Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
andaa 30 Million mpaka kuitoa
Nataka kuagiza na mm lkn sasa mbna mnchanganya ipi ni sahii ml 30 au ml 22
Msaada wenu waungwana,Naomba kuuliza; unagizaji wa Daladala kutoka Japan (Used) inagharimu shilling ngapi? Na je,hadi kutoa pale Bandari ya Dar-es-Salam naweza kutumia Kiasi gani?
Msaada ndugu zangu kwa uzoefu wenu na uelewa.
Thanks in Advance.
Acha u..s..e..n..g..e wewe! Hujui bei za magari used zinatofautiana? Hapo umepewa range kwamba kuanzia 22M-30 kutokana na ubora wa gari unayoitaka. Yan kuna lower boundary na upper boundary. Au kiwango cha chini kabisa na kiwango cha juu. Wote hapo wako sahihi, wa 22 huenda kasahau kwamba dola imepanda thamani hivyo utahitaji Tsh nyingi zaidi kupata kitu kile kile ambacho ungekipata kwa unafuu mathalani mwaka mmoja uliopita.Wote hao malofa watakupotosha tu. Mie nakushauri uonane na wale walioagiza tayari. Angalia mwenyewe mara 22,000,000/= mwingine 30,000,000/=!! Kama si malofa ni nini?
Wote hao malofa watakupotosha tu. Mie nakushauri uonane na wale walioagiza tayari. Angalia mwenyewe mara 22,000,000/= mwingine 30,000,000/=!! Kama si malofa ni nini?
Mtoa mada ndio hajaeleweka ndio maana amepewa makisio tofauti,wengine wanaagiza hiace ambazo ni auto na ni Petroli (Bei lazima iwe ndogo japo si nzuri kibiashara)Ukiagiza high roof 5l engine 2005 model Manual Diesel ni around 30ml,ukilitolea viti ushuru unapungua kidogo maana utaingiza kama van.
Mkuu,Mtoa mada ndio hajaeleweka ndio maana amepewa makisio tofauti,wengine wanaagiza hiace ambazo ni auto na ni Petroli (Bei lazima iwe ndogo japo si nzuri kibiashara)Ukiagiza high roof 5l engine 2ooqqqqqq005 model Manual Diesel ni around 30ml,ukilitolea viti ushuru unapungua kidogo maana utaingiza kama van.
Kwa hyo mkubwa ya diesel ndo mzuri km kuchagua nichague ya diesel na iwe manual ndo poa kibiashala hapo nimekusoma kaka ndo mana hta mtandaoni ukicheki unakuta bei juu
Wote hamju hiace zimejaa pale mwananyamara zinauzwa bei pooooooaaaaaa
Wote hamju hiace zimejaa pale mwananyamara zinauzwa bei pooooooaaaaaa