Kuamka asubuhi ni changamoto

Kuamka asubuhi ni changamoto

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Nauliza tu kwa nyie wanajamii wenzangu, hivi hii inasababishwa na nini asubuhi kuamka kwenda kazini yaani uvivu wa ajabu yaani natamani kurudi kitandani nilale.

Kuna muda nilidhani labda nachelewa kulala maana huwa nalala saa sita usiku basi hata nikilala saa nne usiku bado nahisi sijalala vya kutosha.

NOTE: Siku hizi nakaa uswahilini, je inawezekana kwamba kuna ndumba zinafanyika?
 
Nauliza tu kwa nyie wanajamii wenzangu, hivi hii inasababishwa na nini asubuhi kuamka kwenda kazini yaani uvivu wa ajabu yaani natamani kurudi kitandani nilale.

Kuna muda nilidhani labda nachelewa kulala maana huwa nalala saa sita usiku basi hata nikilala saa nne usiku bado nahisi sijalala vya kutosha.

NOTE: Siku hizi nakaa uswahilini, je inawezekana kwamba kuna ndumba zinafanyika?
Jua halimsubiri MVIVU
 
Back
Top Bottom