google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Kula chakula chepesi na kunywa maji ya kutosha mapema, saa mbili mwisho kula. Maisha ni mipango sahihi sio kukurupuka tu. Ndumba ufanyiwe ya nn sasa mkuuNauliza tu kwa nyie wanajamii wenzangu, hivi hii inasababishwa na nini asubuhi kuamka kwenda kazini yaani uvivu wa ajabu yaani natamani kurudi kitandani nilale.
Kuna muda nilidhani labda nachelewa kulala maana huwa nalala saa sita usiku basi hata nikilala saa nne usiku bado nahisi sijalala vya kutosha.
NOTE: Siku hizi nakaa uswahilini, je inawezekana kwamba kuna ndumba zinafanyika?