Kuamini Google na ufinyu wa maarifa: Teknolojia ina faida chache ila hasara kibao

Kuamini Google na ufinyu wa maarifa: Teknolojia ina faida chache ila hasara kibao

Kwani Wewe unataka Jibu au Unataka Akili ya Mtu?? Kwanini Uishi maisha Ya 1980 wakati watu wanaishi maisha ya 2023...

Kujibu kwa Kichwa Siku hizi si ujanja Tena eti utasifiwa na Watu siku hzi watu wanatafuta Solution ya Matatizo Kwa Njia Yeyote ile Ili Mradi Tatizo Limetatulika Haijalishi Ametumia Google au Laaah

Sasa Kama Ukitumia Google Tu umeleta Thread Sasa Hivi Kuna CHAT GPT AI
Vichwa vyepesi..... yapo mambo ya kutumia technlogy na mambo mengine kutumia tecknolgy unakuwa unafanya bichwa lako liwe boga
 
Mtoa mada una tongo tongo nyingi sana kichwani ebu kwanza ijaribu ChatGPT halafu urudi tena hapa kuja kuharisha
 
Mtoto wa mama wewe. Subiri apike ule ¡ inamaana kila mtanzania anamiliki hizo app zinazopatikana play store. Technology ni msingi wa mtu ili akafanye biashara zake. Ndo maana bila TECHNOLOGY unaweza kuishi na usipate tatizo lolote. Wewe ndo mpumbavu
[emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji160]
 
Mkuu unajua google ni nini na inafanyaje kazi? Ebu jaribu kufikiria kidogo... Anaeenda kutafuta jibu kwenye search engine kubwa kama google ni anatafuta jibu lenye majibu ya kiwango cha kimataifa... Nikianza kukueleza jinsi google inafanya kazi, itabid nikueleze na chatGPT, alafu hapo hapo nikueleze github alafu nikwambie mambo ya databases alafu tuje server na mambo mengi ambayo we ni mweupe, na wewe sio mtu wa technology so ntakutesa tu, tafuta namna google inafanya kazi alafu ulete jibu... Mfano swali rahis unadhani kwanini ukiandika Tanzania inakwambia hii nchi iko wapi na haikosei? Alafu kitu kingine unadhani google inatumika kote sio? China, north na south korea na Russia hawatumii google kama search engine yao... Unadhan vile unavyovisearch vinajijia tu mzee watu wamechapa code za javaScript na typescript pamoja na html na css zikaelewa sababu wewe mtumiaji wa mwisho ukaona ni uongo au sio? Google has 2.5B visitors per month mzee hawa wote hawana akili ila wewe kamanda... Umetisha sana.
HANA FUTARI HUYO.
 

Hasara​

La teknolojia ya kisasa pia ina hasi zake. Kwa hivyo, maendeleo hayo pia yameunda hali ambazo sio faida sana kwa wanadamu, tunaona.

  • Watu wana uamuzi mdogo na ufahamu, wanategemea sana teknolojia.
  • Michakato ya hisabati haifanyiki kiakili lakini kupitia kikokotozi rahisi kilichowekwa kwenye simu ya rununu.
  • Mtaji wa kibinadamu umepungua, kwa hivyo ukosefu wa ajira umeongezeka katika maeneo ambayo mkono mkubwa wa uzalishaji ulihitajika hapo awali.
  • Uharibifu wa mazingira kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya nishati ya viwanda vingi vya kufanya kazi, ambavyo vimechafua maji na bahari.
  • the mitandao ya kijamii Wameharibu maisha ya kijamii ya wanafunzi wengi, wanatumia wakati wao zaidi kucheza michezo au kufanya matumizi kwenye vifaa vya rununu.
  • Kuna uvivu zaidi na uvivu ulimwenguni, kama matokeo ya michakato kuwa ya haraka na yenye ufanisi zaidi, na kuunda faraja katika kila shughuli.
  • Uhusiano wa kibinadamu umepungua, watu huacha nyumba zao wakitumia muda wao kutazama televisheni setilaiti au kebo, mtandao na michezo ya video.
  • Silaha bora zaidi na zenye nguvu zimevumbuliwa, na kufanya hofu katika nchi zingine kudhihirika katika suluhisho zinazoongezeka za mzozo wa kisiasa.
  • Kuna watu zaidi ambao wanaishi peke yao na wametengwa, ambao hawawasiliani na teknolojia mpya na wanahisi wamehama.
  • Watu husoma vitabu vichache na maarifa hupatikana bila kuwa na ukweli wa chanzo.
 
Hawajaelewa watu, hicho sikipingi kwakweli ila mbona uwasilishaji wake unaeleweka. Sema hatupendi kufikiria sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Kusema wataalam wajinga sababu ya Google au Technology hapo sipendi mazima upande alipo.
 
Pengine umefikiria na hakuna namna yoyote mwingine akakulaum maana ndipo ulipoishia, jaribu kuelewa google ni kitu gani na how kinakua na info ambazo watu wanaweza wakawa waziitaji au wanazihitaji
 
Sasa hivi watu vichwa vyao vimekuwa vyepesi kama mchuzi wa yai, uvivu umetawala mtu akiulizwa swali anakimbilia Google ili apate jibu haraka na aje kujibu mtu.

Huyo aliyeandika Google ni nani? Katika uandishi kuna typing error uwaga zinatokea ila unakuta mtu anasema kasome Google tunawasomi wa namna hii siku hizi.

TEKNOLOGY imekuja kuleta maendeleo sawa ila faida ni dongo kuliko hasara. Hasara ndo kubwa maana watu wanaandika wanachokifahamu ila sio kiuhalisia.

Kuna vitu vya kusoma kwenye google na mambo mengi kutafuta mataalam akakuelekeze. Ndo maana wasomi wengi ni wajinga. Watu wenye elimu ni wengi ila maarifa zero. Ndo maana kila siku mambo yanabaki pale pale.

Google inasaidia sana kama wewe mwenyewe una uelewa wa mambo. Kama ni mjinga, hata ukisoma mambo ndani ya google hutayaelewa, na ukidanganywa hutashtuka. Lakini mtu yoyote mwenye exposure, na hasa akiwa na Ile kitu inaitwa basic degree, yaani umesoma angalau 1st degree proper, unaweza kutumia google kwa faida kuliko hasara!!. Kwa hiyo, Google kwa mtu aliyeishia std 7 au from 4 ni tofauti na google kwa mtu aliyefika University.
 
Google inasaidia sana kama wewe mwenyewe una uelewa wa mambo. Kama ni mjinga, hata ukisoma mambo ndani ya google hutayaelewa, na ukidanganywa hutashtuka. Lakini mtu yoyote mwenye exposure, na hasa akiwa na Ile kitu inaitwa basic degree, yaani umesoma angalau 1st degree proper, unaweza kutumia google kwa faida kuliko hasara!!. Kwa hiyo, Google kwa mtu aliyeishia std 7 au from 4 ni tofauti na google kwa mtu aliyefika University.
Hakuna watu wajinga kama watu walisoma hizo degree tena hapa bongo. Niamini mimi we upo chuo bado mtoto wa mama. Bora wa darasa la saba kuliko wewe mwenye degree na hakusadii
 
Back
Top Bottom