Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujui kuhusu laws of nature laws of cause and effect,sema huwezi kumbuka yakikupata Nini asili ya Hicho kikukutachoHakuna hii kitu wewe acha kuishi kwa kukariri
True thus laana isiyo sababu haimpati mtu.yana nguvu kama yanakustahili kwa ulichokifanya vinginevyo sidhani kama yana nguvu.
ndivyo ninavyoamini pia, ukimtenda mtu ubaya hata asipokutamkia laana yatakufika tu mda ukifika.True thus laana isiyo sababu haimpati mtu.
Hata albadili Huwa haionei mtu
ukiachwa achika na achilia upate kilicho bora na stahiki yako zaidi.
Laana na riziki hatoi binadam
sasa kwanini umekitupa au ndio alikuachia laana ya u-fresh?Leo x wangu kapita, kanikuta nakunywa ki U-fresh nikakitupa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sasa kwanini umekitupa au ndio alikuachia laana ya u-fresh?
Una akili mingi budaHivi mtu uliyetemana nae inakuaje unamfuatilia mpaka ujue habari zake kua amepata majanga au amepata good life? ukitemana na mtu fanya kama vile hukuwahi kukutana nae hapa Duniani,be yourself and live your life,kuanza kumfuatilia ni dalili kua bado unaumia kwa kuachana nae,
Hata ukipata mafanikio baada ya kuachana nae,huna sababu ya kuanza kujionyesha kwake kua eti siku hizi mambo yako ni mazuri,huo ni udhaifu,wewe ishi maisha yako nae aishi maisha yake.
Lakini si ni kweli umefulia 😂 😂Atajua nimefulia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini si ni kweli umefulia [emoji23] [emoji23]
au ndio unapenda U-FRESH
[emoji1787][emoji1787] Utapata tabu sana
Wasiwasi wako tu ukute hata asingefikiria lolote!...[emoji23]
Yaonyesha bado unakapendapenda