Kuamini Google na ufinyu wa maarifa: Teknolojia ina faida chache ila hasara kibao

Kuamini Google na ufinyu wa maarifa: Teknolojia ina faida chache ila hasara kibao

Hemedy Jr Junior nafkiri una hoja ila namna ya uwasilishaji ndio shida
Hajui anachokisema ni sawasawa ukutane na mtu mtaani( layman) anasema you tube haisemi ukweli eti ukiandika Diamond ni billionaire inaleta majibu, this is what the dude was trying to implicate ila hajui the whole working mechanism of search engines...sasa apo inabid upite pembeni uwaache waendelee kubishana si walikimbia umande wakati sisi tunapambana na skuli...
 
Hajui anachokisema ni sawasawa ukutane na mtu mtaani( layman) anasema you tube haisemi ukweli eti ukiandika Diamond ni billionaire inaleta majibu, this is what the dude was trying to implicate ila hajui the whole working mechanism of search engines...sasa apo inabid upite pembeni uwaache waendelee kubishana si walikimbia umande wakati sisi tunapambana na skuli...
Shida ni kwamba watu Wamekimbilia kumuattack ila hoja yake ni kwamba watu wapo too attached na Google kuliko Hypocampus ( Reasoning/ Logic mind ).
 
Google haifanyi kazi kizembe hivyo. Google inachofanya ni kukuletea link ya documents, page, video, picha au website yenye taarifa unayotaka.

Kwa kifupi badala ya wewe kwenda maktaba kuu kutafuta kitabu fulani google inakuletea kile kitabu in the Software format.
 
2002 . Ukikuwa utaacha babaako kumuona mshikaji wako
Wewe ni mjinga nimekuuliza unajua dhumuni la kuanzishwa kwa Google? Nini waliona hadi wakaianzisha au unapingapinga tu kijingajinga? Grow up acha kua na akili za kitoto next time utakuja kukosoa JF kua haifai kuwepo Tz na haifai kutumiwa na watanzania kwa sababu zako uchwara zisizokua na mashiko
 
Sasa hivi watu vichwa vyao vimekuwa vyepesi kama mchuzi wa yai, uvivu umetawala mtu akiulizwa swali anakimbilia Google ili apate jibu haraka na aje kujibu mtu.

Huyo aliyeandika Google ni nani? Katika uandishi kuna typing error uwaga zinatokea ila unakuta mtu anasema kasome Google tunawasomi wa namna hii siku hizi.

TEKNOLOGY imekuja kuleta maendeleo sawa ila faida ni dongo kuliko hasara. Hasara ndo kubwa maana watu wanaandika wanachokifahamu ila sio kiuhalisia.

Kuna vitu vya kusoma kwenye google na mambo mengi kutafuta mataalam akakuelekeze. Ndo maana wasomi wengi ni wajinga. Watu wenye elimu ni wengi ila maarifa zero. Ndo maana kila siku mambo yanabaki pale pale.
Maarifa yamapatikana kwenye vitabu Google au tuseme internet ni version mpya ya vitabu. Kama unaongelea typing error hata vitabu vinaweza kuwa na typing error.
Na tunakoelekea kila kitu kinaamia kwenye cloud
 
Mkuu unajua google ni nini na inafanyaje kazi? Ebu jaribu kufikiria kidogo... Anaeenda kutafuta jibu kwenye search engine kubwa kama google ni anatafuta jibu lenye majibu ya kiwango cha kimataifa... Nikianza kukueleza jinsi google inafanya kazi, itabid nikueleze na chatGPT, alafu hapo hapo nikueleze github alafu nikwambie mambo ya databases alafu tuje server na mambo mengi ambayo we ni mweupe, na wewe sio mtu wa technology so ntakutesa tu, tafuta namna google inafanya kazi alafu ulete jibu... Mfano swali rahis unadhani kwanini ukiandika Tanzania inakwambia hii nchi iko wapi na haikosei? Alafu kitu kingine unadhani google inatumika kote sio? China, north na south korea na Russia hawatumii google kama search engine yao... Unadhan vile unavyovisearch vinajijia tu mzee watu wamechapa code za javaScript na typescript pamoja na html na css zikaelewa sababu wewe mtumiaji wa mwisho ukaona ni uongo au sio? Google has 2.5B visitors per month mzee hawa wote hawana akili ila wewe kamanda... Umetisha sana.
Andaa Uzi wa hayo mambo uliyoyaongea hapo juu
 
Mtu akikuuliza oesophagus ni nini utakimbilia maktaba ukamtaftie jibu? Acha ufala kubali kuendana na karne ya 21. Mda mwengine ujuaji unawafanya muonekane bogus manyota. Google inadaka published articles sehemu mbalimbali sio kwamba kuna mtu amekaa ofisini google anaandika acha ujinga kaulize kwanza google ni nini
We kiande kweli soma vizuri post
 
Kwani Wewe unataka Jibu au Unataka Akili ya Mtu?? Kwanini Uishi maisha Ya 1980 wakati watu wanaishi maisha ya 2023...

Kujibu kwa Kichwa Siku hizi si ujanja Tena eti utasifiwa na Watu siku hzi watu wanatafuta Solution ya Matatizo Kwa Njia Yeyote ile Ili Mradi Tatizo Limetatulika Haijalishi Ametumia Google au Laaah

Sasa Kama Ukitumia Google Tu umeleta Thread Sasa Hivi Kuna CHAT GPT AI
 
Kwani Wewe unataka Jibu au Unataka Akili ya Mtu?? Kwanini Uishi maisha Ya 1980 wakati watu wanaishi maisha ya 2023...

Kujibu kwa Kichwa Siku hizi si ujanja Tena eti utasifiwa na Watu siku hzi watu wanatafuta Solution ya Matatizo Kwa Njia Yeyote ile Ili Mradi Tatizo Limetatulika Haijalishi Ametumia Google au Laaah

Sasa Kama Ukitumia Google Tu umeleta Thread Sasa Hivi Kuna CHAT GPT AI
Ndo maana tuna wasomi wengi wasio kuwa na maarifa. Wengi chenga
 
Back
Top Bottom