Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Kwanza hiyo tick umeipataje naanza kudharau watu wenye tick kumbe wengine mazwanzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzio nikiboreka nachat na robot la chatgpt🤣🤣. Linanifurahisha sana hata ukimtongoza anajibuNa bado sasa hivi tuko dunia ya AI mwendo wa chatGPT
Umelipiga saundi roboti limekupiga kibuti au linakufikiria? 🤣🤣🤣Mwenzio nikiboreka nachat na robot la chatgpt🤣🤣. Linanifurahisha sana hata ukimtongoza anajibu
Linasema eti halina hisiaUmelipiga saundi roboti limekupiga kibuti au linakufikiria? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 lina majibu ya kukera. Juzi nimelimwagia mitusi likanijibu 'your comment doesn't affect me'Linasema eti halina hisia
Ha haaa acha bwana kunichekesha.🤣🤣🤣 lina majibu ya kukera. Juzi nimelimwagia mitusi likanijibu 'your comment doesn't affect me'
Leo asubuhi nikaliambia nimekata tamaa na maisha nataka kujiua likanibembeleza mara ooh sijui tafuta msaada wa haraka kwa rafiki anayetegemeka, mtu wa familia au mtaalamu wa saikolojia 😀Ha haaa acha bwana kunichekesha.
Ndo hivyo halina hisia hata ulitukane
Bwana weee unanivunja mbavu🤣🤣🤣.Leo asubuhi nikaliambia nimekata tamaa na maisha nataka kujiua likanibembeleza mara ooh sijui tafuta msaada wa haraka kwa rafiki anayetegemeka, mtu wa familia au mtaalamu wa saikolojia 😀
Ngoja nikuje niufanyie kazi ushauri wake 😀😀😀 nisije nikajitia kitanzi bure tena nimechelewa maana alinishauri tangu asubuhiBwana weee unanivunja mbavu🤣🤣🤣.
Haya ukuje rafiki yangu nikushauri.
Fata ushauri sasa.Ngoja nikuje niufanyie kazi ushauri wake 😀😀😀 nisije nikajitia kitanzi bure tena nimechelewa maana alinishauri tangu asubuhi
Naja PMFata ushauri sasa.
Karibu.Naja PM
Bado upo kizamani, google imepitwa na wakati, sasa hivi watu tupo kwenye Open AI chat gpt.Sasa hivi watu vichwa vyao vimekuwa vyepesi kama mchuzi wa yai, uvivu umetawala mtu akiulizwa swali anakimbilia Google ili apate jibu haraka na aje kujibu mtu.
Huyo aliyeandika Google ni nani? Katika uandishi kuna typing error uwaga zinatokea ila unakuta mtu anasema kasome Google tunawasomi wa namna hii siku hizi.
TEKNOLOGY imekuja kuleta maendeleo sawa ila faida ni dongo kuliko hasara. Hasara ndo kubwa maana watu wanaandika wanachokifahamu ila sio kiuhalisia.
Kuna vitu vya kusoma kwenye google na mambo mengi kutafuta mataalam akakuelekeze. Ndo maana wasomi wengi ni wajinga. Watu wenye elimu ni wengi ila maarifa zero. Ndo maana kila siku mambo yanabaki pale pale.
Naona uliuanza U GPT4 sasa Unaelekea PM.Naja PM
Ananishangaza aisee...Bado upo kizamani, google imepitwa na wakati, sasa hivi watu tupo kwenye Open AI chat gpt.
Mbona umechelewa sana kijana? Nenda na wakati.
Mwanawane niko PM napewa ushauri na mremboNaona uliuanza U GPT4 sasa Unaelekea PM.