Kuaminika kwa Rais Dkt. Samia Suluhu kwa Watanzania na kukubalika kwa CCM kwa Wananchi ni ushindi wa kishindo kwa Taifa letu moja

Kuaminika kwa Rais Dkt. Samia Suluhu kwa Watanzania na kukubalika kwa CCM kwa Wananchi ni ushindi wa kishindo kwa Taifa letu moja

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ukifuatilia kwa umakini na ukaribu zaidi, uelekeo wa siasa za Tanzania, utagundua kwamba,

Dr.Samia Suluhu Hassan, anakwenda kurekodi na kuandika historia mpya ya kuaminika zaidi kama Rais wa Tanzania, Lakini pia kukubalika zaidi kwa wanainchi kama mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, na mgombea urais mwenye ushawishi zaidi 2025. Hii ni rekodi na historia mpya na ya kipekee sana kiongozi na mwanasiasa huyu anaiweka Tanzania.

Muunganiko wa mamilioni ya waTanzania katika makundi yao mbalimbali mathalani ya vijana, wanawake, taasisi za dini na kiraia, mashirikisho ya wanafunzi wa vyuo vikuu, wafugaji, wavuvi, wakulima, wachimba madini wafanyabiashara, wafanyakazi sekta binafsi na umma, wasafirishaji, wawekezaji n.k wanaonyesha shauku ya kipekee sana yenye dhamira ya kumuunga mkono Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika azma yake ya kuiongoza Tanzania katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Huu ni uzalendo wa kiwango cha juu sana, lakini ni ishara ya umoja na utangamano miongoni mwa waTanzania wa makundi yoa yote.

Kwa kiasi kikubwa mno, makundi hayo ya wananchi, wana muamini na kumtegemea zaidi Dr.Samia kuliko kiongozi mwingine yoyote wa chama cha siasa nchini, na kwamba ndie pekee kiongozi wa chama cha siasa, mwenye sifa na vigezo stahiki vya kuunda serikali na kuongoza nchi, na ndie pekee mwenye dhamira na nia njema ya kuipaisha Tanzania kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi wote.

Rais Dr.Samia Suluhu Hassan anaaminika Tanzania nzima, na CCM inakubalika kila kona ya nchi kwa wapiga kura wote, kwasababu ikiahidi jambo, ina inalitekeleza kwa wakati muafaka bila kuchelewa.

Asanti sana waTanzania

Kidumu Chama Chaapinduzi.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Bora uendelee kuandika ya nyumbani kwako ccm kuliko kwenda chadema kumpigia mbowe kampeni na kumsigina lissu. Sijui utaandika unafiki gani endapo mbowe atagombea urais dhidi ya samia. Kama ni lissu dhidi ya samia utaendeleza upupu wako haitashangaza
 
Bora uendelee kuandika ya nyumbani kwako ccm kuliko kwenda chadema kumpigia mbowe kampeni na kumsigina lissu. Sijui utaandika unafiki gani endapo mbowe atagombea urais dhidi ya samia. Kama ni lissu dhidi ya samia utaendeleza upupu wako haitashangaza
zingatia hoja gentleman,
hakuna haja ya kubabaika sijui na nani akifanya nini wapi 🐒
 
Ukifuatilia kwa umakini na ukaribu zaidi, uelekeo wa siasa za Tanzania, utagundua kwamba,

Dr.Samia Suluhu Hassan, anakwenda kurekodi na kuandika historia mpya ya kuaminika zaidi kama Rais wa Tanzania, Lakini pia kukubalika zaidi kwa wanainchi kama mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, na mgombea urais mwenye ushawishi zaidi 2025. Hii ni rekodi na historia mpya na ya kipekee sana kiongozi na mwanasiasa huyu anaiweka Tanzania.



Muunganiko wa mamilioni ya waTanzania katika makundi yao mbalimbali mathalani ya vijana, wanawake, taasisi za dini na kiraia, mashirikisho ya wanafunzi wa vyuo vikuu, wafugaji, wavuvi, wakulima, wachimba madini wafanyabiashara, wafanyakazi sekta binafsi na umma, wasafirishaji, wawekezaji n.k wanaonyesha shauku ya kipekee sana yenye dhamira ya kumuunga mkono Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika azma yake ya kuiongoza Tanzania katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Huu ni uzalendo wa kiwango cha juu sana, lakini ni ishara ya umoja na utangamano miongoni mwa waTanzania wa makundi yoa yote.



Kwa kiasi kikubwa mno, makundi hayo ya wananchi, wana muamini na kumtegemea zaidi Dr.Samia kuliko kiongozi mwingine yoyote wa chama cha siasa nchini, na kwamba ndie pekee kiongozi wa chama cha siasa, mwenye sifa na vigezo stahiki vya kuunda serikali na kuongoza nchi, na ndie pekee mwenye dhamira na nia njema ya kuipaisha Tanzania kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi wote.



Rais Dr.Samia Suluhu Hassan anaaminika Tanzania nzima, na CCM inakubalika kila kona ya nchi kwa wapiga kura wote, kwasababu ikiahidi jambo, ina inalitekeleza kwa wakati muafaka bila kuchelewa.



Asanti sana waTanzania

Kidumu Chama Chaapinduzi.🐒



Mungu Ibariki Tanzania
CCM DAIMA, mpaka Tufe!!!



...Ni Hayo Tu!!
 
Rais Samia ndiye aliyebeba Matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania na CCM ndio tumaini la watanzania kuwapatia kiongozi anayeaminika ,kupendwa,kukubalika na kuungwa mkono na watanzania.ambapo CCM kwa kauli moja imesema itawapa na kuwaletea Rais Samia kama mgombea pekee atakaye peperusha bendera yake katika uchaguzi Mkuu utakao kuwa mwepesi katika Historia ya Nchi yetu tangia kuanza kwa mfumo wa vyama vingi.
 
Dah! Nahisi huu mwaka ndiyo mtatuchosha kweli na hizi ngonjera zenu. Muda si mrefu na CHAWA mwenzako Lucas Mwashambwa naye atakuja na porojo ndefu, inayo ongelea ujinga ule ule.
Gentleman,
umevuka na matatizo yako yale yale ya 2024 ya kuukataa ukweli na umekuja nayo hadi 2025?

si utapata tabu zile zile sasa, alaaa!🐒
 
Kwani wapi Muandishi kasema anatafuta uteuzi. Kwani hufahamu kuwa muandishi ni Mheshimiwa Mbunge ambaye anapendwa sana na wapiga kura wake jimboni kwake mpaka wanabubujikwa na machozi ya furaha wakimuona.
shukrani kumfungua macho na maskio huyo kijana comrade 🔥💪👊
 
Ukifuatilia kwa umakini na ukaribu zaidi, uelekeo wa siasa za Tanzania, utagundua kwamba,

Dr.Samia Suluhu Hassan, anakwenda kurekodi na kuandika historia mpya ya kuaminika zaidi kama Rais wa Tanzania, Lakini pia kukubalika zaidi kwa wanainchi kama mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, na mgombea urais mwenye ushawishi zaidi 2025. Hii ni rekodi na historia mpya na ya kipekee sana kiongozi na mwanasiasa huyu anaiweka Tanzania.



Muunganiko wa mamilioni ya waTanzania katika makundi yao mbalimbali mathalani ya vijana, wanawake, taasisi za dini na kiraia, mashirikisho ya wanafunzi wa vyuo vikuu, wafugaji, wavuvi, wakulima, wachimba madini wafanyabiashara, wafanyakazi sekta binafsi na umma, wasafirishaji, wawekezaji n.k wanaonyesha shauku ya kipekee sana yenye dhamira ya kumuunga mkono Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika azma yake ya kuiongoza Tanzania katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Huu ni uzalendo wa kiwango cha juu sana, lakini ni ishara ya umoja na utangamano miongoni mwa waTanzania wa makundi yoa yote.



Kwa kiasi kikubwa mno, makundi hayo ya wananchi, wana muamini na kumtegemea zaidi Dr.Samia kuliko kiongozi mwingine yoyote wa chama cha siasa nchini, na kwamba ndie pekee kiongozi wa chama cha siasa, mwenye sifa na vigezo stahiki vya kuunda serikali na kuongoza nchi, na ndie pekee mwenye dhamira na nia njema ya kuipaisha Tanzania kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi wote.



Rais Dr.Samia Suluhu Hassan anaaminika Tanzania nzima, na CCM inakubalika kila kona ya nchi kwa wapiga kura wote, kwasababu ikiahidi jambo, ina inalitekeleza kwa wakati muafaka bila kuchelewa.



Asanti sana waTanzania

Kidumu Chama Chaapinduzi.🐒



Mungu Ibariki Tanzania
Anayemwamini ni nani usitujumuishe bwashee
 
Anayemwamini ni nani usitujumuishe bwashee
waTanzania wa ndani na nje ya nchi, na wananchi wote katika kila kona ya Taifa letu ambalo ni kisiwa cha amani.

kura zilizoharibika na wasio na vitambulisho vya kupigia kura hazihusiki kwenye bandiko hili gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom