Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Le mutuz ujue una miaka 60 lakini bado una mambo ya ajabu ajabu ni lini utaacha dharau kwa watanzania?

Minyoo, kwa hiyo basi mimi ni Le mutuz ndiyo Majungu yenyewe hayo. Hunifahamu sikufahamu then unaruka kimanga ati unanifahamu. Sorry mate I am not the person you think, I just happen to be clever than you. I only argue about the points presented it does not matter who presented his/her views to be discussed. all in all its about our beloved country. Sasa mkuu onyesha dharau yangu kwa Watanzania.

Fact Majungu ni Akili za Le mutuz hizo ni mtu mjinga pekee anaweza kukaa kufuatilia canada wakati vitu vinajielezea wazi, kitendo cha mkulima wa kizungu kuruhusiwa kuingia hapo Nchini Tanzania ni ushahidi tosha kuwa yapo maridhiano hakuna haja ya kuumiza kichwa na vigezo vya le mutuz fact mara majungu acheni kuwadharau watanzania kaeni mtambue kuwa watanzania wana Akili kuliko nyie watetezi wa CCM wasaka Uteuzi kila siku.

Kumbe mkulima yupo Tanzania, hebu tupe ushahidi basi? Kama nakumbuka vizuri wakati wa ile kesi kule Gautang SA aliambiwa afuatilie Tanzania. Je, kulikoni? Tuwekee hizo facts maana kama huna itakuwa majungu.

BTW Sina sababu ya kutaka cheo kwenye Serikali ya JPM, kama ningetamani cheo nakupa guarantee leo hii ningekwenda kuomba nionane nae binafsi na kumpa CV yangu personally. Angeniajiri bila pupepesa macho au angeniambia sipo sahihi kwenye mipango yake, ni sawa na mwajiri yeyote yule. Mimi sina haja ya kuzunguka mbuyu maana hapa nilipo sihitaji kuajiriwa Tanzania. Mimi ni Employer naajiri watu kunifanyia kazi. When the time is right (and that time is becoming nearer and nearer every day on this Government) nitaajiri Watanzania wengi, kwa hiyo basi usiwe na homa ya kwashakoo kufikiri mimi ni hoe hae kama wewe.
 
Minyoo, kwa hiyo basi mimi ni Le mutuz ndiyo Majungu yenyewe hayo. Hunifahamu sikufahamu then unaruka kimanga ati unanifahamu. Sorry mate I am not the person you think, I just happen to be clever than you. I only argue about the points presented it does not matter who presented his/her views to be discussed. all in all its about our beloved country. Sasa mkuu onyesha dharau yangu kwa Watanzania.



Kumbe mkulima yupo Tanzania, hebu tupe ushahidi basi? Kama nakumbuka vizuri wakati wa ile kesi kule Gautang SA aliambiwa afuatilie Tanzania. Je, kulikoni? Tuwekee hizo facts maana kama huna itakuwa majungu.

BTW Sina sababu ya kutaka cheo kwenye Serikali ya JPM, kama ningetamani cheo nakupa guarantee leo hii ningekwenda kuomba nionane nae binafsi na kumpa CV yangu personally. Angeniajiri bila pupepesa macho au angeniambia sipo sahihi kwenye mipango yake, ni sawa na mwajiri yeyote yule. Mimi sina haja ya kuzunguka mbuyu maana hapa nilipo sihitaji kuajiriwa Tanzania. Mimi ni Employer naajiri watu kunifanyia kazi. When the time is right (and that time is becoming nearer and nearer every day on this Government) nitaajiri Watanzania wengi, kwa hiyo basi usiwe na homa ya kwashakoo kufikiri mimi ni hoe hae kama wewe.
Minyoo, kwa hiyo basi mimi ni Le mutuz ndiyo Majungu yenyewe hayo. Hunifahamu sikufahamu then unaruka kimanga ati unanifahamu. Sorry mate I am not the person you think, I just happen to be clever than you. I only argue about the points presented it does not matter who presented his/her views to be discussed. all in all its about our beloved country. Sasa mkuu onyesha dharau yangu kwa Watanzania.



Kumbe mkulima yupo Tanzania, hebu tupe ushahidi basi? Kama nakumbuka vizuri wakati wa ile kesi kule Gautang SA aliambiwa afuatilie Tanzania. Je, kulikoni? Tuwekee hizo facts maana kama huna itakuwa majungu.

BTW Sina sababu ya kutaka cheo kwenye Serikali ya JPM, kama ningetamani cheo nakupa guarantee leo hii ningekwenda kuomba nionane nae binafsi na kumpa CV yangu personally. Angeniajiri bila pupepesa macho au angeniambia sipo sahihi kwenye mipango yake, ni sawa na mwajiri yeyote yule. Mimi sina haja ya kuzunguka mbuyu maana hapa nilipo sihitaji kuajiriwa Tanzania. Mimi ni Employer naajiri watu kunifanyia kazi. When the time is right (and that time is becoming nearer and nearer every day on this Government) nitaajiri Watanzania wengi, kwa hiyo basi usiwe na homa ya kwashakoo kufikiri mimi ni hoe hae kama wewe.
Wewe ni hohe hahe huna kitu unategemea kulipwa na CCM uwatetee kwa vigezo vya kijinga jinga ukubali ukatae wewe ni Le mutuz aina ya uandishi wako hata ukijificha uandishi unakuumbua tu huna cha kuigwa miaka 60 bado huna familia kutwa kuzurula night club na vibinti vya under 17 ndiyo maana huna mawazo mapya kutokana na kuzungukwa na watu wasiojielewa
 
Minyoo, kwa hiyo basi mimi ni Le mutuz ndiyo Majungu yenyewe hayo. Hunifahamu sikufahamu then unaruka kimanga ati unanifahamu. Sorry mate I am not the person you think, I just happen to be clever than you. I only argue about the points presented it does not matter who presented his/her views to be discussed. all in all its about our beloved country. Sasa mkuu onyesha dharau yangu kwa Watanzania.



Kumbe mkulima yupo Tanzania, hebu tupe ushahidi basi? Kama nakumbuka vizuri wakati wa ile kesi kule Gautang SA aliambiwa afuatilie Tanzania. Je, kulikoni? Tuwekee hizo facts maana kama huna itakuwa majungu.

BTW Sina sababu ya kutaka cheo kwenye Serikali ya JPM, kama ningetamani cheo nakupa guarantee leo hii ningekwenda kuomba nionane nae binafsi na kumpa CV yangu personally. Angeniajiri bila pupepesa macho au angeniambia sipo sahihi kwenye mipango yake, ni sawa na mwajiri yeyote yule. Mimi sina haja ya kuzunguka mbuyu maana hapa nilipo sihitaji kuajiriwa Tanzania. Mimi ni Employer naajiri watu kunifanyia kazi. When the time is right (and that time is becoming nearer and nearer every day on this Government) nitaajiri Watanzania wengi, kwa hiyo basi usiwe na homa ya kwashakoo kufikiri mimi ni hoe hae kama wewe.

Le mutuz acha hizo ujue huwezi kujificha uandishi wako unajulikana kwa wana JF wote
 
Mbona tumelipa sasa,huyo KABUGI wako amesaidia nini,hiki ndicho tulichopaswa kufanya tangu mwanzo,ubabe waletewe MALOFA wa Tanganyika siyo na Beberu bana.
 
Le mutuz akiandika kitu lazima atajisahau na kujisifu na pia ni mdhaifu wa kiswanglish ni rahisi kugundulika hata na mtu asiye na Akili kama kibajaji, acheni kuwadharau watanzania tambueni kuwa watanzania siyo wajinga hata magufuli alishakiri hilo mapema.
 
Aliyenipa taarifa ni mshauri wa rais katika sekt nzima ya anga, siwezi kulitaja jina lake humu ndani kimaadili.
taja usitaje shauri yako. kuhusu maadili umeambulia mtungi. nani alikuuliza, in the first place, hiyo taarifa ya jikoni? sisi ingetosha tumemshinda au tumemlipa Steyn. mengine ni mbwembwe zako za connections hata kama ni mkuu wa anga, it's okay. kwa haya mnayofanya, mkuu wa anga atakuwa central figure. si bure, wallahi!(iss voice)
 
Mbona tumelipa sasa,huyo KABUGI wako amesaidia nini,hiki ndicho tulichopaswa kufanya tangu mwanzo,ubabe waletewe MALOFA wa Tanganyika siyo na Beberu bana.

Profeselii Kabudi alitumia ubabe wa kishamba akataka kumdhulumu Mzungu kwa njia haramu matokeo yake ameliingiza Taifa kwenye gharama zingine zisizo za lazima, laiti Tanzania kungekuwa na katiba nzuri kama ya South Africa leo hii profeselii Kabudi angekuwa mahakamani kwa kutumia madaraka vibaya na kulisababishia Nchi hasara kubwa
 
Wewe ni hohe hahe huna kitu unategemea kulipwa na CCM uwatetee kwa vigezo vya kijinga jinga ukubali ukatae wewe ni Le mutuz aina ya uandishi wako hata ukijificha uandishi unakuumbua tu huna cha kuigwa miaka 60 bado huna familia kutwa kuzurula night club na vibinti vya under 17 ndiyo maana huna mawazo mapya kutokana na kuzungukwa na watu wasiojielewa
Le mutuz acha hizo ujue huwezi kujificha uandishi wako unajulikana kwa wana JF wote

Kuanzia sasa nakudharau kwa sababu wewe ni mwongo wala huwezi kunifahamu mimi. Hoja zikikushinda unakimbilia kwamba unanifahamu. Mimi sio yule ambaye unadhani, sina sababu ya wewe kuniomba radhi kwa sababu huwezi ku-reason na mtu mjinga. Enjoy the privilege which some of us provided to you.
 
taja usitaje shauri yako. kuhusu maadili umeambulia mtungi. nani alikuuliza, in the first place, hiyo taarifa ya jikoni? sisi ingetosha tumemshinda au tumemlipa Steyn. mengine ni mbwembwe zako za connections hata kama ni mkuu wa anga, it's okay. kwa haya mnayofanya, mkuu wa anga atakuwa central figure. si bure, wallahi!(iss voice)
Nilikuwa namjibu tu mkuu. Sio lazima kila kitu uulizwe.
 
Kuanzia sasa nakudharau kwa sababu wewe ni mwongo wala huwezi kunifahamu mimi. Hoja zikikushinda unakimbilia kwamba unanifahamu. Mimi sio yule ambaye unadhani, sina sababu ya wewe kuniomba radhi kwa sababu huwezi ku-reason na mtu mjinga. Enjoy the privilege which some of us provided to you.
Jidharau mwenyewe kwani wewe ulishadharauliwa hakuna anayekuheshimu hujiheshimu unategemea nani akuheshimu? huna cha kujivunia wewe ni mbumbumbu mjinga wa kutupwa ingawa unajidanganya una akili kisa michepuko inakusifia ili ikuchune vicent unavyopewa na CCM kwa ajili ya kuwatetea mitandaoni, Tambua kuwa watanzania siyo wajinga wanajua sinema zenu zote hata mje na utetezi gani mtaambulia kuwanasa wajinga wajinga kama wewe binafsi.
 
Wewe ni hohe hahe huna kitu unategemea kulipwa na CCM uwatetee kwa vigezo vya kijinga jinga ukubali ukatae wewe ni Le mutuz aina ya uandishi wako hata ukijificha uandishi unakuumbua tu huna cha kuigwa miaka 60 bado huna familia kutwa kuzurula night club na vibinti vya under 17 ndiyo maana huna mawazo mapya kutokana na kuzungukwa na watu wasiojielewa
Hivi minyoo hukurudi na Lowassa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanzia sasa nakudharau kwa sababu wewe ni mwongo wala huwezi kunifahamu mimi. Hoja zikikushinda unakimbilia kwamba unanifahamu. Mimi sio yule ambaye unadhani, sina sababu ya wewe kuniomba radhi kwa sababu huwezi ku-reason na mtu mjinga. Enjoy the privilege which some of us provided to you.

Mie sio kuanzia sasa mie nakudharau tokea zamani wewe ukianza sasa umechelewa sana acha Uongo ujue miaka 60 bado unaishi kishamba shamba ni Aibu jiongeze uende na wakati Tambua watanzania wameamka ujue na Hoja za msingi
 
Watetezi wa CCM ebu mkataeni Le mutuz kwani badala ya kuisaidia CCM mitandaoni huwa anaiabisha zaidi uandishi wake unatia Aibu hana point wala Hoja badala ya kuwasaidia CCM anazidi kuwatengenezea chuki kubwa.
 
Back
Top Bottom