Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Muda huu namuwaza yule mwamba alietoka kigoma by ngondi alafu leo game limechacha
.wampe nauli aisee
Ha ha ha
Mwenyewe nimetoa polee kwenye status
Sijui ndio karogaa...au alishatua jijini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda huu namuwaza yule mwamba alietoka kigoma by ngondi alafu leo game limechacha
.wampe nauli aisee
Ingekuwa inacheza Simba/Yanga na timu nyingine tu...wala kusingesogezwa mechi mbeleTff mnawaonea, usimamizi upo wizara ya michezo ambao ndio umetoa maamuzi.
Chuki ni kitu kibaya sana. Unaweza kugombana na Mke wako ndani ukiwa BUZA halafu Ukaanza kutupa lawama kwa Rais wa MarekaniMama hafai ni suala la muda
Hapana sio chuki. Hembu tafakali hili suala kwa umakiniChuki ni kitu kibaya sana. Unaweza kugombana na Mke wako ndani ukiwa BUZA halafu Ukaanza kutupa lawama kwa Rais wa Marekani
Je kuna ushahidi Mama alihusika kuahirishwa Mechi hiyo.Hapana sio chuki. Hembu tafakali hili suala kwa umakini
Na ata ingesogozwa aya yasingetokea aya uyo uyo yanga angecheza tuIngekuwa inacheza Simba/Yanga na timu nyingine tu...wala kusingesogezwa mechi mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda huu namuwaza yule mwamba alietoka kigoma by ngondi alafu leo game limechacha
.wampe nauli aisee
Acha upuuzi aisee,Umesahau mechi ya Simba pale Arusha wakati wa kampeni ? Unapongea chocote na haswa kinachomhusu mama ,tafadhali saaana usimfananishe na mtu yoyote yuleJPM angekuwepo huu ujinga usingekuwepo.
Sasa mashougar wanahusika vipi hapo? [emoji23][emoji23][emoji23]Tiefu efu ni mashougar
Mama kahusika wapi na lini ,acheeni kumdhihaki mama ,taka msitake mama ndio rais na kwa taarifa yako huenda akawa ndio Rais anaekubalika zaidi na watanzania wote hata JK wa 2005 bado hajamfikiaHapana sio chuki. Hembu tafakali hili suala kwa umakini
Mpuuzi wewe yeye ndio aloanzisha nchi ya matamko kila kitu tamko na sio kufuata sheria ajiozee tu hukooooJPM angekuwepo huu ujinga usingekuwepo.
Yy ndio alieanzisha akihutubia rais kila chombo kimuoneshe ili apate umaarufuJPM ntamkumbuka maisha
Ushahidi hakunaJe kuna ushahidi Mama alihusika kuahirishwa Mechi hiyo.
Serikali yetu inataka kutuamisha timu za simba na Yanga ni Mali zake, haiwezekan mashabiki wajazane uwanjani, saa Tatu kabla ya mechi unatoa tangazo la kuahirisha mechi bila ya kukutanisha pande mbili.Wadau
Nimesikitishwa sana na hili tukio la leo
Kuna usumbufu mkubwa kutokana na hili
1. Kuna watu wamelipia kuingia uwanjani..hili litakuaje?
2. Kuna watu walisafiri kutoka mbali?
3.n.k
Je ni kweli Magu kaondoka kaacha kila kitu shakala bagala, yaan ujanja unarudi matokeo yake ndio haya?
Toa maoni yako
Hebu relax mkuu, makasiriko ni ya nini?Mpuuzi wewe yeye ndio aloanzisha nchi ya matamko kila kitu tamko na sio kufuata sheria ajiozee tu hukoooo