Kuagiza Toyota Hiace (Daladala) kutoka Japan (Used Car)

Kuagiza Toyota Hiace (Daladala) kutoka Japan (Used Car)

ushauri tu wa bure mleta mada!agiza hiace yenye engine ya 2L au 1kz hutakaa ujutie pesa yako!nimetumia 3L,5L najua mapungufu yake!ila 2L na 1kz ndio mashine ngumu zaidi!,ukitaka nissqn caravan agiza yenye engine ya TD 27 hutakaa ujutie

Mtoto tajiri,upooo
Mbona mie naona 5l ni bora kuliko 1kz?
Halafu 2L zipo juu sana na ni tabu sana kuzipata,maana hata hapa Zanzibar ni tabu sana kuzipata,zimejaa 3L kibao na 5L
 
$6800 (CIF) Hyo cif ndo nini mm nimeweka oda moja ya diesel manual $6300 ila bdo cjaenda kulipia 7bu nataka nijue kwanza ghalama ya ushulu araf pia umenipa ujanja nitawaambia watoe viti
Je hyo CIF ndo nini mm ndo first time naagiza gari tuseme kumiliki gari nshazoea pkpk na bajaj nanunua kkoo

Hiyi Diesel Manual, umeipata kwenye Website gani?
 
Back
Top Bottom