kidando watapata sonona.
Hii kesi ingeisha siku ile ile kwa "No Case To Answer" wangeeleweka vizuri sana.
Tangu mwanzo hawakuwa na kesi ya kujibu!!
Definitely
 
Hakika wamemuabisha sana,dalili zte zimaonesha huwa wanafuata mawlekezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…