co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,541
- 2,487
Nauliza tu kwa nyie wanajamii wenzangu, hivi hii inasababishwa na nini asubuhi kuamka kwenda kazini yaani uvivu wa ajabu yaani natamani kurudi kitandani nilale.
Kuna muda nilidhani labda nachelewa kulala maana huwa nalala saa sita usiku basi hata nikilala saa nne usiku bado nahisi sijalala vya kutosha.
NOTE: Siku hizi nakaa uswahilini, je inawezekana kwamba kuna ndumba zinafanyika?
Kuna muda nilidhani labda nachelewa kulala maana huwa nalala saa sita usiku basi hata nikilala saa nne usiku bado nahisi sijalala vya kutosha.
NOTE: Siku hizi nakaa uswahilini, je inawezekana kwamba kuna ndumba zinafanyika?