Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
- Thread starter
- #61
Vichwa vyepesi..... yapo mambo ya kutumia technlogy na mambo mengine kutumia tecknolgy unakuwa unafanya bichwa lako liwe bogaKwani Wewe unataka Jibu au Unataka Akili ya Mtu?? Kwanini Uishi maisha Ya 1980 wakati watu wanaishi maisha ya 2023...
Kujibu kwa Kichwa Siku hizi si ujanja Tena eti utasifiwa na Watu siku hzi watu wanatafuta Solution ya Matatizo Kwa Njia Yeyote ile Ili Mradi Tatizo Limetatulika Haijalishi Ametumia Google au Laaah
Sasa Kama Ukitumia Google Tu umeleta Thread Sasa Hivi Kuna CHAT GPT AI