Kuamka asubuhi ni changamoto

Kuamka asubuhi ni changamoto

Acha uchafu...Uwe unaoga usiku[emoji41]
Usiku kuoga lazima.baada ya kukutana na mama chanja pale kati kwa bed lazima tutoe janaba so lazima nioge
 
Jinsia Gani kwanza wewe?


Unae malengo?

Unacho kitu Kubwa zaidi ya wewe unachotaka kukikamilisha?
 
ukiona unakuwa mvivu basi kazi yako hailipi ,haikidhi mahitaji na usafiri wa private huna na kazi ni gumu na nyingi...ukiwa unapewa mshahara mzuri,kazi haina purukushani utaomba kukuche ukaonane na wenzio kazini...
 
M
ukiona unakuwa mvivu basi kazi yako hailipi ,haikidhi mahitaji na usafiri wa private huna na kazi ni gumu na nyingi...ukiwa unapewa mshahara mzuri,kazi haina purukushani utaomba kukuche ukaonane na wenzio kazini...
Mkuu ninafanya kazi sehemu amabayo wewe pia unaota kufanya kazi...Yaani kati ya ile 1% ya vijana wanaofanya kazi sehemu nzuri basi na mimi nipo
 
Back
Top Bottom