Kuahirishwa kwa Simba na Yanga ni failure ya

Kuahirishwa kwa Simba na Yanga ni failure ya

Simba au yanga

  • Simba

    Votes: 6 31.6%
  • Yanga

    Votes: 9 47.4%
  • Simba na yanga

    Votes: 4 21.1%

  • Total voters
    19
Wadau
Nimesikitishwa sana na hili tukio la leo
Kuna usumbufu mkubwa kutokana na hili
1. Kuna watu wamelipia kuingia uwanjani..hili litakuaje?
2. Kuna watu walisafiri kutoka mbali?
3.n.k
Je ni kweli Magu kaondoka kaacha kila kitu shakala bagala, yaan ujanja unarudi matokeo yake ndio haya?
Toa maoni yako
JPM angekuwepo huu ujinga usingekuwepo.
 
Wadau
Nimesikitishwa sana na hili tukio la leo
Kuna usumbufu mkubwa kutokana na hili
1. Kuna watu wamelipia kuingia uwanjani..hili litakuaje?
2. Kuna watu walisafiri kutoka mbali?
3.n.k
Je ni kweli Magu kaondoka kaacha kila kitu shakala bagala, yaan ujanja unarudi matokeo yake ndio haya?
Toa maoni yako
Mahakama zipo
 
Tff mnawaonea, usimamizi upo wizara ya michezo ambao ndio umetoa maamuzi.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
dah, kuna watu wamekwama sana.....naikumbuka ile methali inayosema 'mtu anayezama majini anweza kuishikilia hata kijiti kimoja cha toothpick akiamini kitamuokoa'.

kila jambo sasa, hata liwe la kipuuzi kiasi gani, 'wapigania legacy' lazima watapetape katika kumshushia mzigo mama. inshaAllah, kwa uwezo wa Mungu zitampita mbali fitna hizi za kishetani!!
 
Wadau
Nimesikitishwa sana na hili tukio la leo
Kuna usumbufu mkubwa kutokana na hili
1. Kuna watu wamelipia kuingia uwanjani..hili litakuaje?
2. Kuna watu walisafiri kutoka mbali?
3.n.k
Je ni kweli Magu kaondoka kaacha kila kitu shakala bagala, yaan ujanja unarudi matokeo yake ndio haya?
Toa maoni yako
Sioni kisanduku kingine hapo, nahisi bado viwili!! Nimeshindwa kupiga kura
 
Back
Top Bottom