Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Ukifuatilia kwa umakini na ukaribu zaidi, uelekeo wa siasa za Tanzania, utagundua kwamba,
Dr.Samia Suluhu Hassan, anakwenda kurekodi na kuandika historia mpya ya kuaminika zaidi kama Rais wa Tanzania, Lakini pia kukubalika zaidi kwa wanainchi kama mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, na mgombea urais mwenye ushawishi zaidi 2025. Hii ni rekodi na historia mpya na ya kipekee sana kiongozi na mwanasiasa huyu anaiweka Tanzania.
Muunganiko wa mamilioni ya waTanzania katika makundi yao mbalimbali mathalani ya vijana, wanawake, taasisi za dini na kiraia, mashirikisho ya wanafunzi wa vyuo vikuu, wafugaji, wavuvi, wakulima, wachimba madini wafanyabiashara, wafanyakazi sekta binafsi na umma, wasafirishaji, wawekezaji n.k wanaonyesha shauku ya kipekee sana yenye dhamira ya kumuunga mkono Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika azma yake ya kuiongoza Tanzania katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Huu ni uzalendo wa kiwango cha juu sana, lakini ni ishara ya umoja na utangamano miongoni mwa waTanzania wa makundi yoa yote.
Kwa kiasi kikubwa mno, makundi hayo ya wananchi, wana muamini na kumtegemea zaidi Dr.Samia kuliko kiongozi mwingine yoyote wa chama cha siasa nchini, na kwamba ndie pekee kiongozi wa chama cha siasa, mwenye sifa na vigezo stahiki vya kuunda serikali na kuongoza nchi, na ndie pekee mwenye dhamira na nia njema ya kuipaisha Tanzania kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi wote.
Rais Dr.Samia Suluhu Hassan anaaminika Tanzania nzima, na CCM inakubalika kila kona ya nchi kwa wapiga kura wote, kwasababu ikiahidi jambo, ina inalitekeleza kwa wakati muafaka bila kuchelewa.
Asanti sana waTanzania
Kidumu Chama Chaapinduzi.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Dr.Samia Suluhu Hassan, anakwenda kurekodi na kuandika historia mpya ya kuaminika zaidi kama Rais wa Tanzania, Lakini pia kukubalika zaidi kwa wanainchi kama mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa, na mgombea urais mwenye ushawishi zaidi 2025. Hii ni rekodi na historia mpya na ya kipekee sana kiongozi na mwanasiasa huyu anaiweka Tanzania.
Muunganiko wa mamilioni ya waTanzania katika makundi yao mbalimbali mathalani ya vijana, wanawake, taasisi za dini na kiraia, mashirikisho ya wanafunzi wa vyuo vikuu, wafugaji, wavuvi, wakulima, wachimba madini wafanyabiashara, wafanyakazi sekta binafsi na umma, wasafirishaji, wawekezaji n.k wanaonyesha shauku ya kipekee sana yenye dhamira ya kumuunga mkono Rais Dr Samia Suluhu Hassan katika azma yake ya kuiongoza Tanzania katika kipindi cha miaka mitano ijayo.
Huu ni uzalendo wa kiwango cha juu sana, lakini ni ishara ya umoja na utangamano miongoni mwa waTanzania wa makundi yoa yote.
Kwa kiasi kikubwa mno, makundi hayo ya wananchi, wana muamini na kumtegemea zaidi Dr.Samia kuliko kiongozi mwingine yoyote wa chama cha siasa nchini, na kwamba ndie pekee kiongozi wa chama cha siasa, mwenye sifa na vigezo stahiki vya kuunda serikali na kuongoza nchi, na ndie pekee mwenye dhamira na nia njema ya kuipaisha Tanzania kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa kwa maslahi mapana ya wananchi wote.
Rais Dr.Samia Suluhu Hassan anaaminika Tanzania nzima, na CCM inakubalika kila kona ya nchi kwa wapiga kura wote, kwasababu ikiahidi jambo, ina inalitekeleza kwa wakati muafaka bila kuchelewa.
Asanti sana waTanzania
Kidumu Chama Chaapinduzi.🐒
Mungu Ibariki Tanzania