Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
sijui wataambia nini watu
ila tusha wazoea ndo walivo na tuanaishi nao
 
Tuwekee proof by the Court's verdict kuwa mkulima hajalipwa na asingelipwa kuna watu wana mapepo wangetamba vibaya. Otherwise, acha umbeya wewe dada. Believe me, hiyo ndege tumeinunua ×2.
so you want us to believe you..ok sawa basi tumesha ku believe.. kinachofuata ni nini..sasa
 
sijui wataambia nini watu
ila tusha wazoea ndo walivo na tuanaishi nao
Umejizoesha mwenyewe lakini wenzako wajanja wanajua kuwa Kabudi atajimwambafy kuwahadaa watanzania lakini kitakachosemwa na wapinzani ndicho kitakuwa cha ukweli mtupu.
 
Maoni ni Serikali iache Tabia ya kuharalisha dhuluma kutumia pesa nyingi kukwepa Deni badala ya kulipa Deni
wapi serikali inetumia.pesa nyingi labda tuambie..kama ni kesi wanaoshindwa wanatakiwa kulipa gharama za kesi..upo..mbona haya maneno hukuyasema kipindi cha baba wa Taifa, mzee Mwinyi, cha Mkapa, cha kikwete unakuja kusema leo..au ulikuwa hujazaliwa..usidandie mambo usiyoyajua..s..t..u.pi..d
 
Ndege haikuachiwa bure wamelipa ingawa Kabudi kamuomba mkulima wa kizungu apige kimya ili wapate kujimwambafy wanajua wapo baadhi ya watanzania ni bongo lala watayaamini maneno yake ya uongo.
 
Leteni hati ya hukumu na cost za kesi acheni porojo.

Hati za hukumu za south africa na za canada ziko wapi? kwanini iwe siri wakati ni pesa za walipa kodi?

Mkulima kalipa garama za kesi? za kulala hotel za nyota 5 ujumbe wa kabudi South Na Canada?

Watanzania sio wajinga kiivyo.
hahahaha ungekuwa ni mmoja wa walipa kodi ningekuelewa..lakini maskini ya Mungu hata hiyo kodi ya serkali tangu uzaliwe hujawah ilipa..wala hujui ina haruf gani..daaa...tutafika kweli na mijitu kama hii inayotumwa na mabwanyenye
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Kurudi kwa ndege, kama deni limelipwa radhi iombwe kwa kitu gani..??
 
wapi serikali inetumia.pesa nyingi labda tuambie..kama ni kesi wanaoshindwa wanatakiwa kulipa gharama za kesi..upo..mbona haya maneno hukuyasema kipindi cha baba wa Taifa, mzee Mwinyi, cha Mkapa, cha kikwete unakuja kusema leo..au ulikuwa hujazaliwa..usidandie mambo usiyoyajua..s..t..u.pi..d

Ndege ilipokamatwa South Africa walitumia pesa nyingi kusafirisha umati kwenda kutoa Rushwa na gharama za kulipana posha malazi chakula, kodi ya maegesho ya Ndege gharama za rubani na wahudumu wao kukaa South Africa kusubiria Ndege iachiwe, na sasa pia wamewatuma watu canada wanalipwa gharama kubwa na mengineyo, usikute wewe ni mnufaika wa sakata hili ndiyo maana unafagilia dhuluma hiyo upate kuendelea kujinufaisha zaidi.
 
Kwamba Kabudi anauzofu na korti za kimataifa? Wakati ni 2009 tu ndo alipewa uwakili wa viti maalumu...
sasa jomba proffessionalism yake ya sheria kama advocate inahusiana vipi na uwakiki wa viti maalum kama unavyosema....yani mijitu mijinga sijui kwanini mliumbwa....khaaaaa
 
hahahaha ungekuwa ni mmoja wa walipa kodi ningekuelewa..lakini maskini ya Mungu hata hiyo kodi ya serkali tangu uzaliwe hujawah ilipa..wala hujui ina haruf gani..daaa...tutafika kweli na mijitu kama hii inayotumwa na mabwanyenye
Jibu hoja...leteni hukumu ya kesi.. ndege kurudi si hoja tosha... deni kulipwa ndege lazima irudi
 
hahahaha ungekuwa ni mmoja wa walipa kodi ningekuelewa..lakini maskini ya Mungu hata hiyo kodi ya serkali tangu uzaliwe hujawah ilipa..wala hujui ina haruf gani..daaa...tutafika kweli na mijitu kama hii inayotumwa na mabwanyenye
Wazungu wakiwapa misaada CCM huwaita wafadhili lakini hao hao wazungu wakikataa dhuluma za CCM mnawaita mabwenyenye mabeberu.
 
Jibu hoja...leteni hukumu ya kesi.. ndege kurudi si hoja tosha... deni kulipwa ndege lazima irudi
uletewe hukumu ya kesi wewe kama nani..halaf ukishaletewa.....what next..utaifanyia nini...hahahaha mtu hiyo ndege yenyewe hujui ilinunuliwaje..na ililipiwaje。..umekuja kudandia gari kwa mbele.....i wish i could be the IGP..jomba
 
Jibu hoja...leteni hukumu ya kesi.. ndege kurudi si hoja tosha... deni kulipwa ndege lazima irudi

Profesa Kabudi kamuomba Mzungu apige kimya asitoe siri ili Kabudi apate kujimwambafy huko mwanza wafiche Aibu yao.
 
Wazungu wakiwapa misaada CCM huwaita wafadhili lakini hao hao wazungu wakikataa dhuluma za CCM mnawaita mabwenyenye mabeberu.
ccm chama cha wanyonge wewwe..sio kama chenu cha kuweka na kukopa, saccos...dhuluma inatokea wapi sasa..tatizo lenu mnamezeshwa nayinyi mmameza tu bila hata kufikiri
 
uletewe hukumu ya kesi wewe kama nani..halaf ukishaletewa.....what next..utaifanyia nini...hahahaha mtu hiyo ndege yenyewe hujui ilinunuliwaje..na ililipiwaje。..umekuja kudandia gari kwa mbele.....i wish i could be the IGP..jomba

Ushahidi ni Ndege kuachiwa tu, Ndege haikuachiwa bure tambua hilo huo ndiyo ushahidi tosha, Le mutuz acha fujo CCM wataendelea kukulipa usiwe na wasiwasi endelea kuwatetea mitandaoni lakini mjue watanzania siyo wajinga wanajua A-Z
 
Leteni hati ya hukumu na cost za kesi acheni porojo.

Hati za hukumu za south africa na za canada ziko wapi? kwanini iwe siri wakati ni pesa za walipa kodi?

Mkulima kalipa garama za kesi? za kulala hotel za nyota 5 ujumbe wa kabudi South Na Canada?

Watanzania sio wajinga kiivyo.
Ikikamatwa inatangazwa ikiachiwa inatangazwa vielelezo hakuna sasa .........bado kuna giza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom