Nacheka unavyoweweseka na u fresh yako kama nakuona vile...πSasa KENZY unacheka nini??
Mimi simpendi ila sipendi dharau kwann apite muda wa kunywa juice afu U-FRESH??
Mbona nikinywa Hennessy hajipitishi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atleast angenikuta na hennessy nivimbe sio U-Fresh yaani kanicheka hata sijapentraaa πππNacheka unavyoweweseka na u fresh yako kama nakuona vile...π
Hennessy Kuna watu wanaoshea tairi za magari...π
naomba namba nikutumie japo ya U-FRESH, si ni 200 tsh tu kwahiyo buku inatosha na yakutolea?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] emu niwacheeeee kwanza nisikitike
[emoji1787][emoji1787] Na kumbe alikuona pole yako next time kaa ndani kunywa u fresh yako!. Ila haipendezi kukucheka
naomba namba nikutumie japo ya U-FRESH, si ni 200 tsh tu kwahiyo buku inatosha na yakutolea?
namba sasa za muamala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora unitumie nipoze hasira ya kukitupa kijuice changu aiseee!!!
namba sasa za muamala
sawa karibu kwa tajiri wa U -FRESH[emoji23][emoji23][emoji23] nakutumia tajiri
sawa karibu kwa tajiri wa U -FRESH
ndio huyo ndie alieniachiwa ziwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bakhresa mdogo au sio?