Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Mrembo nae AI tool ?
Mwanawane niko PM napewa ushauri na mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanawane niko PM napewa ushauri na mrembo
Hajui anachokisema ni sawasawa ukutane na mtu mtaani( layman) anasema you tube haisemi ukweli eti ukiandika Diamond ni billionaire inaleta majibu, this is what the dude was trying to implicate ila hajui the whole working mechanism of search engines...sasa apo inabid upite pembeni uwaache waendelee kubishana si walikimbia umande wakati sisi tunapambana na skuli...Hemedy Jr Junior nafkiri una hoja ila namna ya uwasilishaji ndio shida
Shida ni kwamba watu Wamekimbilia kumuattack ila hoja yake ni kwamba watu wapo too attached na Google kuliko Hypocampus ( Reasoning/ Logic mind ).Hajui anachokisema ni sawasawa ukutane na mtu mtaani( layman) anasema you tube haisemi ukweli eti ukiandika Diamond ni billionaire inaleta majibu, this is what the dude was trying to implicate ila hajui the whole working mechanism of search engines...sasa apo inabid upite pembeni uwaache waendelee kubishana si walikimbia umande wakati sisi tunapambana na skuli...
Mbona povu sasaUna matatizo ya akili wewe. Sipo hapa ili unifahamu mimi dili na hoja inavosema mpumbavu mamaako
😘😘😘😘 I love youBado upo kizamani, google imepitwa na wakati, sasa hivi watu tupo kwenye Open AI chat gpt.
Mbona umechelewa sana kijana? Nenda na wakati.
Nimekusoma mkuu ila me nadhani yeye pia hajui search engine zinavyofanya kazi... Ila now nimeelewa anamaanisha nini..Shida ni kwamba watu Wamekimbilia kumuattack ila hoja yake ni kwamba watu wapo too attached na Google kuliko Hypocampus ( Reasoning/ Logic mind ).
Inafikirisha sana hizo verified badge si wanaomba tu wanapewa hata wewe ukihataji unapewa na JF ukiomba hawakunyimi,Kinachofikirisha huyu jamaa Hemedy Jr Junior ana verified tick halafu anaongea utoto namna hii..pathetic!!
Wewe ni mjinga nimekuuliza unajua dhumuni la kuanzishwa kwa Google? Nini waliona hadi wakaianzisha au unapingapinga tu kijingajinga? Grow up acha kua na akili za kitoto next time utakuja kukosoa JF kua haifai kuwepo Tz na haifai kutumiwa na watanzania kwa sababu zako uchwara zisizokua na mashiko2002 . Ukikuwa utaacha babaako kumuona mshikaji wako
Maarifa yamapatikana kwenye vitabu Google au tuseme internet ni version mpya ya vitabu. Kama unaongelea typing error hata vitabu vinaweza kuwa na typing error.Sasa hivi watu vichwa vyao vimekuwa vyepesi kama mchuzi wa yai, uvivu umetawala mtu akiulizwa swali anakimbilia Google ili apate jibu haraka na aje kujibu mtu.
Huyo aliyeandika Google ni nani? Katika uandishi kuna typing error uwaga zinatokea ila unakuta mtu anasema kasome Google tunawasomi wa namna hii siku hizi.
TEKNOLOGY imekuja kuleta maendeleo sawa ila faida ni dongo kuliko hasara. Hasara ndo kubwa maana watu wanaandika wanachokifahamu ila sio kiuhalisia.
Kuna vitu vya kusoma kwenye google na mambo mengi kutafuta mataalam akakuelekeze. Ndo maana wasomi wengi ni wajinga. Watu wenye elimu ni wengi ila maarifa zero. Ndo maana kila siku mambo yanabaki pale pale.
Andaa Uzi wa hayo mambo uliyoyaongea hapo juuMkuu unajua google ni nini na inafanyaje kazi? Ebu jaribu kufikiria kidogo... Anaeenda kutafuta jibu kwenye search engine kubwa kama google ni anatafuta jibu lenye majibu ya kiwango cha kimataifa... Nikianza kukueleza jinsi google inafanya kazi, itabid nikueleze na chatGPT, alafu hapo hapo nikueleze github alafu nikwambie mambo ya databases alafu tuje server na mambo mengi ambayo we ni mweupe, na wewe sio mtu wa technology so ntakutesa tu, tafuta namna google inafanya kazi alafu ulete jibu... Mfano swali rahis unadhani kwanini ukiandika Tanzania inakwambia hii nchi iko wapi na haikosei? Alafu kitu kingine unadhani google inatumika kote sio? China, north na south korea na Russia hawatumii google kama search engine yao... Unadhan vile unavyovisearch vinajijia tu mzee watu wamechapa code za javaScript na typescript pamoja na html na css zikaelewa sababu wewe mtumiaji wa mwisho ukaona ni uongo au sio? Google has 2.5B visitors per month mzee hawa wote hawana akili ila wewe kamanda... Umetisha sana.
We kiande kweli soma vizuri postMtu akikuuliza oesophagus ni nini utakimbilia maktaba ukamtaftie jibu? Acha ufala kubali kuendana na karne ya 21. Mda mwengine ujuaji unawafanya muonekane bogus manyota. Google inadaka published articles sehemu mbalimbali sio kwamba kuna mtu amekaa ofisini google anaandika acha ujinga kaulize kwanza google ni nini
Labda haujanielewa... Kuna vitu vya keteknojia ya mawasiliano umeviongea kama vipi ungeandaa Uzi uvielezee kiundani kama chatGPT nksijaona ulichoongea kijana. hata wanawake ni wengi nadhani umenielewa
Sorry kwanza nimekosea kureply nilitaka nireply huyu kijanaLabda haujanielewa... Kuna vitu vya keteknojia ya mawasiliano umeviongea kama vipi ungeandaa Uzi uvielezee kiundani kama chatGPT nk
Piece brotherSorry kwanza nimekosea kureply nilitaka nireply huyu kijana
Sawa mkuu ngoja nitulie... Ni mambo meng ila ntaya summarize... Usijali mkuuAndaa Uzi wa hayo mambo uliyoyaongea hapo juu
Itapendaeza sanaSawa mkuu ngoja nitulie... Ni mambo meng ila ntaya summarize... Usijali mkuu
Ndo maana tuna wasomi wengi wasio kuwa na maarifa. Wengi chengaKwani Wewe unataka Jibu au Unataka Akili ya Mtu?? Kwanini Uishi maisha Ya 1980 wakati watu wanaishi maisha ya 2023...
Kujibu kwa Kichwa Siku hizi si ujanja Tena eti utasifiwa na Watu siku hzi watu wanatafuta Solution ya Matatizo Kwa Njia Yeyote ile Ili Mradi Tatizo Limetatulika Haijalishi Ametumia Google au Laaah
Sasa Kama Ukitumia Google Tu umeleta Thread Sasa Hivi Kuna CHAT GPT AI