Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
- Thread starter
-
- #61
Vichwa vyepesi..... yapo mambo ya kutumia technlogy na mambo mengine kutumia tecknolgy unakuwa unafanya bichwa lako liwe bogaKwani Wewe unataka Jibu au Unataka Akili ya Mtu?? Kwanini Uishi maisha Ya 1980 wakati watu wanaishi maisha ya 2023...
Kujibu kwa Kichwa Siku hizi si ujanja Tena eti utasifiwa na Watu siku hzi watu wanatafuta Solution ya Matatizo Kwa Njia Yeyote ile Ili Mradi Tatizo Limetatulika Haijalishi Ametumia Google au Laaah
Sasa Kama Ukitumia Google Tu umeleta Thread Sasa Hivi Kuna CHAT GPT AI
KivipRoho mbaya
Kagundua kuwa ukitumia google kwenye shughuli zako unakuwa na kichwa chepesi kama mchuzi wa yai π€£Wewe umefanya nini kwenye hii Dunia?
Umegundua nini
Ndo maana bila TECHNOLOGY unaweza kuishi na usipate tatizo lolote. Wewe ndo mpumbavu
[emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji160]Mtoto wa mama wewe. Subiri apike ule Β‘ inamaana kila mtanzania anamiliki hizo app zinazopatikana play store. Technology ni msingi wa mtu ili akafanye biashara zake. Ndo maana bila TECHNOLOGY unaweza kuishi na usipate tatizo lolote. Wewe ndo mpumbavu
HANA FUTARI HUYO.Mkuu unajua google ni nini na inafanyaje kazi? Ebu jaribu kufikiria kidogo... Anaeenda kutafuta jibu kwenye search engine kubwa kama google ni anatafuta jibu lenye majibu ya kiwango cha kimataifa... Nikianza kukueleza jinsi google inafanya kazi, itabid nikueleze na chatGPT, alafu hapo hapo nikueleze github alafu nikwambie mambo ya databases alafu tuje server na mambo mengi ambayo we ni mweupe, na wewe sio mtu wa technology so ntakutesa tu, tafuta namna google inafanya kazi alafu ulete jibu... Mfano swali rahis unadhani kwanini ukiandika Tanzania inakwambia hii nchi iko wapi na haikosei? Alafu kitu kingine unadhani google inatumika kote sio? China, north na south korea na Russia hawatumii google kama search engine yao... Unadhan vile unavyovisearch vinajijia tu mzee watu wamechapa code za javaScript na typescript pamoja na html na css zikaelewa sababu wewe mtumiaji wa mwisho ukaona ni uongo au sio? Google has 2.5B visitors per month mzee hawa wote hawana akili ila wewe kamanda... Umetisha sana.
Haaaaa mwamie khaaaaHeshimu technology isee hapa yenyewe upoingia sababu ya technology.
Kumeongezeka nini cha ajabu .Hapo umezingua kijana. Fananisha maisha ya sasa na kipindi kile Cha dark ages.
Hawajaelewa watu, hicho sikipingi kwakweli ila mbona uwasilishaji wake unaeleweka. Sema hatupendi kufikiria sana[emoji23][emoji23][emoji23]Hemedy Jr Junior nafkiri una hoja ila namna ya uwasilishaji ndio shida
ππππππππππππππππππππππππππ DaaaahHANA FUTARI HUYO.
Hivi karibuni msemo utabadirika nakuwa, Kangalie chatGPT inasemaje!Google ni nani? Katika uandishi kuna typing error uwaga zinatokea ila unakuta mtu anasema kasome Google tunawasomi wa namna hii siku hizi.
Before Google ilikuwaje.... google imekuja kwa watu wenye vichwa mandaziHivi karibuni msemo utabadirika nakuwa, Kangalie chatGPT inasemaje!
Kusema wataalam wajinga sababu ya Google au Technology hapo sipendi mazima upande alipo.Hawajaelewa watu, hicho sikipingi kwakweli ila mbona uwasilishaji wake unaeleweka. Sema hatupendi kufikiria sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi watu vichwa vyao vimekuwa vyepesi kama mchuzi wa yai, uvivu umetawala mtu akiulizwa swali anakimbilia Google ili apate jibu haraka na aje kujibu mtu.
Huyo aliyeandika Google ni nani? Katika uandishi kuna typing error uwaga zinatokea ila unakuta mtu anasema kasome Google tunawasomi wa namna hii siku hizi.
TEKNOLOGY imekuja kuleta maendeleo sawa ila faida ni dongo kuliko hasara. Hasara ndo kubwa maana watu wanaandika wanachokifahamu ila sio kiuhalisia.
Kuna vitu vya kusoma kwenye google na mambo mengi kutafuta mataalam akakuelekeze. Ndo maana wasomi wengi ni wajinga. Watu wenye elimu ni wengi ila maarifa zero. Ndo maana kila siku mambo yanabaki pale pale.
Hakuna watu wajinga kama watu walisoma hizo degree tena hapa bongo. Niamini mimi we upo chuo bado mtoto wa mama. Bora wa darasa la saba kuliko wewe mwenye degree na hakusadiiGoogle inasaidia sana kama wewe mwenyewe una uelewa wa mambo. Kama ni mjinga, hata ukisoma mambo ndani ya google hutayaelewa, na ukidanganywa hutashtuka. Lakini mtu yoyote mwenye exposure, na hasa akiwa na Ile kitu inaitwa basic degree, yaani umesoma angalau 1st degree proper, unaweza kutumia google kwa faida kuliko hasara!!. Kwa hiyo, Google kwa mtu aliyeishia std 7 au from 4 ni tofauti na google kwa mtu aliyefika University.