Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

ndio atuletee risiti tuthibitishe kama analipa kodi kweli. mbona sisi tutadai taarifa ya ndege.kama vile sijui tutaipeleka.wapi

Wewe lete risti ya hizo pesa haramu unazolipwa na CCM kwa ajili ya kutengeneza propaganda za kuwahadaa bongo lala
 
Awamu zote deni la mkulima walilipa... awamu hii wakagoma na wakamtimua nchini.... UNATEGEMEA NINI..??

BY THE WAY... hivi kwa mtazamo wako, mkulima ana haki au hana ya kulipwa deni?

Tena kibaya kipindi wamemtimua mkulima wa kizungu kulikuwa na malipo yake tayari ile pesa imepigwa na wajanja wachache, walifanya kumfukuza wapate kuipora haki yake, CCM wana roho mbaya sana wanatetea dhuluma na matendo haramu.
 
Kama wewe unalipwa na CCM kutengeneza propaganda mbalimbali zikiwemo za kuharalisha dhuluma haramu usifikiri wengine wanaokataa ujinga wenu nao wanalipwa chochote, kukataa ujinga siyo lazima kulipwa na mtu, anayelipwa ni yule anayeamua kutengeneza ujinga kama wewe unavyofanya mara nyingi humu mitandaoni.
Kamanda niwekee namba yako inbobo nikutumie hela ya kula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha
Huyu akiambiwa mtu anatipa kodi sijui anawaza nini..... NADHANI ANAFIKIRI VAT SIYO KODI... kila mtu analipa kodi.... na nadhani anajitoa akili kuwa kila bidhaa unayonunua ina KODI... LEO HII NIMENUNUA MABABATI YANA KODI YA 18% VAT otherwise bei ingekuwa chini... bati hizo hizo ningenunua nikiwa BAHRAIN ningelipa bei ndogo maana wao VAT ni 5%....
Hajui aongeacho huyo... UCHAMA UNAMKABA...

YAANI MKULIMA KUDHULUMIWA HAKI YAKE YEYE ANAONA NI SAWA... UJINGA MTUPU...
 
sasa jomba proffessionalism yake ya sheria kama advocate inahusiana vipi na uwakiki wa viti maalum kama unavyosema....yani mijitu mijinga sijui kwanini mliumbwa....khaaaaa
Mkuu unapaswa kujifunza kiingereza fasaha na jinsi ya kutumia maneno yake.i.e profession yake ni uwakili na ili uwese kusimama mahakama za kimataifa unatakiwa uwe wakili wa nchi yako kwa kifupi yeye alikua ni mkufunzi tu wa sheria na huo uwakili wa viti maalumu ameupata 2009 baada kua anafeli sana bar exams pia hana uzoefu wowote ule wa kwenye mahakama za kitaifa..hata wa mahakama za ndani maana hakua wakili licha ya kua mkufunzi wa sheria...
 
ndio atuletee risiti tuthibitishe kama analipa kodi kweli. mbona sisi tutadai taarifa ya ndege.kama vile sijui tutaipeleka.wapi
Ahahahahaaaa Huna hoja... ntakuwekea LUKU na DSTV nilizonunua kwa simu (electronic money) au hata vocha kwa Mpesa, au hata kutuma Mpesa then utaacha kujitoa akili... unadhani hizo transactions hazina VAT?

MKUBWA UNAJIDHALILISHA
 
Huyu akiambiwa mtu anatipa kodi sijui anawaza nini..... NADHANI ANAFIKIRI VAT SIYO KODI... kila mtu analipa kodi.... na nadhani anajitoa akili kuwa kila bidhaa unayonunua ina KODI... LEO HII NIMENUNUA MABABATI YANA KODI YA 18% VAT otherwise bei ingekuwa chini... bati hizo hizo ningenunua nikiwa BAHRAIN ningelipa bei ndogo maana wao VAT ni 5%....
Hajui aongeacho huyo... UCHAMA UNAMKABA...

YAANI MKULIMA KUDHULUMIWA HAKI YAKE YEYE ANAONA NI SAWA... UJINGA MTUPU...
weka risiti hapa tuione..vinginevyo hizo bati utakuwa umemwomba asikupe risiti ili ukwepe.kodi unadhani hatujui..weka risiti hapa tuthibitishe..
 
weka risiti hapa tuione..vinginevyo hizo bati utakuwa umemwomba asikupe risiti ili ukwepe.kodi unadhani hatujui..weka risiti hapa tuthibitishe..
Unajitoa akili kaka... unajidhalilisha... DAILY LIFE YENYEWE INA KODI KILA KONA... KILA UNACHOFANYA KINA KODI
 
Mkuu unapaswa kujifunza kiingereza fasaha na jinsi ya kutumia maneno yake.i.e profession yake ni uwakili na ili uwese kusimama mahakama za kimataifa unatakiwa uwe wakili wa nchi yako kwa kifupi yeye alikua ni mkufunzi tu wa sheria na huo uwakili wa viti maalumu ameupata 2009 baada kua anafeli sana bar exams pia hana uzoefu wowote ule wa kwenye mahakama za kitaifa..hata wa mahakama za ndani maana hakua wakili licha ya kua mkufunzi wa sheria...
unaweza eleza sababu ya ndege zetu kuachiwa kila zikikamatwa
 
Unajitoa akili kaka... unajidhalilisha... DAILY LIFE YENYEWE INA KODI KILA KONA... KILA UNACHOFANYA KINA KODI
tofautisha matakwa ya kisheria na uhalisia wa kulipa kodi jomba...ingekuwa kama unavyosema saiz tungekuwa mbali mno...fikiri tena jomba then mwaga upupu wako
 
Tuwekee proof by the Court's verdict kuwa mkulima hajalipwa na asingelipwa kuna watu wana mapepo wangetamba vibaya. Otherwise, acha umbeya wewe dada. Believe me, hiyo ndege tumeinunua ×2.

mimi ni nani hata nisilaiki hii komenti??
 
tofautisha matakwa ya kisheria na uhalisia wa kulipa kodi jomba...ingekuwa kama unavyosema saiz tungekuwa mbali mno...fikiri tena jomba then mwaga upupu wako
Umbali umefupishwa na wizi jombaa.. Mimi na wewe tunajuwa EPA... RICHMOND,... MEREMETA... TANPOWER... ETC. waza ZILE HELA ZILIZOTOKA KWA MASANDALUSI PALE STANBIC BANK ZILIENDA WAPI? Umesoma kitabu cha Mkapa kuhusu alichosema juu ya kashfa hizo..??
 
Unajitoa akili kaka... unajidhalilisha... DAILY LIFE YENYEWE INA KODI KILA KONA... KILA UNACHOFANYA KINA KODI
kwa hiyo unataka kutuambia kodi zinalipwa kwa asilimia 100...kulingana na njia unayoisema...mbona hatukuwa na madege yote hayo na ma train na mameli na madaraja na mabarabara na elimu bure na madawa mengi hospitali na ma stiglers gorge na mengine mengi yataje tu
 
Umbali umefupishwa na wizi jombaa.. Mimi na wewe tunajuwa EPA... RICHMOND,... MEREMETA... TANPOWER... ETC. waza ZILE HELA ZILIZOTOKA KWA MASANDALUSI PALE STANBIC BANK ZILIENDA WAPI? Umesoma kitabu cha Mkapa kuhusu alichosema juu ya kashfa hizo..??
Mkapa kasemaje
 
Back
Top Bottom