Kuamini Google na ufinyu wa maarifa: Teknolojia ina faida chache ila hasara kibao

Kuamini Google na ufinyu wa maarifa: Teknolojia ina faida chache ila hasara kibao

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Sasa hivi watu vichwa vyao vimekuwa vyepesi kama mchuzi wa yai, uvivu umetawala mtu akiulizwa swali anakimbilia Google ili apate jibu haraka na aje kujibu mtu.

Huyo aliyeandika Google ni nani? Katika uandishi kuna typing error uwaga zinatokea ila unakuta mtu anasema kasome Google tunawasomi wa namna hii siku hizi.

TEKNOLOGY imekuja kuleta maendeleo sawa ila faida ni dongo kuliko hasara. Hasara ndo kubwa maana watu wanaandika wanachokifahamu ila sio kiuhalisia.

Kuna vitu vya kusoma kwenye google na mambo mengi kutafuta mataalam akakuelekeze. Ndo maana wasomi wengi ni wajinga. Watu wenye elimu ni wengi ila maarifa zero. Ndo maana kila siku mambo yanabaki pale pale.
 
Kuna vitu vya kusoma kwenye google na mambo mengi kufafuta mataalam akakuelekeza . Ndo maana wasomi wengi ni wajinga. Watu wenye elimu ni wengi ila maarifa zero. Ndo maana kila siku mambo yanabaki pale pale.
Brain sifuri wewe una nini ulichofanya chenye creativity na kuleta positive impact kwa Taifa lako zaidi ya kutumia hio hio Google play store ku-download apps za Google ikiwemo hii unayoitimia, stupid (in Sa100's Voice)
 
Brain sifuri wewe una nini ulichofanya chenye creativity na kuleta positive impact kwa Taifa lako zaidi ya kutumia hio hio Google play store ku-download apps za Google ikiwemo hii unayoitimia, stupid (in Sa100's Voice)
Mtoto wa mama wewe. Subiri apike ule ¡ inamaana kila mtanzania anamiliki hizo app zinazopatikana play store. Technology ni msingi wa mtu ili akafanye biashara zake. Ndo maana bila TECHNOLOGY unaweza kuishi na usipate tatizo lolote. Wewe ndo mpumbavu
 
Mtoto wa mama wewe. Subiri apike ule ¡ inamaana kila mtanzania anamiliki hizo app zinazopatikana play store. Technology ni msingi wa mtu ili akafanye biashara zake. Ndo maana bila TECHNOLOGY unaweza kuishi na usipate tatizo lolote. Wewe ndo mpumbavu
Aaaha that's what I want umekaa kwenye 18 zangu then let's this battle started

Awali ya yote Mimi ni mtoto wa baba kwa hio tengua kauli yako, Pili nimekuuliza swali wewe umefanya nini Cha maana chenye ubunifu wa maana creativity chenye positive impact hata kwa dunia nzima kuizidi Google? Show us tuonyeshe sema kua Mimi nimeunda ndege isiyotumia mafuta weka picha au video tuone
 
Aaaha that's what I want umekaa kwenye 18 zangu then let's this battle started

Awali ya yote Mimi ni mtoto wa baba kwa hio tengua kauli yako, Pili nimekuuliza swali wewe umefanya nini Cha maana chenye ubunifu wa maana creativity chenye positive impact hata kwa dunia nzima kuizidi Google? Show us tuonyeshe sema kua Mimi nimeunda ndege isiyotumia mafuta weka picha au video tuone, apart from that you're so stupid I repeat you're very stupid kaa kimya brain sifuri
Una matatizo ya akili wewe. Sipo hapa ili unifahamu mimi dili na hoja inavosema mpumbavu mamaako
 
Una matatizo ya akili wewe. Sipo hapa ili unifahamu mimi dili na hoja inavosema mpumbavu mamaako
Hivi mtu akipita kusoma comments atagundua Kati yako na mimi Nani ana matatizo ya akili? Wewe ni mjinga bongolala, unakosoa creativity za watu wakati wewe hakuna ulichowahi kubuni, hivi unaelewa dhumuni la Google kuanzishwa kilikua ni nini? Na unajua Google ilianzaje mpaka hapo ilipofikia? Stupid
 
Hivi mtu akipita kusoma comments atagundua Kati yako na mimi Nani ana matatizo ya akili? Wewe ni mjinga bongolala, unakosoa creativity za watu wakati wewe hakuna ulichowahi kubuni, hivi unaelewa dhumuni la Google kuanzishwa kilikua ni nini? Na unajua Google ilianzaje mpaka hapo ilipofikia? Stupid
2002 . Ukikuwa utaacha babaako kumuona mshikaji wako
 
Mtu akikuuliza oesophagus ni nini utakimbilia maktaba ukamtaftie jibu? Acha ufala kubali kuendana na karne ya 21. Mda mwengine ujuaji unawafanya muonekane bogus manyota. Google inadaka published articles sehemu mbalimbali sio kwamba kuna mtu amekaa ofisini google anaandika acha ujinga kaulize kwanza google ni nini
 
Back
Top Bottom